Kama hayupo, ntakuwa sina jinsi. Ntalazimika kukuoa mwenyewe...![]()
![]()
![]()
![]()
babu unanichekeshaga ngoja nikuitie mhenga mwenzio akujibu... Km alikula mahari yngu ujue yupo km bado hujue hayupoo
Kama hayupo, ntakuwa sina jinsi. Ntalazimika kukuoa mwenyewe...
umuoe mjukuu wakoo .......utaniweza mi damu inachemkaNa mimi maini yameshakomaa.... ntapambana na hali yangu...![]()
![]()
umuoe mjukuu wakoo .......utaniweza mi damu inachemka
Na mimi maini yameshakomaa.... ntapambana na hali yangu...
Nzi kufia kidondani ni ushujaa ujue...
we sitaki lawamaHata demu awe mbaya? Kuna mwanamke mbaya? Labda wewe ndo mbaya ndo maana wanakukataa wanakwambia wana wachumba hata kama wapo single!!Habari zenu wanajamii forum Kuna hii kitu ya wadada wengi kupenda kusema wapo kwenye mahusiano naona kama kamfumo fulani kwao yaani kila demu ukigusa anasema yupo kwenye mahusiano.
katika pitapita zangu sijawahi kumsikia anayesema yuko single hata demu awe mbaya vipi useme ujaribu kupiga sound atasema na mtu wake,hivi lengo lenu la kusema mna wachumba wakati hamna linakuwa nini,na kauchunguzi kadogo nilikofanya nimegundua wanawake wengi hawana wapenzi wengi ni waongo.
Ila hawataki kujulikana vilevile acheni tabia ya kujiona wadogo kila kitu mnajifanya watoto unakuta mwanamke kwa kunuangalia anaonekana mkubwa lakini utasikia shikamoo,basi nasi tunaitikia,ukimuuliza wengi utasiki 20 mpaka 22
mtazamo tu jamani hainaga hasira
Uchoyo tu, huna lolote.![]()
![]()
![]()
![]()
we sitaki lawama
Utanipa nini na weweUchoyo tu, huna lolote.
Tutagawana pensheni yangu...Utanipa nini na wewe
Tutagawana pensheni yangu...
uongo huoo nigawie yangu kwanza kabla sijakupa u ili ukija kufia kwenye utamuu nijue namgao wangu kbsaa
Tena kwa kukuonesha msisitizo, mgao unalewa na Harrier New model...![]()
![]()
uongo huoo nigawie yangu kwanza kabla sijakupa u ili ukija kufia kwenye utamuu nijue namgao wangu kbsaa
![]()
Nyie wazee wa sikuhizi mbwembwe KwishaaTena kwa kukuonesha msisitizo, mgao unalewa na Harrier New model...
Sipendi mtoto mzuri upigwe na vumbi za vi IST, Passo na Vitz
pesa Hamna nguvu nazo hamna mnaishia tu kutudanganyaaa
nimeghairi chitaki tenaaaDuh... unaikimbia bahati mchana kweupeeee....Nyie wazee wa sikuhizi mbwembwe Kwishaapesa Hamna nguvu nazo hamna mnaishia tu kutudanganyaaa
Au unakale kaugonjwa maana siyo kwa mbwembwe hizooo![]()
![]()
![]()
nimeghairi chitaki tenaaa
Duh... unaikimbia bahati mchana kweupeeee....
Ngoja nimtafute Hamisa...
naogopa sijawahi panda hiyo gari usikute ni watu wasiojulikanaa

Namtafuta Hamisa amrudishie Diamond kale ka RAV 4 alikompa...![]()
naogopa sijawahi panda hiyo gari usikute ni watu wasiojulikanaa
![]()
![]()