GM kakuacha kwenye mataa chezea watoto ya mjini sasa naona umepagawa
uzuri mie sio mstaarabu as long as ustaarabu ni variable item...
Ila nataka tubadili standards za ustaarabu humu JF.
uzuri mie sio mstaarabu as long as ustaarabu ni variable item...
Ila nataka tubadili standards za ustaarabu humu JF.
We kijana mbishi..nimependa unavyokomaa kwenye kile unachokiamini...kama watu wa kwetu kuleee