Riskytaker
Member
- Mar 14, 2024
- 90
- 453
Herman mushi na neema swai Hawa ni baadhi ya marubani wazawa kabsa wanairusha ndege za air Tanzania the wings of Kilimanjaro
Hawa wangetakiwa wawe na page social media ku inspire vijana na watoto katika mambo ya urubani.
Mfano Ukingia katika tiktok version ya china na Tanzania utugundua wachina wanatoa vipaumbele kwenye mambo yenye tija Mfano science, innovation, sports and game n.k
Ki ukweli Tanzania tuna hasara kubwa sana ya vijana bongo za vijana wengi ni Mpira na mapenzi .
Reflection yake ni kwamba tunakosa watu smart kichwani kwenye kila carrier.
Automatically rundo la watu wanaingia kwenye cycle ya umasikini wa kipato na mawazo
Nchi kama china Japan na south Korea zimeshape vijana kwenye mambo ya maana kwa Sheria Kali za matumizi ya social media.
China hakuna uhuru wa kuongea au kufanya mambo kama ya ukwungi, twerking n.k
Hawa wangetakiwa wawe na page social media ku inspire vijana na watoto katika mambo ya urubani.
Mfano Ukingia katika tiktok version ya china na Tanzania utugundua wachina wanatoa vipaumbele kwenye mambo yenye tija Mfano science, innovation, sports and game n.k
Ki ukweli Tanzania tuna hasara kubwa sana ya vijana bongo za vijana wengi ni Mpira na mapenzi .
Reflection yake ni kwamba tunakosa watu smart kichwani kwenye kila carrier.
Automatically rundo la watu wanaingia kwenye cycle ya umasikini wa kipato na mawazo
Nchi kama china Japan na south Korea zimeshape vijana kwenye mambo ya maana kwa Sheria Kali za matumizi ya social media.
China hakuna uhuru wa kuongea au kufanya mambo kama ya ukwungi, twerking n.k