Sauti ya Mamlaka
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,467
- 2,144
Najaribu kuwaza hivi sisi wana JF hatuwezi kuwa na bonanza letu kama wafanyavo watu wa twitter (TOT BONANZA) tukakutana pamoja, kula pamoja, kufurahi pamoja na kubadilishana mawazo.
Ni mawazo lakini
I stand to be corrected... Nawasilisha kwenu wajumbe..
Ni mawazo lakini
I stand to be corrected... Nawasilisha kwenu wajumbe..