Hawa ndo maadui zetu vijana

Hawa ndo maadui zetu vijana

Desierto

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
847
Reaction score
2,954
1. Wazee
Raisi kakutana na wazee tu

2.pikipiki
Zinaua na kuacha vilema vya maisha

3.polisi
Kesi za uhaini pale kisutu sikuona mzee

4.CCM
Bunge lote ni la CCM ila wamejaa wazee wote

Vijana hao ndo maadui zetu wakuu.
 
Kuna kundi kubwa umelisahau...

5. Vijana wanao ogopa kudai maslahi ya nchi kwa ujumla.

Hao ndiyo sumu, wanasahau nguvu yao ndiyo inaleta ukombozi popote.
 
Back
Top Bottom