..kwa anaefatilia kwa makini nyendo/matendo ya watawala atakua amegundua kuwa kuna resource immobilization ya kiwango kikubwa inafanyika chini kwa chini ikivihusisha vyombo vya dola...utadhani nchi inajiandaa na vita....haya yote yanafanywa kwa makusudi wakijua wanachokusudia kufanya....Ukienda huko jeshini mmeona wanajeshi wanapandishwa vyeo kwa kasi ya ajabu(ukilinganisha na kada nyingine kama ualimu)...huko polisi nako hivyo hivyo..na tumeona hata kwenye vyombo vya sheria na haki za binadamu watu wamewekwawekwa kwa kujauana....haya yote ni maandalizi yalioanza si leo....Yaani kwa ujumla state machinery zote ziko kwenye alart mode...utazani nchi inaelekea vitani....Hii si kawaida...
...mtakumbuka hata siku hizi ni rahisi sana polisi kutokea na kupiga watu pale panapokuwa na issue ya kudai haki kisiasa....bila kutoa mwanya kwa maridhiano...hata kwenye maandamano ya amani polisi hutokea na kupiga watu hovyo...na tumeona hata wanajeshi wanapangwa kuwekwa kwenye vituo vya kupigia kura za referendum....haya yanafanywa kwa makusudi kuwapora raia haki yao ya msingi.....
...uchaguzi wa mwaka huu utakua na machafuko mbaya..maana hawatakubali kushindwa kirahisi hawa..take my word....