Hatutaki wakurugenzi wasimamie uchaguzi 2020

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Tunataka tume ya taifa ya uchaguzi ijitegemee yenyewe kusimamia zoezi la uchaguzi ifikapo 2020, tume ipeleke wawakilishi wake kwa kila wilaya na sio kuweka wakurugenzi wa halmashauri na manispaa kusimamia uchaguzi kuepusha biases.

Hatuwezi kua na uchaguzi huru na wa haki hata siku moja kuendelea kuwatumia makada wa wazi wazi wa chama tawala.

Hii sio fair kabisa na ndio maana wanawekwa makada watiifu wa chama kwa kila wilaya na manispaa kwa lengo mahsusi la kukilinda chama tawala wakati wa uchaguzi badala ya kuutumikia umma.

Yaani unaweka mwamuzi kuchezesha mechi ya Simba na Yanga huku yeye ni shabiki wa Yanga, hapa hapawezi kua na fair play ndio maana tunaona wachezaji wanafunga mabao ya mikono.

Hili lazima tulikatae kwa nguvu zote kabisa awamu hii. Wakurugenzi wabaki kufanya kazi zao na tume ya taifa ya uchaguzi nayo ifanya kazi yake. Tume iachane na kisingizio cha uhaba wa rasirimali watu, iajiri watu wa kutosha iwasambaze kila wilaya ili washughulike na uchaguzi tu na usndikishaji badala ya kuwatumia wakurugenzi.

Yaani eti Godfrey Kunambi aliyekua mwanasheria wa CCM ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma asimamie uchaguzi kati ya CCM na UKAWA? Kuna fair play hapo? Tuache hizi siasa za kizamani tubadili mfumo huu uliozeeka ambao ulitumika enzi za chama kimoja.

Hawa wakurugenzi wanaotafuna pesa za michango ya maafa wataacha vipi pesa za bure za wanasiasa? Lazima ifike mahali raia tushtuke juu ya hili! Tusikubaliane na baadhi ya mambo ambayo mwisho wake tunaishaia kupata wawakilishi wabovu na kubaki kulalama tu.

Wapinzani hili suala msiliache tena lishughulikieni kwa upande kwenu muache kulia lia na sisi kama raia wazalendo lazima tutalidai hili hatuwezi kuliacha. Titalidai kokote ili haki itendeke sehemu zote.
 
Tunataka tume ya taifa ya uchaguzi ijitegemee yenyewe kusimamia zoezi la uchaguzi ifikapo 2020, tume ipeleke wawakilishi wake kwa kila wilaya na sio kuweka wakurugenzi wa halmashauri na manispaa kusimamia uchaguzi kuepusha biases.Hatuwezi kua na uchaguzi huru na wa haki hata siku moja kuendelea kuwatumia makada wa wazi wazi wa chama tawala. Hii sio fair kabisa na ndio maana wanawekwa makada watiifu wa chama kwa kila wilaya na manispaa kwa lengo mahsusi la kukilinda chama tawala wakati wa uchaguzi badala ya kuutumikia umma.


Yaani unaweka mwamuzi kuchezesha mechi ya Simba na Yanga huku yeye ni shabiki wa Yanga, hapa hapawezi kua na fair play ndio maana tunaona wachezaji wanafunga mabao ya mikono. Hili lazima tulikatae kwa nguvu zote kabisa awamu hii. Wakurugenzi wabaki kufanya kazi zao na tume ya taifa ya uchaguzi nayo ifanya kazi yake. Tume iachane na kisingizio cha uhaba wa rasirimali watu, iajiri watu wa kutosha iwasambaze kila wilaya ili washughulike na uchaguzi tu na usndikishaji badala ya kuwatumia wakurugenzi.


Yaani eti Godfrey Kunambi aliyekua mwanasheria wa CCM ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma asimamie uchaguzi kati ya CCM na UKAWA? Kuna fair play hapo? Tuache hizi siasa za kizamani tubadili mfumo huu uliozeeka ambao ulitumika enzi za chama kimoja.


Hawa wakurugenzi wanaotafuna pesa za michango ya maafa wataacha vipi pesa za bure za wanasiasa? Lazima ifike mahali raia tushtuke juu ya hili! Tusikubaliane na baadhi ya mambo ambayo mwisho wake tunaishaia kupata wawakilishi wabovu na kubaki kulalama tu.


Wapinzani hili suala msiliache tena lishughulikieni kwa upande kwenu muache kulia lia na sisi kama raia wazalendo lazima tutalidai hili hatuwezi kuliacha. Titalidai kokote ili haki itendeke sehemu zote.


NIKWELI ILA KUTOKANA NA TATIZO LA BUDGET BASI ITABIDI TUSOGEZE MUDA WA KUCHAGUA RAIS ILI TUFANYE 2023 ILI TUPATE MDA WA KUANDAA TAASISI INAYOJITEGEMEA.
 
Wazo zuri sana sasa inabid tujipange nashaur uchaguz 2020 uhaieishwe mpaka 2025 ili tume iweze kujipanga zaid
 
Tunataka tume ya taifa ya uchaguzi ijitegemee yenyewe kusimamia zoezi la uchaguzi ifikapo 2020, tume ipeleke wawakilishi wake kwa kila wilaya na sio kuweka wakurugenzi wa halmashauri na manispaa kusimamia uchaguzi kuepusha biases.Hatuwezi kua na uchaguzi huru na wa haki hata siku moja kuendelea kuwatumia makada wa wazi wazi wa chama tawala. Hii sio fair kabisa na ndio maana wanawekwa makada watiifu wa chama kwa kila wilaya na manispaa kwa lengo mahsusi la kukilinda chama tawala wakati wa uchaguzi badala ya kuutumikia umma.


Yaani unaweka mwamuzi kuchezesha mechi ya Simba na Yanga huku yeye ni shabiki wa Yanga, hapa hapawezi kua na fair play ndio maana tunaona wachezaji wanafunga mabao ya mikono. Hili lazima tulikatae kwa nguvu zote kabisa awamu hii. Wakurugenzi wabaki kufanya kazi zao na tume ya taifa ya uchaguzi nayo ifanya kazi yake. Tume iachane na kisingizio cha uhaba wa rasirimali watu, iajiri watu wa kutosha iwasambaze kila wilaya ili washughulike na uchaguzi tu na usndikishaji badala ya kuwatumia wakurugenzi.


Yaani eti Godfrey Kunambi aliyekua mwanasheria wa CCM ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma asimamie uchaguzi kati ya CCM na UKAWA? Kuna fair play hapo? Tuache hizi siasa za kizamani tubadili mfumo huu uliozeeka ambao ulitumika enzi za chama kimoja.


Hawa wakurugenzi wanaotafuna pesa za michango ya maafa wataacha vipi pesa za bure za wanasiasa? Lazima ifike mahali raia tushtuke juu ya hili! Tusikubaliane na baadhi ya mambo ambayo mwisho wake tunaishaia kupata wawakilishi wabovu na kubaki kulalama tu.


Wapinzani hili suala msiliache tena lishughulikieni kwa upande kwenu muache kulia lia na sisi kama raia wazalendo lazima tutalidai hili hatuwezi kuliacha. Titalidai kokote ili haki itendeke sehemu zote.
Sisiem bila kutumia vyombo vya dola ni wepesi kama tissue paper.....

Teuzi zote za ngazi mbalimbali katika serikali hii ya awamu ya 5 kama vile uRC, uDC na uDED, qualification no 1 ni lazima uwe kada wa Sisiem......

Na hiyo ndiyo siri kubwa ya ushindi wa Sisiem kwenye chaguzi zote.......
 
NIKWELI ILA KUTOKANA NA TATIZO LA BUDGET BASI ITABIDI TUSOGEZE MUDA WA KUCHAGUA RAIS ILI TUFANYE 2023 ILI TUPATE MDA WA KUANDAA TAASISI INAYOJITEGEMEA.
Sio sababu! Nchi ina pesa za kutosha.
 
KATIBA MPYA TENA ANGALAU ILE YA WARIOBA NDIO ITAKUWA UNAFUU maana rais atakaye kuja yeye atasema hapa UVIVU tutarudi nyuma kms nyingi tu
 
Tunataka tume ya taifa ya uchaguzi ijitegemee yenyewe kusimamia zoezi la uchaguzi ifikapo 2020, tume ipeleke wawakilishi wake kwa kila wilaya na sio kuweka wakurugenzi wa halmashauri na manispaa kusimamia uchaguzi kuepusha biases.Hatuwezi kua na uchaguzi huru na wa haki hata siku moja kuendelea kuwatumia makada wa wazi wazi wa chama tawala. Hii sio fair kabisa na ndio maana wanawekwa makada watiifu wa chama kwa kila wilaya na manispaa kwa lengo mahsusi la kukilinda chama tawala wakati wa uchaguzi badala ya kuutumikia umma.


Yaani unaweka mwamuzi kuchezesha mechi ya Simba na Yanga huku yeye ni shabiki wa Yanga, hapa hapawezi kua na fair play ndio maana tunaona wachezaji wanafunga mabao ya mikono. Hili lazima tulikatae kwa nguvu zote kabisa awamu hii. Wakurugenzi wabaki kufanya kazi zao na tume ya taifa ya uchaguzi nayo ifanya kazi yake. Tume iachane na kisingizio cha uhaba wa rasirimali watu, iajiri watu wa kutosha iwasambaze kila wilaya ili washughulike na uchaguzi tu na usndikishaji badala ya kuwatumia wakurugenzi.


Yaani eti Godfrey Kunambi aliyekua mwanasheria wa CCM ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma asimamie uchaguzi kati ya CCM na UKAWA? Kuna fair play hapo? Tuache hizi siasa za kizamani tubadili mfumo huu uliozeeka ambao ulitumika enzi za chama kimoja.


Hawa wakurugenzi wanaotafuna pesa za michango ya maafa wataacha vipi pesa za bure za wanasiasa? Lazima ifike mahali raia tushtuke juu ya hili! Tusikubaliane na baadhi ya mambo ambayo mwisho wake tunaishaia kupata wawakilishi wabovu na kubaki kulalama tu.


Wapinzani hili suala msiliache tena lishughulikieni kwa upande kwenu muache kulia lia na sisi kama raia wazalendo lazima tutalidai hili hatuwezi kuliacha. Titalidai kokote ili haki itendeke sehemu zote.
Wakurugenzi hao hao wamesimamia Mbowe ,Lema ,Msigwa, Sugu wakashinda.

Bavicha mnatafuta visingizio
 
Tunataka tume ya taifa ya uchaguzi ijitegemee yenyewe kusimamia zoezi la uchaguzi ifikapo 2020, tume ipeleke wawakilishi wake kwa kila wilaya na sio kuweka wakurugenzi wa halmashauri na manispaa kusimamia uchaguzi kuepusha biases.Hatuwezi kua na uchaguzi huru na wa haki hata siku moja kuendelea kuwatumia makada wa wazi wazi wa chama tawala. Hii sio fair kabisa na ndio maana wanawekwa makada watiifu wa chama kwa kila wilaya na manispaa kwa lengo mahsusi la kukilinda chama tawala wakati wa uchaguzi badala ya kuutumikia umma.


Yaani unaweka mwamuzi kuchezesha mechi ya Simba na Yanga huku yeye ni shabiki wa Yanga, hapa hapawezi kua na fair play ndio maana tunaona wachezaji wanafunga mabao ya mikono. Hili lazima tulikatae kwa nguvu zote kabisa awamu hii. Wakurugenzi wabaki kufanya kazi zao na tume ya taifa ya uchaguzi nayo ifanya kazi yake. Tume iachane na kisingizio cha uhaba wa rasirimali watu, iajiri watu wa kutosha iwasambaze kila wilaya ili washughulike na uchaguzi tu na usndikishaji badala ya kuwatumia wakurugenzi.


Yaani eti Godfrey Kunambi aliyekua mwanasheria wa CCM ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma asimamie uchaguzi kati ya CCM na UKAWA? Kuna fair play hapo? Tuache hizi siasa za kizamani tubadili mfumo huu uliozeeka ambao ulitumika enzi za chama kimoja.


Hawa wakurugenzi wanaotafuna pesa za michango ya maafa wataacha vipi pesa za bure za wanasiasa? Lazima ifike mahali raia tushtuke juu ya hili! Tusikubaliane na baadhi ya mambo ambayo mwisho wake tunaishaia kupata wawakilishi wabovu na kubaki kulalama tu.


Wapinzani hili suala msiliache tena lishughulikieni kwa upande kwenu muache kulia lia na sisi kama raia wazalendo lazima tutalidai hili hatuwezi kuliacha. Titalidai kokote ili haki itendeke sehemu zote.
Hamjui mnachokitaka,wenzako hawataki tume,hawataki katiba wewe unaitaka tume lakini sio wakurugenzi!
 
Back
Top Bottom