Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii move ni nzuri lakini kwanini wanafanyia 'msikitini'??
Hivi makanisa yakichomwa kwa mazingira haya nani alaumiwe kama si wao??
Kwa nini wasifanyie suala hili nje ya ulingo wa 'dini'??
BTW, Hongereni wakuu tuko pamoja hadi 'kieleweke' huko Zenj!!
.........ni kwa kuwa walikuwa na fikra pevu zilizoenda na wakati, (sijaunga hoja ya kuvunja Muungano lakini, hilo lieleweke)nyerere alisema awazanzibar wakikataa muungano sita wapiga mabomuuu sasa tanganyika mbona munasahau raisi wenu maneno yaka Karume muungano ni kama kotiiii likikubana unalivuwa
Mkuu atapelekwa tuuu subiri nadhani hawa wanajidanganya wanafikiri sirikali imelala usingizi kila mahala siku si nyingi tutaanza soma mengine hapa. Yupo kiongozi wao anawadanganya ndio maana wanadiriki kusimama misikitini na kuongea *****. Hapa ndio ccm itajuta kuungana na kafu maana inawawia vigumu kuwashughulikia wahusika. Nyerere wakati kama huu angekuwa ameshavaa sura ya nyani mpaka kieleweke.Enzi za Mwalimu this fellow (Farid Hadi Ahmed) angekuwa ameshapelekwa Mtwara kwa Land Rover 109...!
Mimi naona swali la muhimu moja tuu. Hawa mashehe wanapata wapi nguvu? Who is behind them
Hivi wewe umeambiwa na nani kama unaakili wewe mwenyewe, kwasababu ukionacho kwenye sura ya mwenzako ndio ulichonacho wewe. Suluhu ya kwenye meza ni kwa wenye akili wanaoambiwa wakajiambia na kusikia - wewe unaambiwa hatutaki muungano unang'ang'ana musijadili muungano ila katiba tu, ebo! hivi hizo ndio unaona wewe ni akili - hebu muulize tena aliyekuambia kuwa unazo kweli. Lakini sishangai akili haikai miguuni ni ajabu hii........?!!!
kila la kheli na ndoto na fikra za uonevu sijui wakipata uhuru itakuwa kwa wabara waliozaliwa huko watakuwaje..
Ndugu yangu usiwe na hofu juu ya hili, sisi Wazanzibari tuna-experience ambayo nyie wenzetu wa bongo hamna, Tukipitia chama wasema hawa wanataka kutugawa na kumwambia tendwa wafute na watatusimamisha mara moja. Ila kwenye msikiti nani ataufunga - hayupo na kama wanataka wajaribu tu, wameona Trailer ile 26th na 27th. Sasa sisi hatuna ugomvi na wakristo wala wabara waliopo hapa unguja na pemba - ikiwa hawatoingilia wala kujifanya wao wako kimbelembele kitawakuta kilichompata firauni. Maana saivi hatutanii kwa hili - hadi nchi ipatikane.