Hawa CCM ndiyo watakao tuletea Vurugu October 2015

Hawa CCM ndiyo watakao tuletea Vurugu October 2015

COARTEM

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2013
Posts
3,622
Reaction score
3,696
Kwa matukio yaliyotokea/yanayotokea ya uchaguzi wa serikali za mitaa ni dhahiri kabisa kuwa CCM ndiyo chama kitakachotuletea Fujo hapa Tanzania.
Tumeshuhudia watendaji wakipigwa na wanachi kwa kuchakachua matokea, kwa kutangaza ushindi wa uongo kwa wagombea wa CCM.
Maeneo ambayo CCM waliweka pingamizi na mgombea wao kupita bila kupingwa tumeshuhudia siku ya kuapishwa wenyeviti hao wakipigwa hadi kujificha kwenye KARAVATI.

Nimeshuhudia jana Makongoro Mahanga akitaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Anatoglo, wanachi wakamzomea sana huku wakumuita mwizi mwizi mwizi mwizi. Nadhani bila kuwepo polisi jana naye angepokea kipondo cha haja.

MYTAKE: Ndugu zangu tueni macho hawa CCM siyo watu wazuri, wamezoe kuchakachua. Upande wa pili wananchi wameamka, wameamua kutetea haki yao ya kikatiba..wameamua kutembeza kipondo pale wanapoibiwa kura. Sasa nini kitatokea October 2015? Mikong'oto ya haja kati ya POLISI na WANANCHI.
 
CCM ni wa kuhurumia kwa kweli, wameshachanganyikiwa na kipigo cha UKAWA.
 
Tuliombeeni Taifa..ili haki tu itendeke otherwise ...vibondo na vurugu
 
Sasa imeshajulikana wazi chama gani ni kinara wa vurugu,

Natoa pongezi za kipekee kwa kituo cha ITV kuonyesha matukio live na wananchi kujionea wenyewe, bila ITV leo CCM wangekuwa wanaendelea na propaganda zao kuwa wapinzani ndio wanaoanzisha vurugu.

Heko ITV kwa kuwanyamazisha CCM.
 
Kwa matukio yaliyotokea/yanayotokea ya uchaguzi wa serikali za mitaa ni dhahiri kabisa kuwa CCM ndiyo chama kitakachotuletea Fujo hapa Tanzania.
Tumeshuhudia watendaji wakipigwa na wanachi kwa kuchakachua matokea, kwa kutangaza ushindi wa uongo kwa wagombea wa CCM.
Maeneo ambayo CCM waliweka pingamizi na mgombea wao kupita bila kupingwa tumeshuhudia siku ya kuapishwa wenyeviti hao wakipigwa hadi kujificha kwenye KARAVATI.

Nimeshuhudia jana Makongoro Mahanga akitaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Anatoglo, wanachi wakamzomea sana huku wakumuita mwizi mwizi mwizi mwizi. Nadhani bila kuwepo polisi jana naye angepokea kipondo cha haja.

MYTAKE: Ndugu zangu tueni macho hawa CCM siyo watu wazuri, wamezoe kuchakachua. Upande wa pili wananchi wameamka, wameamua kutetea haki yao ya kikatiba..wameamua kutembeza kipondo pale wanapoibiwa kura. Sasa nini kitatokea October 2015? Mikong'oto ya haja kati ya POLISI na WANANCHI.

CCM KUIONDOA KWa katasi ya kura hawa ni lazima mitulinga tuu
 
......sera jino kwa jino ndio dawa ya ccm,jino kwa jino,ngeu kwa ngeu......naomba mniamini,msitegemee ulinzi wa......si
 
Si wameshinda kwa 80% tatizo nini tena?
siri ya 80% imeshafahamika, ni kwa kutumia wakurugenzi na maafisa utumishi kuwatisha watendaji wa vijiji na mitaa ili wapindue matokeo, wanaccm wote walioshindwa watangazwe washindi, na ikibidi hata kama wameshindwa, waapishwe tu kama washindi. Ccm ndo itakayoleta vurugu hapa tanzania.
 
..kwa anaefatilia kwa makini nyendo/matendo ya watawala atakua amegundua kuwa kuna resource immobilization ya kiwango kikubwa inafanyika chini kwa chini ikivihusisha vyombo vya dola...utadhani nchi inajiandaa na vita....haya yote yanafanywa kwa makusudi wakijua wanachokusudia kufanya....Ukienda huko jeshini mmeona wanajeshi wanapandishwa vyeo kwa kasi ya ajabu(ukilinganisha na kada nyingine kama ualimu)...huko polisi nako hivyo hivyo..na tumeona hata kwenye vyombo vya sheria na haki za binadamu watu wamewekwawekwa kwa kujauana....haya yote ni maandalizi yalioanza si leo....Yaani kwa ujumla state machinery zote ziko kwenye alart mode...utazani nchi inaelekea vitani....Hii si kawaida...

...mtakumbuka hata siku hizi ni rahisi sana polisi kutokea na kupiga watu pale panapokuwa na issue ya kudai haki kisiasa....bila kutoa mwanya kwa maridhiano...hata kwenye maandamano ya amani polisi hutokea na kupiga watu hovyo...na tumeona hata wanajeshi wanapangwa kuwekwa kwenye vituo vya kupigia kura za referendum....haya yanafanywa kwa makusudi kuwapora raia haki yao ya msingi.....

...uchaguzi wa mwaka huu utakua na machafuko mbaya..maana hawatakubali kushindwa kirahisi hawa..take my word....
 
Kwa kweli haya maccm yanatia aibu sana nchi yetu. Kwa mambo yanayoendelea nadiriki kusema waoipigia kura ccm ni matahira, mafisadi, wendawazimu, mbumbumbu
 
CCM wanatuhubili AMANI kila siku,mpaka mwenyekiti wao kawaleta wanakwaya toka Mwanza wawaimbie watanzania kuhusu AMANI.Hivi hamjui hakuna aliyezaliwa akiwa kiongozi? Wewe ukiwa kiongozi usifikili sisi tulio chini hatujui kitu,keKi hata kwenye harusi huonekana kwa kila mualikwa,ni vizuri wote tule,SIASA zinazofanywa na CCM kwa kulazimisha watu walioshindwa uchanguzi wa Serikali za Mitaa ni udhaifu na bomu kubwa la BOMU litakalolipuka mwezi OKTOBA.Tutegemee dhambi kubwa na dhuluma kubwa OKTOBA na nchi hii atayeanzisha vurugu ni CCM."KWELI ITASHINDA NAMNA TUNAVYOISHI.KWELI HAIHOFU TISHO WALA NGUVU YA MAJESHI.LA UONGO LINA MWISHO.KWELI KITU CHA AUSHI.KWELI ITASHINDA KESHO KAMA LEO HAITOSHI.'' By Shaban Robert
 
Kwa matukio yaliyotokea/yanayotokea ya uchaguzi wa serikali za mitaa ni dhahiri kabisa kuwa CCM ndiyo chama kitakachotuletea Fujo hapa Tanzania.
Tumeshuhudia watendaji wakipigwa na wanachi kwa kuchakachua matokea, kwa kutangaza ushindi wa uongo kwa wagombea wa CCM.
Maeneo ambayo CCM waliweka pingamizi na mgombea wao kupita bila kupingwa tumeshuhudia siku ya kuapishwa wenyeviti hao wakipigwa hadi kujificha kwenye KARAVATI.

Nimeshuhudia jana Makongoro Mahanga akitaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Anatoglo, wanachi wakamzomea sana huku wakumuita mwizi mwizi mwizi mwizi. Nadhani bila kuwepo polisi jana naye angepokea kipondo cha haja.

MYTAKE: Ndugu zangu tueni macho hawa CCM siyo watu wazuri, wamezoe kuchakachua. Upande wa pili wananchi wameamka, wameamua kutetea haki yao ya kikatiba..wameamua kutembeza kipondo pale wanapoibiwa kura. Sasa nini kitatokea October 2015? Mikong'oto ya haja kati ya POLISI na WANANCHI.

Jana kwenye ITV tumeshuhudia "KIBANO" kwa mtendaji wa kijiji kimoja huko Kirua Vunjo kwa kuchakachua kwa faida ya CCM. Kibano alikipata hadi "AKATEMA" na kuwaachia NCCR. Peoples' power
 
CCM wanatuhubili AMANI kila siku,mpaka mwenyekiti wao kawaleta wanakwaya toka Mwanza wawaimbie watanzania kuhusu AMANI.Hivi hamjui hakuna aliyezaliwa akiwa kiongozi? Wewe ukiwa kiongozi usifikili sisi tulio chini hatujui kitu,keKi hata kwenye harusi huonekana kwa kila mualikwa,ni vizuri wote tule,SIASA zinazofanywa na CCM kwa kulazimisha watu walioshindwa uchanguzi wa Serikali za Mitaa ni udhaifu na bomu kubwa la BOMU litakalolipuka mwezi OKTOBA.Tutegemee dhambi kubwa na dhuluma kubwa OKTOBA na nchi hii atayeanzisha vurugu ni CCM."KWELI ITASHINDA NAMNA TUNAVYOISHI.KWELI HAIHOFU TISHO WALA NGUVU YA MAJESHI.LA UONGO LINA MWISHO.KWELI KITU CHA AUSHI.KWELI ITASHINDA KESHO KAMA LEO HAITOSHI.'' By Shaban Robert

Bora mchawi kuliko wanafiki ccm kwa kuhubir aman huku wso mdo vinara wa kuvunja aman. Bibilia inasema ni bora mchawi kuliko mnafiki. Ccm weka mbali na binadamu kabisa
 
Kwa matukio yaliyotokea/yanayotokea ya uchaguzi wa serikali za mitaa ni dhahiri kabisa kuwa CCM ndiyo chama kitakachotuletea Fujo hapa Tanzania.
Tumeshuhudia watendaji wakipigwa na wanachi kwa kuchakachua matokea, kwa kutangaza ushindi wa uongo kwa wagombea wa CCM.
Maeneo ambayo CCM waliweka pingamizi na mgombea wao kupita bila kupingwa tumeshuhudia siku ya kuapishwa wenyeviti hao wakipigwa hadi kujificha kwenye KARAVATI.

Nimeshuhudia jana Makongoro Mahanga akitaka kupigwa ndani ya ukumbi wa Anatoglo, wanachi wakamzomea sana huku wakumuita mwizi mwizi mwizi mwizi. Nadhani bila kuwepo polisi jana naye angepokea kipondo cha haja.

MYTAKE: Ndugu zangu tueni macho hawa CCM siyo watu wazuri, wamezoe kuchakachua. Upande wa pili wananchi wameamka, wameamua kutetea haki yao ya kikatiba..wameamua kutembeza kipondo pale wanapoibiwa kura. Sasa nini kitatokea October 2015? Mikong'oto ya haja kati ya POLISI na WANANCHI.

Sasa hizo ni sifa nazo kupigapiga watu bila kufuata mkondo wa sheria! Sana sana watakaoleta vurugu ni hao hao chadema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom