huko kwenu vipi
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 1,540
- 1,475
HUO NDIYO UKWELI. SUBIRI WA BUKU 7 ZA MZEE POLE POLE WAJE
serikali ya ccm imefilisika, imefikia hatua ya kufuta increment? Teh teh teh
Nilijua tu uhakiki ni kichaka cha wahuni na wapiga dili wa chama cha majambazi.
Raisi anafuta ajira halafu anasema hapa kazi tu na watu wanapiga makofi. Teh teh teh
Ni hatari sana mtu mwenye mawazo ya kimasikini kupewa nyadhifa kubwa km hiyo. Na mm nasubiria kwa hamu waniteke sbb ndiyo njama zao siku hiz.