The effects of ARVs na sasa chanjo ya covid-19! Huwezi tena kuthamini kilicho chako! Utasikia wanasifia statue of liberty, the Eiffel tower n. k!Hivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Kuangalia kombe la dunia unaburidika na unalipia, huu mwenge ni matumizi ya hela za kodi,Sio kwamba limeundwa kwa dhahabu tupu hilo dubwana kama kombe la dunia,!?
Kuangalia kombe la dunia unaburidika na unalipia, huu mwenge ni matumizi ya hela za kodi,
Hovyo kweli !?? Kwahiyo unalinganisha role ya olympic flame na uhuru torch..
Vuta pumzi na "relax"...usiku huu🤣🤣Hovyo kweli !?? Kwahiyo unalinganisha role ya olympic flame na uhuru torch..
Em kuwa na akili... Olympic inatembezwa tu flame..kuashiria kuanza games kila inapofika.
Unafikiri kuna mradi unazinduliwa hapo!?? Hovyo kweli.
Labda wanaendelea kulinda na kujivunia umaskini wa miaka karibu 60, kama inavyoonyesha hapo ktk picha...Mleta Thread Una Hoja Nzito Sana Tena Supporting Ya Picture Dubwasha Likiwaka Linakamua Wese
Linapewa Salaam Ya Utii.......
Hilo takataka ndo ushindi wao humoCcm haishindi kwa box la kura
Kuna masela wa chuga walishawahi kuiba hiko kigoda chakeHivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Hivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Uchawi wa ccm huo kupumbaza watu futa moto huo hata maaandiko yanakataza moto kma mwenge ni ushetani mkubwa sanaHivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Nimecheka Sana kwakweliHivi ni nani ataiba hili dubwana linalozindua umasikini kila mara ?
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda ?
View attachment 1954163
Uko sahihi, unaweza hata ukachukua jiwe ukalipa hadhi ikabidi lipewe ulinzi,hizi ndizo akili za sehemu kubwa ya Afrika.Basi kama hivyo hata makaburi yasilindwe..
Au hata wake za Marais waliostaafu wasilindwe...
Unajua maana ya hadhi?Huo mwenge umepewa hadhi...
Story za vijiweni tuUkumbuke malkia naye ana kifimbo chake huwa kinatembezwa kwenye nchi zote za common wealth.
Acha upumbavu Yani libati lenye mafuta ya taa ndio unafananisha na makaburi ya wapendwa wetu.Basi kama hivyo hata makaburi yasilindwe..
Au hata wake za Marais waliostaafu wasilindwe...
Unajua maana ya hadhi?Huo mwenge umepewa hadhi...