Miaka 60 ya umasikini, ufisadi, wizi, udikteta, utawala wa kiimla chini ya serikali ya ccm. Hawa watu hawastahili kubaki uraiani! Ni wahalifuUmasikini ndo mtaji namba 1 wa CCM, yaaani CCM inasali usiju na mchana watu kama hawa wasiondokeView attachment 1558012View attachment 1558013View attachment 1558014
Hiyo list yako imekuongezea nini sasa au umeipunguzia nini ccm,Mtaji mkubwa wa CCM
1. Masikini.
2.wajinga.
3.wapumbavu.
4.police ccm.
5. Necccm.
6.Wizi na Unyang'anyi
Umasikini ndo mtaji namba 1 wa CCM, yaaani CCM inasali usiju na mchana watu kama hawa wasiondokeView attachment 1558012View attachment 1558013View attachment 1558014