HAWA NDIO BINADAMU wa leo
1.Wakikukwepa ucjali,Ipo cku watakutafuta.
2.Wakikusengenya Nyamaza,Huenda watajifunza.
3.wakikununia,omba mungu ipo cku watakuchekea.
4.Wakikupongeza usiwaamini Labda wanakujoki.
...
Endelea.......
Na ikifika siku yako na wewe ya kuomba unafuu utauona wapi?
Mie?? Nakopa duka la mpemba. Hawezi kuninunia yeye, kwa sababu anajua akinuna, biashara yangu napeleka kwa mangi..!!