Hawa ndio wachawi wa CCM

wakuu hivi yale majina matano pale dodoma yalitoka kwenye mfuko wa mkapa ama kikwete? nimesahau kidogo wakuu nikumbusheni...
 
hivi tokea lini serikali iingie hasara kiasi kikubwa kuliko bajeti yake ya mwaka? unajua bajeti ya Tz kwa mwaka 1 wa fedha ni sh ngapi? wizara ya nishati ilitengewa bajeti kiasi gani ili iingie hasara ya kiasi cha zaidi ya trillion 294?
Mkuu achana na huyo jamaa…anajua kabisa ukweli lakini anataka kutupotezea mda
 
Mkapa nae hata habadiliki!!yaani mpaka sasa huko kusini kawatukana watu….yaani kwa hadhi yake na cheo chake ilibidi awaachie akina kibajaji watukane na mama Mshamu…Yaani ni aibu sana CCM
 
Uzi pendwa
 
Huku kubadili rangi , ni shadow ban ya makusudi?
 
Paragraph ya pili itawatafuna Viongozi mpaka wanaingia Kaburini !
Dharau zao kwa wale waliokisaidia Chama na kuwakashifu itawatesa sana !!
Wamejilimbikizia mimali kibao lakini Mungu ni Fundi huenda akawalimbikizia Maradhi yasiyopona pia ili kulipa vilio vya wanaoteseka kwa madhila waliowafanyia wenzao !!
Mungu ni mwema na huwa hana haraka ! Muda utafika tu “ Karma “
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…