MTAKA HABARI
Senior Member
- Jan 17, 2019
- 123
- 149
Sisi wananchi wa kata ya Kwakilosa iliyopo manispaa ya Iringa tunanyanyasika na mtendaji wetu wa kata aitwaye Upendo Msafiri Amulike kwanza ana majibu mabaya kwetu wananchi na tukiuliza kuhusu mapato ya kata anakuwa mbishi.
Wananchi wamekuwa wakipigwa faini kwa habari ya ishu ya usafi lakini ukiuliza kuhusu matumizi ya pesa haieleweki na amekuwa ni mtu ambaye haeleweki na ni mjanja sana kwa mambo ya kifedha.
Pia wakati wa uchaguzi akiwa kama msimamizi wetu wauchaguzi alitujibu vibaya hasa alipoiba fedha za uchaguzi na kudai ameibiwa, ni muongo.
Hatumtaki huyu mtendaji Upendo Amulike asimamishwe kazi na ahamishwe hapa kata ya Kwakilosa. Wakati wa ziara za mkuu wa mkoa alipofika kwenye kata tulitoa hili lalamiko lakini ilionekana muda umekwishwa.
Hatumtaki huyu mtendaji na mara nyingi amekuwa akiwasema vibaya watendaji wa mitaa kwa mkurugenzi hadi kusababisha baadhi ya watendaji wa mitaa kuhamishwa na mkurugenzi, amekuwa ni tatizo huyu mtendaji na mara nyingi anatutishia sana kwa cheo chake.
Naomba uongozi wa mkoa wa Iringa uingilie kati madai yetu kwa huyu mtendaji wa kata Bi. Upendo Msafiri Amulike kwa kweli hatumtaki tutafutieni mtendaji mwingine.
Wananchi wamekuwa wakipigwa faini kwa habari ya ishu ya usafi lakini ukiuliza kuhusu matumizi ya pesa haieleweki na amekuwa ni mtu ambaye haeleweki na ni mjanja sana kwa mambo ya kifedha.
Pia wakati wa uchaguzi akiwa kama msimamizi wetu wauchaguzi alitujibu vibaya hasa alipoiba fedha za uchaguzi na kudai ameibiwa, ni muongo.
Hatumtaki huyu mtendaji Upendo Amulike asimamishwe kazi na ahamishwe hapa kata ya Kwakilosa. Wakati wa ziara za mkuu wa mkoa alipofika kwenye kata tulitoa hili lalamiko lakini ilionekana muda umekwishwa.
Hatumtaki huyu mtendaji na mara nyingi amekuwa akiwasema vibaya watendaji wa mitaa kwa mkurugenzi hadi kusababisha baadhi ya watendaji wa mitaa kuhamishwa na mkurugenzi, amekuwa ni tatizo huyu mtendaji na mara nyingi anatutishia sana kwa cheo chake.
Naomba uongozi wa mkoa wa Iringa uingilie kati madai yetu kwa huyu mtendaji wa kata Bi. Upendo Msafiri Amulike kwa kweli hatumtaki tutafutieni mtendaji mwingine.