Imetokea hali ya sintofahamu katika wilaya ya busega, watu wamekuwa wanakodi mabaunsa kwa lengo la kufanya fujo za kisiasa, hatujui lengo hasa la hawa watu. Siku zote tumekuwa tukifanya siasa za kistaarabu na tumekuwa tunaachiana uongozi pasipo vurugu.
Sasa hii hali ngeni iliyojitokeza hapana lazima suala hili lishughulikiwe, tuko katika mfumo wa vyama vingi siasa sio lazima uwe ccm tu, unaweza kwenda chadema cuf tlp au act kama kweli wananchi wanakupenda watakuchagua tu, yanini ukodi watu wa kupiga wengine, unapata faida gani unavyofanya mambo ya kihuni namna ile.
Sasa hii hali ngeni iliyojitokeza hapana lazima suala hili lishughulikiwe, tuko katika mfumo wa vyama vingi siasa sio lazima uwe ccm tu, unaweza kwenda chadema cuf tlp au act kama kweli wananchi wanakupenda watakuchagua tu, yanini ukodi watu wa kupiga wengine, unapata faida gani unavyofanya mambo ya kihuni namna ile.