HATUCHEZI Vs No Reform No Election

HATUCHEZI Vs No Reform No Election

Consigliere

Platinum Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
12,690
Reaction score
26,567
Hizi kampeni zinafanana kwa kiasi kikubwa sana na ndiyo zinepamba moto nchini Tanzania.

Kutokana na kufanana huko, upande mmoja unaweza ukaagizwa na mamlaka kuachana na HATUCHEZI ikiwa ni hali ya kutapatapa kujaribu kupunguza makali ya No Reform No Election ambayo imekuwa ni mwiba mchungu wenye sumu.

Yote kwa yote, what a concidenxe kuona No Reform No Election inekutana na HATUCHEZI zote zikiwa zinadai HAKI.
 
Hizi kampeni zinafanana kwa kiasi kikubwa sana na ndiyo zinepamba mo
20250608_030243.jpg
to nchini Tanzania.

Kutokana na kufanana huko, upande mmoja unaweza ukaagizwa na mamlaka kuachana na HATUCHEZI ikiwa ni hali ya kutapatapa kujaribu kupunguza makali ya No Reform No Election ambayo imekuwa ni mwiba mchungu wenye sumu.

Yote kwa yote, what a concidenxe kuona No Reform No Election inekutana na HATUCHEZI zote zikiwa zinadai HAKI.
 
Hizi kampeni zinafanana kwa kiasi kikubwa sana na ndiyo zinepamba moto nchini Tanzania.

Kutokana na kufanana huko, upande mmoja unaweza ukaagizwa na mamlaka kuachana na HATUCHEZI ikiwa ni hali ya kutapatapa kujaribu kupunguza makali ya No Reform No Election ambayo imekuwa ni mwiba mchungu wenye sumu.

Yote kwa yote, what a concidenxe kuona No Reform No Election inekutana na HATUCHEZI zote zikiwa zinadai HAKI.
Umewashtua
 
Yanga wanataka haki inayoporwa na Tff na bodi ya ligi dhidi ambayo ikejikita kutetea upande mmoja, Chadema wanataka tume huru ya uchaguzi ambayo itakuwa sawa katika uwanja wa mapambano dhidi ya vyama vyote.
Serikali haiwezi hata kutia kidole kwenye suala la yanga coz wakifanya hivyo majibu yake watayapat octoba!.
 
Hiyo hatuchezi ndo naiskia hapa, mimi muda wote nasikia no reform o election
 
Yanga wanataka haki inayoporwa na Tff na bodi ya ligi dhidi ambayo ikejikita kutetea upande mmoja, Chadema wanataka tume huru ya uchaguzi ambayo itakuwa sawa katika uwanja wa mapambano dhidi ya vyama vyote.
Serikali haiwezi hata kutia kidole kwenye suala la yanga coz wakifanya hivyo majibu yake watayapat octoba!.
Reform zinahitajika kila mahali
 
Back
Top Bottom