Hawa ndio Vodacom 4G

Hawa ndio Vodacom 4G

Mbona speed ya kawaida tu hio kwa 4g? Either server ipo slow ama upo eneo ambalo speed ni ndogo. 5 to 13mbps ni ya kawaida sana. Humu watu wanasifia 4g ikiwa angalau 40mbps kupanda juu.
Kwangu mimi ni speed kubwa but inafika mpka 30 mbps so ni speed kubwa kwanguu maaana ttcl wakijitahidi 600kbps
 
Mbona speed ya kawaida tu hio kwa 4g? Either server ipo slow ama upo eneo ambalo speed ni ndogo. 5 to 13mbps ni ya kawaida sana. Humu watu wanasifia 4g ikiwa angalau 40mbps kupanda juu.
I wonder 13Mbps ni kawaida sana... Mimi nakaa sehemu network si nzuri but nishawahi record 40Mbps hapa nimekaa napata 20Mbps nikiwa milimani kwangu natumia TiGO
SmartSelect_20180729-141247_Speedtest.jpg
 
Hapa natumia 4G ya Tigo, sio haba. Wanajitahidi, imani yangu mimi naiwekaga kwa Vodacom Tanzania ila nina mpango wa kuhamia TTCL, Je nao wapo vizuri?
 
Nadhani mambo ya speed ya data hutegemea mahali ulipo. Muhimu ni kujaribu jaribu mitandao tofauti hadi upate unaokufaa eneo ulilopo.

Binafsi mimi ttcl ndio the best
 
Hapa natumia 4G ya Tigo, sio haba. Wanajitahidi, imani yangu mimi naiwekaga kwa Vodacom Tanzania ila nina mpango wa kuhamia TTCL, Je nao wapo vizuri?
SIKUSHAURI, Ttcl ni majanga
 
Voda 4g wapo vizuriii ngoja nitume gif au cheki video hapo ujioneee
Vipi ukaaji wa bando kwa voda 4G maana tigo 4G bando inakata sana 1Gb inaisha ndani ya dk10 kama una watching video online mpaka nimeamua ku change kwenye settings nitaweka 3G only
 
Back
Top Bottom