Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,258
Habari zenu wanajamii forum Kuna hii kitu ya wadada wengi kupenda kusema wapo kwenye mahusiano naona kama kamfumo fulani kwao yaani kila demu ukigusa anasema yupo kwenye mahusiano.
katika pitapita zangu sijawahi kumsikia anayesema yuko single hata demu awe mbaya vipi useme ujaribu kupiga sound atasema na mtu wake,hivi lengo lenu la kusema mna wachumba wakati hamna linakuwa nini,na kauchunguzi kadogo nilikofanya nimegundua wanawake wengi hawana wapenzi wengi ni waongo.
Ila hawataki kujulikana vilevile acheni tabia ya kujiona wadogo kila kitu mnajifanya watoto unakuta mwanamke kwa kunuangalia anaonekana mkubwa lakini utasikia shikamoo,basi nasi tunaitikia,ukimuuliza wengi utasiki 20 mpaka 22
mtazamo tu jamani hainaga hasira
katika pitapita zangu sijawahi kumsikia anayesema yuko single hata demu awe mbaya vipi useme ujaribu kupiga sound atasema na mtu wake,hivi lengo lenu la kusema mna wachumba wakati hamna linakuwa nini,na kauchunguzi kadogo nilikofanya nimegundua wanawake wengi hawana wapenzi wengi ni waongo.
Ila hawataki kujulikana vilevile acheni tabia ya kujiona wadogo kila kitu mnajifanya watoto unakuta mwanamke kwa kunuangalia anaonekana mkubwa lakini utasikia shikamoo,basi nasi tunaitikia,ukimuuliza wengi utasiki 20 mpaka 22
mtazamo tu jamani hainaga hasira