Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,409
- 119,014
Nashukuru maana kimeo changu kimeshindwa kunionesha hayo maandishiWell kwa wale raia wanyonge hii habari inamaamisha kwamba Vodacom wataanza kukata Tsh 600 kwa akaunti za Mpesa ambazo hazitakuwa zimepokea/kutoa pesa kwa siku 150 mfululizo.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app