Hawa ndio maadui wa CHADEMA

Hawa ndio maadui wa CHADEMA

Joined
Jul 12, 2013
Posts
10
Reaction score
0
Kwa wanasayansi ya utawala wataungana na mimi kuwa taasis makin utaipima kwa VISION, MISSION and ORGANISATION GOAL yake. CDM Kwa ss n taasis ya kisiasa ambayo imekosa sifa tajwa hapo juu. Ni chama ambacho hakina mtu wa mwisho katka maamuz. Kila kiongozi ana maamuz yake mfano.rejea tofaut ya kaul katk Ushrk ktk ziara ya Obam kati ya mwenyekit na katbu mkuu. REJEA AZMA YAO WALIOITANGAZA YA KUJTOA KWENYE MCHAKATO WA KATBA NA BAADAE KUFIFIA KIMYAKIMYA. REJEA MKINZANO KAT YA DR. Slaa na Tundu Lissu kuhusu sakata ya Lwakatare. Haya yote yanaashria Cdm kukosa sifa tajwa hapo juu za kiutawala na uongozi na hao ndio maadui wao
 
Sasa unashauri nini! Weka Way Forward tujue nia yako ni constructive.
 
chadema ni chama watu wote ndo maana ya nguvu ya umma, sio ccm akishasema mingulu mchemba basi watu wote mnafata
 
Kwani Chadema ni chama cha siasa? Hiyo ni taasisi ya kula ruzuku zinazotolewa kwa vyama vya siasa. Chama gani hakina hata sera.
 
chadema ni chama watu wote ndo maana ya nguvu ya umma, sio ccm akishasema mingulu mchemba basi watu wote mnafata

Chadema si chama cha watu wote kwani hawana utetezi dhidi ya watanzania wote kwa ujumla bali wana base kuutetea Ukristo hasa ukatoliki. Chadema ni nguvu ya kanisa si nguvu ya Umma.
 
Hamuachi upinda? Mngejadili sera zenu zinavyotekelezeka na ahadi hewa. Kama hayo uliyosema ni udhaifu wa Chadema mngeutumia kwa manufaa ya chama chenu kilichochokwa na wananchi.
 
Kwa wanasayansi ya utawala wataungana na mimi kuwa taasis makin utaipima kwa VISION, MISSION and ORGANISATION GOAL yake. CDM Kwa ss n taasis ya kisiasa ambayo imekosa sifa tajwa hapo juu. Ni chama ambacho hakina mtu wa mwisho katka maamuz. Kila kiongozi ana maamuz yake mfano.rejea tofaut ya kaul katk Ushrk ktk ziara ya Obam kati ya mwenyekit na katbu mkuu. REJEA AZMA YAO WALIOITANGAZA YA KUJTOA KWENYE MCHAKATO WA KATBA NA BAADAE KUFIFIA KIMYAKIMYA. REJEA MKINZANO KAT YA DR. Slaa na Tundu Lissu kuhusu sakata ya Lwakatare. Haya yote yanaashria Cdm kukosa sifa tajwa hapo juu za kiutawala na uongozi na hao ndio maadui wao

Kuchanganya herufu kubwa na ndogo kwenye kanuni za uandishi na kufanya fujo.
 
Ccm mshauri wao wa mwisho ni lowassa... Eh... Sio!!ni cheap politics

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mwenzenu naona chama changu cha chadema ndiyo kimefika mwisho kweli kimekosa sera yaani watanzania wamekichoka sasa..
 
Hebu tuondolee upumbavu wako hapa!!! CCM ina vision, mission, organizational goals zipi! kama hata kuvua gamba kuliwashinda!? Hebu ziweke hapa tuzichambue.
Huyo DHAIFU ana vision ipi kama siyo usanii tu!!! Na huyo fisadi Lowassa ana vision ipi kama si kugawa rushwa tu makanisani, misikitini na kwa machinga. Acha kuandika pumba banaaa!!!

Kwa wanasayansi ya utawala wataungana na mimi kuwa taasis makin utaipima kwa VISION, MISSION and ORGANISATION GOAL yake. CDM Kwa ss n taasis ya kisiasa ambayo imekosa sifa tajwa hapo juu. Ni chama ambacho hakina mtu wa mwisho katka maamuz. Kila kiongozi ana maamuz yake mfano.rejea tofaut ya kaul katk Ushrk ktk ziara ya Obam kati ya mwenyekit na katbu mkuu. REJEA AZMA YAO WALIOITANGAZA YA KUJTOA KWENYE MCHAKATO WA KATBA NA BAADAE KUFIFIA KIMYAKIMYA. REJEA MKINZANO KAT YA DR. Slaa na Tundu Lissu kuhusu sakata ya Lwakatare. Haya yote yanaashria Cdm kukosa sifa tajwa hapo juu za kiutawala na uongozi na hao ndio maadui wao
 
Kwani Chadema ni chama cha siasa? Hiyo ni taasisi ya kula ruzuku zinazotolewa kwa vyama vya siasa. Chama gani hakina hata sera.

Aisee wewe upo ulimwengu gani!! ETI CHADEMA HAKINA SERA!! Nyie CCM si ndio watekelezaji wakubwa wa sera za CHADEMA, niambie ni wapi kwenye irani ya CCM ya mwaka 2010 kulikuwa na sehemu inayozungumzia mahitaji ya katiba mpya. Nyie ndio mlikuwa wapingaji wakubwa wa sera za CDM za kushushwa kwa gharama za ujenzi, mlijifanya eti haiwezekani leo mnaimba kwenye majukwaa kushusha gharama za ujenzi. Mliibeza sera ya CDM ya elimu bure leo kwenye majukwaa mnajifanya inawezekana. Kama si upunguani basi wewe ni mwezi mchanga
 
Wewe haujatumia akili bali umetumia dhana yako ya udini na chuki mbona sisi waislamu tuko chadema lakini huo udini unaousema hatujauona?
 
Chadema si chama cha watu wote kwani hawana utetezi dhidi ya watanzania wote kwa ujumla bali wana base kuutetea Ukristo hasa ukatoliki. Chadema ni nguvu ya kanisa si nguvu ya Umma.
Nyinyi magamba hamuishi kuweweseka,mlijaribu kwa nguvu zote kudai kuwa Chadema ni chama cha kichaga,mksgundua hiyo single,haiuziki.

Mkajaribu propaganda ya kudai kuwa Chadema ni chama cha kanda ya kaskazini,lakini kutokana na akina Sugu,Msigwa,Zitto Kabwe,Wenje,Tundu Lissu na wengineo,kushinda ubunge kwa kishindo kikubwa,wakati wabunge wote hawatoki kanda ya kaskazini,mkaona hiyo single haiuzikikabisa.

Sasa nawe gamba unakuja na utumbo wako wa kuwa Chadema ni chama cha wakotoliki,kweli ilinenwa mfa maji haishi kutapa tapa.

Ni dhahiri kwa sasa magamba wamekaribia kabisa kupotea duniani,kwa hiyo yanayofanywa kwa sasa na magamba hayana tofauti kabisa na mtu anayeaga dunia!
 
Mwenzenu naona chama changu cha chadema ndiyo kimefika mwisho kweli kimekosa sera yaani watanzania wamekichoka sasa..
Sasa unafanya nini huko vipo vyama lukuki kuanzia vya kifamilia hadi vinavyoongozwa na wateule wa rais na ambao wanajiita ni wapinzani


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Kwani Chadema ni chama cha siasa? Hiyo ni taasisi ya kula ruzuku zinazotolewa kwa vyama vya siasa. Chama gani hakina hata sera.

Unajua maana ya neno sera au unaropoka tu hapa? Kama unafahamu ebu define neno Sera tukusome.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Paschal,
Propaganda hata Kama inakubalika katika siasa, inahitaji kufanyika kisayansi. Propaganda inapokuwa upotoshwaji wa wazi na udanganyifu inaacha kuwa propaganda na kupoteza malengo na focus yake. Maamuzi ya Chadema yanafanyika kwa mujibu wa Katiba yake. Hakuna mgongano uliowahi kutokea Kati ya viongozi, isipokuwa tu Kama unataka kulazimisha iwe hivyo. Labda tatizo ni uelewa tu. Maswala yote uliyotaja takriban yote nimeyatolea ufafanuzi Mimi mwenyewe. Inawezekana unataka tu kushikilia position yako, ambayo ni uhuru wako, lakini ukweli hauwezi kubadilika kwa kuwa wewe unataka iwe hivyo. Kumbuka Truth is indivisble. Ukielewa maana ya msingi huo wa kifalsafa, hoja zako zote zinakufa knife cha mende.

QUOTE=Paschal Joseph Haule;6815387]Kwa wanasayansi ya utawala wataungana na mimi kuwa taasis makin utaipima kwa VISION, MISSION and ORGANISATION GOAL yake. CDM Kwa ss n taasis ya kisiasa ambayo imekosa sifa tajwa hapo juu. Ni chama ambacho hakina mtu wa mwisho katka maamuz. Kila kiongozi ana maamuz yake mfano.rejea tofaut ya kaul katk Ushrk ktk ziara ya Obam kati ya mwenyekit na katbu mkuu. REJEA AZMA YAO WALIOITANGAZA YA KUJTOA KWENYE MCHAKATO WA KATBA NA BAADAE KUFIFIA KIMYAKIMYA. REJEA MKINZANO KAT YA DR. Slaa na Tundu Lissu kuhusu sakata ya Lwakatare. Haya yote yanaashria Cdm kukosa sifa tajwa hapo juu za kiutawala na uongozi na hao ndio maadui wao[/QUOTE]
 
kama hivyo ndio vigezo basi hakuna chama cha siasa kitachoweza kujitapa kutimiza hayo including chama tawala...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom