Yaani hako kandege hakana mvuto kabisa!
Ila mwanzo mgumu!!! Tutafika tu na sisi. Tusitake kujilinganisha na mashirika yalioendelea. Ni kama vile mtu alivunjika mguu, akafungwa P.O.P na baada ya miezi kadhaa akapona. Hatoweza tembea kama zamani hapohapo... Itachukua mda.
Tujipongeze kwa hatua tuliochukua.