Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
Namaanisha niyasemayo.
Kama tumeweza kumvumilia Mchambuzi na yale mathread yake marefu kama pasi za Liverpool, na kama imewezekana kuwavumilia FF, MaxShimba et al na udini wao karibu every post they make, tumevumilia signature ya Invisible ambayo ni kejeli ya waziwazi, licha ya kwamba imeambatana na Mail adress ambayo ni bosheni.
List goes on,
tumevumilia hawa maselebriti wa Chit-Chat na MMU ambao licha ya kuwa na posts na like za kumwaga, 75%> ya post zao ni pumba. Tumeweza kumvumilia Mwanakijiji, who posts nothing but siasa, tumemvumilia Dr. W. Slaa (wa JF), who never give a damn visit kwa jukwaa la Chit-Chat, even a single visit? Tumeivumilia thread ya Arsenal, iliyo ndefu kuliko zote humu JF, with more than 15'000 posts and several k's views...
Aah, tumeweza kumvumilia my 'ONE AND ONLY', G. Mpolee na ID zake tatu humu jamvini...
Why the same uvumilivu usiwe kwa Mphamvu, don't you see that hayo mnayoyaita matusi ni sehemu ya 'repetoir' yangu?
Nakula ban ya 5 sasa kwa ajili ya hayo matusi, jamani?
Ni wakati wa mods, admins na member kunivumilia kidogo.
I am badly in need of your tolerance, TIRED OF PRETENDING!
Kama tumeweza kumvumilia Mchambuzi na yale mathread yake marefu kama pasi za Liverpool, na kama imewezekana kuwavumilia FF, MaxShimba et al na udini wao karibu every post they make, tumevumilia signature ya Invisible ambayo ni kejeli ya waziwazi, licha ya kwamba imeambatana na Mail adress ambayo ni bosheni.
List goes on,
tumevumilia hawa maselebriti wa Chit-Chat na MMU ambao licha ya kuwa na posts na like za kumwaga, 75%> ya post zao ni pumba. Tumeweza kumvumilia Mwanakijiji, who posts nothing but siasa, tumemvumilia Dr. W. Slaa (wa JF), who never give a damn visit kwa jukwaa la Chit-Chat, even a single visit? Tumeivumilia thread ya Arsenal, iliyo ndefu kuliko zote humu JF, with more than 15'000 posts and several k's views...
Aah, tumeweza kumvumilia my 'ONE AND ONLY', G. Mpolee na ID zake tatu humu jamvini...
Why the same uvumilivu usiwe kwa Mphamvu, don't you see that hayo mnayoyaita matusi ni sehemu ya 'repetoir' yangu?
Nakula ban ya 5 sasa kwa ajili ya hayo matusi, jamani?
Ni wakati wa mods, admins na member kunivumilia kidogo.
I am badly in need of your tolerance, TIRED OF PRETENDING!