Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Hawa akina mama wawili imekuwa ni kawaida yao kila wiki kuja kusimamisha magari hii barabara ya zamani ya Morogoro maeneo ya Stop Ova. Muda huu wanaleta usumbufu usio na tija. Kamanda wa kikosi cha barabarani wakabili hawa akina mama.