Hawa ni nzi au nyuki?

Hawa ni nzi au nyuki?

Askari Kanzu

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
4,596
Reaction score
1,236
Hapa nimeshindwa kutofautisha. Hawa ni nzi au nyuki? Wakuu wenye macho "makali" naomba msaada!

4880y1.jpg
 
Ingekuwa nyuki asingetembea kwa maringo, hao ni iiiizzzzi
 
inatia huruma na hawa dada zetu... anyway it is nature... environment pollution..
 
Madhara ya kutokuchamba! Alafu huyu dada kama namjua vile. Ni mwanachama hai wa CCM! Hapo alitoka kwenye kikao kuchukua posho!
 
huyu wanamcamroon kwa hiyo anavuja na kutoa harufu na hivyo kuambatana na inzi
 
wakuu mi nmeangalia hii picha na kuona ni picha ya dukani. Sehemu iliyo zungushiwa haifanani na sehemu iliyokuzwa. ukiangalia hata idadi ya nzi sehemu iliyo zungushiwa ni tofauti na nzi walio sehemu iliyokuzwa. hata nguo sehemu iliyozungushiwa ni tofauti na nguo zinazo onekana sehemu iliyo kuzwa. ni hayo tu. Mia
 
Ni kama udhalilishaji flani hivi! Hepi Kilisimasi (sijui nimepatia!!!)
 
halafu mwenyewe anaonekana hana habari.
 
somo la leo: tusisahau kuchamba pindi tumalizapo kukata gogo
 
Huo ndio ukweli athari ya kutoa tigo ndio hii unavuja nyesi bila kujijua.
 
wakuu mi nmeangalia hii picha na kuona ni picha ya dukani. Sehemu iliyo zungushiwa haifanani na sehemu iliyokuzwa. ukiangalia hata idadi ya nzi sehemu iliyo zungushiwa ni tofauti na nzi walio sehemu iliyokuzwa. hata nguo sehemu iliyozungushiwa ni tofauti na nguo zinazo onekana sehemu iliyo kuzwa. ni hayo tu. Mia

You're right man! Picha hii imechakachuliwa!
 
Back
Top Bottom