Hawa startime wametuhadaa jamani

Yes yes akafanya kazi kwenye mashamba ya Mkonge Korogwe na baadae akafanya kazi kwene kiwanda kimojawapo cha Sabuni Tanga mjini kisha akaondok akenda sijui wapi huko ndio karudi hivyo saa hizi, ni Dokta, Mtume
Mpwa hivi yule alipataje utume? Nafikiri alimaliza popatlal miaka ya mwisho ya sabini!
 
 
Hivi ni channel gani inaonyesha mpira? ATN kwangu inaonyesha "No Service".
 
Ubepari uliopitiliza! Asiwaambie mtu, DSTV ndio mambo yote! Ingawa ni wachache wenye uwezo wa kujiunga kule! Hawa sijui ndio startimes na wengineo ni ubabaishaji tu!
 
toka atn imekuwa kwny startym mi sijana mechi hata moja,km kuna aliyeona anielekeze ni muda gani?maana kila ikifika saa moja kml naweka hola saa 3.45 hola.duh bora ninunue dstv tu kuliko kunyanyasika.
 
Ubepari uliopitiliza! Asiwaambie mtu, DSTV ndio mambo yote! Ingawa ni wachache wenye uwezo wa kujiunga kule! Hawa sijui ndio startimes na wengineo ni ubabaishaji tu!

kabisa mzazi.....
 
toka atn imekuwa kwny startym mi sijana mechi hata moja,km kuna aliyeona anielekeze ni muda gani?maana kila ikifika saa moja kml naweka hola saa 3.45 hola.duh bora ninunue dstv tu kuliko kunyanyasika.

Kwa kweli hiyo ATN ipo startimes ila mi sijaona mechi
Yeyote
 
Ao jamaa wa startimes ni bom hawana mpango hata kidogo, ni afadhali Zanzibar cable inayotunia waya huku Zenji, lakini area town yote huwezi kulipia game, kiingilio wee mwenyewe tu.halafu wana channel za uhakika
 
Jamani tusiongee habari ya manun'guniko tujadili hatua tutakazoweza kuwachukulia Star times. Swala ni kuwa wanatakiwa kurudisha fedha za watu na fidia.

Mimi niko tayari kuchukua hatua ninafikiri nahitaji mambo mawili.
1. Mwanasheria aliyetayari kutoa msaada wa kisheria
2. Waathirika wengine waliotayari kuingia katika mapambano hayo.

Robert
 

Kwani leo ndo unajua kuwa hawa jamaa ni matapeli?????
 
Startimes hawafai kingamuzi km analogia! Hamna channel ya kuonyesha hata highlights! Sijui tunalipia nini pumba tu! Wamezidiwa hata na easyTV, nawahama.
 
kwa mara ya kwanza toka nianze kuiona atn kwenye startime jana ndo nimeona mechi ya ureno na uholanzi, sijui leo wataingia mitini tena?
 
Kwani leo ndo unajua kuwa hawa jamaa ni matapeli?????


uwe unasoma maelezo kabla ya kukoment, Usikurupuke kutoa koment bila kusoma, Katika maelezo yangu sijazungumza mahala popote kuwa startimes ni matapeli ila nilikuwa najitahidi kuelezea kwanini hawaonyeshi mechi hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…