Taxify kabla haijabadilishwa ilikua hivo hivo,madereva wanaichezea nikategemea ilivobadilishwa itakua washafix tatizo hilo kumbe ndio hvo hivoJuzi nimefanya trip toka mjini mpaka kitaa kutumia app yao ya Bolt. Safari ilikuwa ya approximately 12km ambapo kwa initial price ilinipa 7000-9000 nikajua ikizidi basi walau elfu 10 sio mbaya.Kilichotokea nafika jamaa ana end trip bei iliotokezea ni 16,000. Sikuelewea hasa ni kipi kimefanya ile bei iwe kubwa namna ile ila moja kwa moja naichukulia kama dhuluma tu. Ni wizii uliokithiri kwa kweli na hauvumiliki na sijui ni mimi tu ndio yamenikuta au kuna wenzangu nao wametokewa na hio situation ya overpricing!?
App ya Uber kwa umbali huo huo huwa inacharge 11000 ikizidi sana ni 12000! Very reasonable increment. Toka bei ya awali ya 9000-10000. Mwanzoni Taxify ilikuwa nzuri kwa bei nafuu ila sasa toka iitwe Bolt ni kigango cha ujambazi kwa kwenda mbele, halii hii haivumiliki watoa leseni wa hizi kampuni pigaji waziangalie upya.
Waliowahi kukutana na hii kadhia jitokezeni tupaze sauti
mmmhh umeshindwa vumiliaa mzee wa kutikisa dish sio vzr mnatuibia kiujanjaa.....alafu kuna wengine wanakuonesha screen shot ambayo sio root yakoNunua gari wewe acha kulialia mwanaume mzima mikelele tu humu
Usizungumzie vya wenye hela. Ndio maana hata huko ulimwengu wa kwanza vilipoanzia kuna consumer protection agencies. Kwa kuwa wewe ni mteja hutakiwi kulipa tu bila wao kuzingatia ubora wa huduma. Huu upuuzi uko Africa tu.Hivo vitu ni vya wenye pesa, kama huwezi endelea na maisha yako ya boda boda na vibajaji unataka kukimbia na hauna break! What do u expect?
Kipindi nimeanza kutumia Taxify ilikuwa cheap sana kuliko uber. Ila nimekuja kuitumia ikiwa Bolt ndio hata sihitaji kuiskia tena nimeishaifutia mbaliTaxify kabla haijabadilishwa ilikua hivo hivo,madereva wanaichezea nikategemea ilivobadilishwa itakua washafix tatizo hilo kumbe ndio hvo hivo
Wezi ni Taxify(Bolt) wenyewe, Me nilishafuta kabisa hiyo App yao. Nimebaki na Uber pekeeUber ni ahueni, afadhali kabisa yani japo inaonekanaga ni gharama kuliko taxify penye ku start trip
Nunua gari wewe acha kulialia mwanaume mzima mikelele tu humu
Mimi nimeanza kuikimbia taxify kaba haiajabadilishwa mtindo huo ulikua ushaanza..baada ya kubadilishwa nikajua watakua washaupdate system yao kumbe ni vile vileKipindi nimeanza kutumia Taxify ilikuwa cheap sana kuliko uber. Ila nimekuja kuitumia ikiwa Bolt ndio hata sihitaji kuiskia tena nimeishaifutia mbali
Ile Thread Ipo Nadhani Watu WaipitieTuliwahi kuandika humu kuhusu wizi wa hizi kampuni watetezi wao walikuja juu sana