Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,012
- 54,174
Tutayamaliza mimi na yeye wapambe kaeni pembeni 😀😀😀😀basi wenzio wamekukosesha mme,
Tutayamaliza mimi na yeye wapambe kaeni pembeni 😀😀😀😀basi wenzio wamekukosesha mme,
Haya mkuuTutayamaliza mimi na yeye wapambe kaeni pembeni
Hahahaha.Aliniuliza unafanya kazi wapi nkasema sina akauliza umepanga au kwenu nkasema kwa Shangazi akasema sa utaweza kunihudumia?nakamuuliza unataka nyumba gari au kitu akasema nikiwa na shida na vocha na ham ya chips nkamwambia usijal
Nilipata Mmoja mamaee leo nimechukua namba Kesho anaanza kuumwa...Sema nikamvumilia tu anasema nataka chips nampelekeaa...akija geto kazi anafanya ilaa Nyampu hataki kutoaa...Nikamlazimisha akanipa nikaonja viwili aiseee hakuaminii... Hata msg sikujibuu
Kwanini msg haujibu ?Nilipata Mmoja mamaee leo nimechukua namba Kesho anaanza kuumwa...Sema nikamvumilia tu anasema nataka chips nampelekeaa...akija geto kazi anafanya ilaa Nyampu hataki kutoaa...Nikamlazimisha akanipa nikaonja viwili aiseee hakuaminii... Hata msg sikujibuu
Sio chai naweza kukubali.
Mimi nilishakutana na situation...unafahamiana na mtu siku za siku unamkaribisha nyumbani.
Unampa uhuru wa kujihudumia chochote wakati unafanya taratibu za kula au mambo mengine... Mtu anafungua yoghurt ya 1kg anaila kwa kijiko akifika katikati anashindwa anairufisha.
Sasa unajiuliza huyu anaakili au anatumia uji kufikiria..nani ale makombo yake...ameshindwa kumimina sehemu nyingine..
Sasa kila akituma Msg anataka Chips maraa sijui maderaa... Siku nyingne nkamkuta kwenye Kigodoro akanichekeaa tu...Kwanini msg haujibu ?
Karibu saana.hii yako haifanani na aliyosema mtoa mada kwenye hiyo post. Btw naomba nikutembelee
sasa kwanini haukumwacha mapema, ukasubiri hadi umkule?Sasa kila akituma Msg anataka Chips maraa sijui maderaa... Siku nyingne nkamkuta kwenye Kigodoro akanichekeaa tu...
Aaha wewe alikuwa na tako balaaa...!! Lakini kitandani mpaka hasiraa... Unajua ni zerooo mamaee.. Nkaona hapa napoteza hela na muda wangu... Siwezi liwa pesa kwa penzi la ovyoo hiviiisasa kwanini haukumwacha mapema, ukasubiri hadi umkule?
Nikuje lini?Karibu saana.
Sasa unafikiri huyu anayefanya hivi atashindwa kufanya vile.
Daah, Savage!!Aaha wewe alikuwa na tako balaaa...!! Lakini kitandani mpaka hasiraa... Unajua ni zerooo mamaee.. Nkaona hapa napoteza hela na muda wangu... Siwezi liwa pesa kwa penzi la ovyoo hiviii
thubutu, kuna mwanaume anakubali kumwacha mwanamke bila kumkula?sasa kwanini haukumwacha mapema, ukasubiri hadi umkule?
Weekend.Nikuje lini?
Hiyo huwa inatokea ukiwa na njaa sana au ukiwa na hamu na kitu. Kwa mfano ukiwa na njaa unaweza kupakua chakula kingi ukijua utamaliza kulingana na njaa uliyonayo, ukifika kati umeshiba. Ndio kilichompata huyo mke mwenzangu
Ungekuwa umeaibika mzee baba, I hope ulimsameheWeekend.
Hapana sio njaa wala nn ni papara tu. Sasa kama nipo na marafiki si unaniabisha...nitaficha wapi sura?
Hata sijui iliishia wapi nakumbuka tukio tu....tehtehUngekuwa umeaibika mzee baba, I hope ulimsamehe
Ndiyo maana Mimi mwanaume nikishamsumbua na kumzungusha sana, huwa nafikiaga maamuzi magumu ya kutokumpa kabisa.thubutu, kuna mwanaume anakubali kumwacha mwanamke bila kumkula?
wengine hawafundishiki... Kuna demu mmoja mchagaa from experience kabisa namuelekeza leoo Kesho anataka style moja hiyo hiyoo.. Tulidumu mwaka lakini Nilikuwa sina hamu nae kabisaa... hafundishikii yanii..!!Sasa wewe si ndiyo unatakiwa uwe unamwelekeza?
Okay sasa nimekuelewa.....unataka mwanamke mwenye ujuzi, fundi si ndiyo? Kwa kifupi unataka mwanamke aliyetumika sana. Ndiyo ufundi anaupata huko