Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,618
- 31,142
Kuna njia nyingi zakudeal na magaidi wapambanaji wa houthi wameonesha hiliCh
Kama ni magaidi waende kuwashambulia pale Tel Aviv ama Jerusalem waone moto
Kuna njia nyingi zakudeal na magaidi wapambanaji wa houthi wameonesha hiliCh
Kama ni magaidi waende kuwashambulia pale Tel Aviv ama Jerusalem waone moto
Hapo wahuni watapita na hamtakuwa na chakuwafanya. Nimekaa pale.Sasa shida iko wapi wewe kama kidume pita red sea ukutane na wanaume wa kweli, wenzetu wanatumia tunu walizopewa vizuri na Mungu sio nyinyi watanzania hamjui kutumia rasilimali zenu za kipekee.
Tangu wameweka zuio la kupita niambie meli gani imepita pale.Hapo wahuni watapita na hamtakuwa na chakuwafanya. Nimekaa pale.