Kama kawaida ya wanadamu huwa tunaagalia udhaifu wa mtoa mjumbe. Nilipoangalia avata yako hata kile nilichotaka kuandika kikayeyuka chenyeweHii album unaweza isikiliza kila wakati na usichoke. Jamaa kweli ni No1 International praiser.
Hail to the king, You'll be my song, God of Abraham, Painter of the sky. aaah Don noma.
Andika tu mtumishi kiujazacho moyo ndicho humtoka...kwangu zimejaa sifa za Muumba kupitia Don na nimezitema hapo.Nawe Tema tu ulichonuia.Kama kawaida ya wanadamu huwa tunaagalia udhaifu wa mtoa mjumbe. Nilipoangalia avata yako hata kile nilichotaka kuandika kikayeyuka chenyewe