sasa unaleta hapa yanini siupeleke kwenye vijiwe vyenu vya umbea umbea,wewe umeleta uzi hapa watu wachangie weunaanza siasa kwahiyo hii ndo ilikuwa ahadi yako baada ya kukatwa kwenye mgao?wewe kama umeamua kutoa maovu ya mwage hapa sio mpaka utupe masharti kuna mwanao hapa wakumtolea masharti,nenda ukawadai wezi wenzio uliokuja kuwachana hapa sisi haya tuhusu