Hawa jamaa lazima waendelee kuwa juu

Hawa jamaa lazima waendelee kuwa juu

Davion Delmonte Jr.

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2013
Posts
2,149
Reaction score
1,720
Jamani siyo kwamba nina utani na watu humu ila nimekumbuka nikacheka.
Hao madaktari 6 watanzania walioombwa na WHO kwenda Sierra Leone kutibu Ebola na kulipwa 2m kwa siku wanaitwa majina haya :
1. Dr. Esta Kokugasha Mukasa - kakataa kwenda
2. Dr. Makame Seif Makame - kakataa
3. Dr. Masanja - kakataa
4. Dr. Rutabanzibwa - kakataa
5. Dr. Ngonyani - kakataa
6. Dr. Lyimo - Kakubali
 
sio utani hakuna utani hapa huyu jamaa anajua kazi yake akiwa kama daktari imagine katika watanzania sita waliochaguliwa na shirika la afya duniani ni ye pekee amekubali kwenda kazi zingine ni wito nyie CYBERTEQ this thing is no joke
 
Last edited by a moderator:
Mmh haya bhana, naona concern ya mleta thread ni jina tu la huyo daktari aliekubali kwenda!

Mfungwa hachagui gereza ndugu! Huyo alikula kiapo cha kutibia watu so yuko sahihi kabisa kukubali kujitoa kuokoa maisha ya ndugu zetu.

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums
 
nenda kaokoe maisha ya binadamu wenzetu dr John lyimo you are a true doctor Mungu atakusaidia kip up the good job

Akiwa na maendeleo oh ameiba sijui nini nini,kumbe mtu ana risk maisha kutengeneza maisha yake ya baadae.
 
Ha.ha.haaa. ki ukweli mantik ya mada yako imejikita kwa watu fulani ila kiukweli they are risk takers and hard workers. Na wataendelea kuwa juu...

Mungu amtangulie arudi salama. Na asirudi na vimelea...
 
Ndo unataka kutuonesha kuwa mchagga anapenda pesa sana??
 
sio utani hakuna utani hapa huyu jamaa anajua kazi yake akiwa kama daktari imagine katika watanzania sita waliochaguliwa na shirika la afya duniani ni ye pekee amekubali kwenda kazi zingine ni wito nyie CYBERTEQ this thing is no joke
ahhahah, chanzo cha habari?
 
Hivi sasa kuna taarifa zimesambaa kupitia Ujumbe mfupi wa simu (SMS) na mitandao ya kijamii zikihusisha kuachiliwa huru kwa wafungwa wawili wanaotumikia Kifungo cha Maisha gerezani. Wafungwa hao wanaotajwa ni Nguza Vicking(Maarufu kwa jina Babu Seya) na Johnson Nguza(Maarufu kwa jina la Papii Kocha).

Napenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa taarifa hizo zote zilizotolewa kupitia njia hizo ni za Uongo na uzushi mkubwa na zinalenga kuipotosha jamii kwani wafungwa hao wapo gerezani na wanaendelea kutumikia adhabu ya kifungo cha Maisha gerezani kwa mujibu wa Sheria.

Jeshi la Magereza nchini linatoa onyo kali kwa watu kujiepusha na uhalifu huo na linawataka wale wote wanaotumiwa ujumbe wa aina hiyo waepuke kuusambaza ujumbe huo kwa wengine bali waufute, kwani kuendelea kuusambaza ni kosa kisheria.

Aidha, Jeshi la Magereza linaendelea na uchunguzi wa kina ili kuwabaini wanaosambaza ujumbe huo likishirikiana na Vyombo vingine muhimu kwa lengo la kuwakamata wahalifu hao ili mkondo wa Sheria uchukue nafasi yake.

Imetolewa na; Lucas Mboje, Mkaguzi wa Magereza, Afisa Habari wa Jeshi la Magereza, Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, DAR ES SALAAM. Septemba 8, 2014.


Kwa udhamin wa watu wa Kiboko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom