proxy
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 1,481
- 1,354
Naomba mkuu wa nchi awatumbue Tanesco Mkoa wa Ruvuma, maana hii adha ya umeme Sasa imekuwa kero kubwa, umeme Mara umewaka baada ya dk 5,umezima hivi shida ni nini kwani?, Na kama Kuna tatizo Kwa nini usitueleze wananchi tujue moja?, Ebo kueni serious basi na mambo mnayofanya, na kama kunatatizo basi zimeni rekebisheni then tuwashieni moja Kwa moja, sio mnavyotufanyia mnaboa sana.