Waungwana,
Pamoja na matamko mengi kutoka kwa waziri na TRA kuhusu local channels ila naona mambo bado. Leo asubuhi nitumiwa ujumbe mfupi kuhusu kukatiwa matangazo siku moja kabla. Hii ni baada ya kununua kifurushi cha 600 siku 26 zilizopita. Sijui tutaponea wapi.
Pamoja na matamko mengi kutoka kwa waziri na TRA kuhusu local channels ila naona mambo bado. Leo asubuhi nitumiwa ujumbe mfupi kuhusu kukatiwa matangazo siku moja kabla. Hii ni baada ya kununua kifurushi cha 600 siku 26 zilizopita. Sijui tutaponea wapi.