Hausigali ana masharti wajameni!!!

Hausigali ana masharti wajameni!!!

Birdman

Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
79
Reaction score
24
Wajameni nimepatikana kwa pesa mbili. Baada ya kuhangaika kutafuta msichana wa ndani mke wangu aliomba msaada na tukaletewa toka ukweni - kabila sitaji ila la wajeuri. Msichana hard working lakini masharti kibao. No kitimoto ndani ya nyumba, marufuku mbwa kumnusa, so hao nawalishe mwenyewe, pia marufuku kupishana nao, so mpaka wakishafungwa hatoki nje. No disrespect kwa imani za kidini, but msichana swala zote tano na mbaya zaidi, nikichelewa kurudi home - say 1130pm, yeye wala bosi wake (wife) hawashughuliki. Kumtimua gharama za kumsafirisha, offence kwa mke na mama yake. Kumwacha bughudha - sina imani naye especially na watoto - my kids love dogs. Shida sasa, nyumbani panaanza kuwa jela - natamani nirudi late kila siku kuepuka maudhi. Wajameneni - tuseme hayo ni makubwa ya kujitakia. Naombeni ushauri kabla ya kumtimua. Baadaye ntatoa ushauri kwa wazazi wenzangu - kutoka wapi usithubutu kuletewa msichanana wa kazi. Nawasilisha.
 
Huyu jamaa anatu enjoy.tangu lini mfanyakazi awe na amri kwa bosi wake.
 
Wajameni nimepatikana kwa pesa mbili. Baada ya kuhangaika kutafuta msichana wa ndani mke wangu aliomba msaada na tukaletewa toka ukweni - kabila sitaji ila la wajeuri. Msichana hard working lakini masharti kibao. No kitimoto ndani ya nyumba, marufuku mbwa kumnusa, so hao nawalishe mwenyewe, pia marufuku kupishana nao, so mpaka wakishafungwa hatoki nje. No disrespect kwa imani za kidini, but msichana swala zote tano na mbaya zaidi, nikichelewa kurudi home - say 1130pm, yeye wala bosi wake (wife) hawashughuliki. Kumtimua gharama za kumsafirisha, offence kwa mke na mama yake. Kumwacha bughudha - sina imani naye especially na watoto - my kids love dogs. Shida sasa, nyumbani panaanza kuwa jela - natamani nirudi late kila siku kuepuka maudhi. Wajameneni - tuseme hayo ni makubwa ya kujitakia. Naombeni ushauri kabla ya kumtimua. Baadaye ntatoa ushauri kwa wazazi wenzangu - kutoka wapi usithubutu kuletewa msichanana wa kazi. Nawasilisha.

Afu mbaya zaidi huipendi na unaichukia dini yake eti eehh pumbaaafu (kwa sauti ya kinyambe)
 
Kama hana matatizo kwa mkeo na watoto wanapata malezi hana shida. Kuhusu mbwa na watoto, binafsi siafiki watoto kuzoena na mbwa hasa kutokana na aina ya mbwa na malezi yake ya kibongobongo.......Ushauri wangu usitumie mazingira ya nje kumhukumu huyu HG kwani nae anatafuta riziki ya kupambana na ugumu wa maisha. Hili la Kitifire nalo halina mshiko kwani ukiwa na midadi unaweza kwenda kujipatia kwenye centers fulani fulani. Note that ni kazi ngumu kupata perfect HG, huyu anaweza kuwa afadhali kwa ajaye.
 
Msichana wa kazi akiwa na masharti namna hiyo inakuwa tabu. Inawezekana ameishaona madhaifu ya familia yenu ndiyo maana anatumia kama fimbo katika kuhakikisha anaendelea kuwabana. Masharti yakizidi fukuza. Maana anaonekana kuchukua nafasi yenu kama wamiliki wa familia.
 
Timua pesa kitu gani wewe nyumba yako inakukosesha amani.
Wanaume wengine bwana.
 

haaaa!!!!!yani unakosa amani
ndani ya nyumba yako kisa beki tatu
timua nauli kitu gani bani?!!
 
HG ni sharti afuate masharti ya wenyenyumba, inabidi umweke sawa kwanza mkeo mkubaliane muishi maisha yale mnayoyataka, maisha kabla ya kumleta huyo HG. Ikibidi, mrudishe kwao, tafuta HG mwingine atakaye endana na matakwa yenu. Kama kitimoto huwa unaileta home na inatengenezwa na kuliwa, kwa nini HG iwe kikwazo kwako? Mbwa nao hawataki, na baadaye hata bia utaambiwa usilete home!!!
Huyo HG ni mtoto wa madrasa......!?!
 
Madiba ushauri mzuri. Nilikuwa nataka watu wa kunichallenge tu maana nilianza kujihisi pengine mimi nimekuwa mkorofi. And for Mkupuke, naheshimu sana dini yake mdada, ndio maana nilisitisha kitifire. Suluhu ni kumrushia (fukuza) maana kumlazimisha mtu kufanya kinyume na maadili ya imani yake sio ustaarabu. Amu binti sio Mrangi....ni Mhaya...(subiri reactions sasa....)
 
huyo atakuwa mrangi

Haswaaaa, hapo hapo Singida type, wanakerajee!!! Pia kuna ushirikina ndani yao, usipokuwa makini ataivuruga nyumba na familia yako nzima.
Nilikaa nae wiki moja masharti yakanishinda, nikatimua.
 
Wewe acha ubushoke! Yaani nyumbani Kwangu mwenyewe house girl anipangie masharti mpaka nione shida kuwahi kurudi nyumbani? Aah wapi. Labda Kama niko hoi kitandani sina fahamu.
 
Wewe acha ubushoke! Yaani nyumbani Kwangu mwenyewe house girl anipangie masharti mpaka nione shida kuwahi kurudi nyumbani? Aah wapi. Labda Kama niko hoi kitandani sina fahamu.
Ayayayah!! Naona kama umenivutisha bangi kabisa huyo atapitia dirishani usiku huu huu. Mama mkwe akipandisha interest rate ya mahali ilobakia namuwashia moto - pengine by the way alitumwa kuja kujaribu - huwezi jua. Basi. Leo anapata termination notice kubaf!!!
 
Madiba ushauri mzuri. Nilikuwa nataka watu wa kunichallenge tu maana nilianza kujihisi pengine mimi nimekuwa mkorofi. And for Mkupuke, naheshimu sana dini yake mdada, ndio maana nilisitisha kitifire. Suluhu ni kumrushia (fukuza) maana kumlazimisha mtu kufanya kinyume na maadili ya imani yake sio ustaarabu. Amu binti sio Mrangi....ni Mhaya...(subiri reactions sasa....)
Mmmh...kabila hili housigelo!!??acha utani bana...
 
Ayayayah!! Naona kama umenivutisha bangi kabisa huyo atapitia dirishani usiku huu huu. Mama mkwe akipandisha interest rate ya mahali ilobakia namuwashia moto - pengine by the way alitumwa kuja kujaribu - huwezi jua. Basi. Leo anapata termination notice kubaf!!!
tena muondoshe na mkongoto wa nguvu...nyambafuuu...aiseee kuna wasichana pasua kichwa
 
  • Thanks
Reactions: ram
Back
Top Bottom