Mehek
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 7,473
- 10,429
Halafu wewe umpe...........??Namtafuta Hamisa amrudishie Diamond kale ka RAV 4 alikompa...
Halafu wewe umpe...........??Namtafuta Hamisa amrudishie Diamond kale ka RAV 4 alikompa...
Ewaaaa... we si umekataa???Halafu wewe umpe...........??
Kidyudyu chenyewe kishaweka makunyanzi mie channEwaaaa... we si umekataa???
mwanaume machine bhn magari tutapanda ya ummaVipi kwan hamjamalizaaga tu?Kama hayupo, ntakuwa sina jinsi. Ntalazimika kukuoa mwenyewe...
Hatujamaliza nini babuVipi kwan hamjamalizaaga tu?
Na huyo mzeeHatujamaliza nini babu
Tumalizane nini sasa yule babu yangu . au kuna kazi ulimpa anipe?Na huyo mzee
Mwambie analakujibu kama hamjamalizana
Cc @ asprin
babuu kwanza mzm wewe??,sikuhizi haupatikaniNipo mamy .... Namalizia kula orupuli halafu nirudi![]()
![]()
![]()
babuu kwanza mzm wewe??,sikuhizi haupatikani
Nipo mamy .... Namalizia kula orupuli halafu nirudi
orupuli ndiyo nini babu???Orupuli Muulize mmsai wako Yule atakuelezea. Nipo namtumboorupuli ndiyo nini babu???
Bado Sweden
Orupuli Muulize mmsai wako Yule atakuelezea. Nipo namtumbo
eti mmasai wakoo, mie mbn sina mmasai yeyote. Nantumbo ndiyo wapi!Kuna mmoja ulishawahi kunitambulisha![]()
![]()
eti mmasai wakoo, mie mbn sina mmasai yeyote. Nantumbo ndiyo wapi!
Hapana babuuuKuna mmoja ulishawahi kunitambulisha
Katoto kabishi sana... kataenda kututia aibu ukweni wallahVipi kwan hamjamalizaaga tu?