Liwagu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 5,873
- 7,143
Kwa maoni yangu hawa hapa ndio watu wenye uzalendo wakuiongoza nchi hii 2030,
1, Mimi mwenyewe hapa Liwagu.
Kwajinsi mambo yanavyo kwenda ninaona kabisa ninauwezo wa kuiongoza hii nchi na tukapiga hatuja kubwa sana kimaendeleo baada ya miakami 5 tu.
Mwaka wakwanza nitahakisha ninabadili katiba Ili viongozi wote waserikali pamoja na mimi mwenyewe ninawajibika kwa wananchi na niwe naweza kuchukuliwa hatua za kisheria kama nitakuwa nimefanya makosa katika uongozi wangu.
Hii nikwasababu nitataka kuona kauli ya hakuna alie juu ya sheria inafanya kazi kwa vitendo.
Baada ya katiba, mengine yote yatakuwa rahisi sana kutekelezeka kama uwajibikaji utakuwa ndio wimbo wa taifa.
Hatuitaji rocket science, facilitations gears zote tunazo, tunahitaji dhamira ya dhati tu.
Wengine hapa [emoji116]
2,Kasim Majaliwa
3,John Heche
4,Dotto Biteko
5 J, Gwajima
6, Mpina Ramadan.
7, Paul Makonda
8, G, Lema
9, J, Nchimbi
10, T, Lisu.
Naweza kubeti mmoja kati ya hao anaweza kuwa kiongozi bora sana ingawa sijui kama wanaweza kubadii katiba Ili iwawajibishe nawao kama mimi.
1, Mimi mwenyewe hapa Liwagu.
Kwajinsi mambo yanavyo kwenda ninaona kabisa ninauwezo wa kuiongoza hii nchi na tukapiga hatuja kubwa sana kimaendeleo baada ya miakami 5 tu.
Mwaka wakwanza nitahakisha ninabadili katiba Ili viongozi wote waserikali pamoja na mimi mwenyewe ninawajibika kwa wananchi na niwe naweza kuchukuliwa hatua za kisheria kama nitakuwa nimefanya makosa katika uongozi wangu.
Hii nikwasababu nitataka kuona kauli ya hakuna alie juu ya sheria inafanya kazi kwa vitendo.
Baada ya katiba, mengine yote yatakuwa rahisi sana kutekelezeka kama uwajibikaji utakuwa ndio wimbo wa taifa.
Hatuitaji rocket science, facilitations gears zote tunazo, tunahitaji dhamira ya dhati tu.
Wengine hapa [emoji116]
2,Kasim Majaliwa
3,John Heche
4,Dotto Biteko
5 J, Gwajima
6, Mpina Ramadan.
7, Paul Makonda
8, G, Lema
9, J, Nchimbi
10, T, Lisu.
Naweza kubeti mmoja kati ya hao anaweza kuwa kiongozi bora sana ingawa sijui kama wanaweza kubadii katiba Ili iwawajibishe nawao kama mimi.