Sawa,mm nataka kufahamu kama ilkuwa usiku au mchana au hali gani?maana usiku na mchana yaani dunia na juaUumbaji wa Kimungu ni tofauti na uumbaji wa mwanadamu, yeye alitamka na ikawa
....zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwepo na zitarudi tena...hakuna kidumucho milele iwe furaha ama huzuni kushuka au kupanda, kukwama au kufanikiwa. ...
[emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22] [emoji22]Mungu huwa anapumzika mkuu?Tuache masihara na suala la uumbaji wa Mungu.
Samahani mkuu naheshimu mabandiko yako sana sasa ningependa kujuzwa siku ya saba alipumzika kwa uchovu ama kwa maana ipi?Siku ya saba alifanya kazi gani?
Imeandikwa alipumzika, ila haijatolewa ufafanuzi kwanini alipumzikaSamahani mkuu naheshimu mabandiko yako sana sasa ningependa kujuzwa siku ya saba alipumzika kwa uchovu ama kwa maana ipi?
Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
Kama hizi haya ndio mawazo huru basi kazi ipomshana Jr acha kudanganya watu kwa simple mind kama hiZi!Wewe umeshindwa hadi leo kuthibitishwa kwamba MUNGU yupo.
Hivi inakuwaje mungu apumzike?MUNGU anahitaji kupumzika?All knowing all perfect anahitahi mapumziko?.Je anatofauti gani na mwanadamu?.Kwa maana nyingine mungu anachoka?.
HAKUNA MUNGU
....Free ideas...
Kama hizi haya ndio mawazo huru basi kazi ipo
Ooh kumbe...! Hebu weka link moja tu niliyo Google kujustify your allegations nitakuona wa maana sana laa sivyo ukishindwa nitakuona mpuuzi kuliko wale vijana wenye tabia za kishogaWewe huna hoja yenyw mashiko zaidi ya kudanganya watu humu na vistory vyako vya kichawi vya ku-google na ku-translate into swahili.Huwa uwezo wa kujadili hoja mezani.
Kuna siku nilikuambia kitu naona hukuzingatia lakini siku ZAJA UTAKUMBUKA
.........Free ideas...
Siku sita au saba au tatu ni namba zenye maana fulani tu.Haimaanishi Mungu alitumia kweli siku sita.Tafsiri halisi ni kwamba Mungu alichukua muda kadhaa kabla ya kukamilisha uumbaji wa kila kitu na hatimaye kufanya tathimini(kupumuzika).Sisi binaadamu tunahisabu siku kutokana na usiku na mchana na nilazima kuwepo jua na dunia,wakati mungu anaumba hivyo vitu havikuwepo je ni siku gn Mungu alizo tumia kuumba hivyo vitu?
Tunaposoma Biblia yatupasa tuelewe maudhui ya mwandishi ni nini.Wale waandishi walifunuliwa hayo maudhui ( skeletons) lakini ili tuyaelewe ilipaswa yaelezwe katika lugha tunayoielewa (Skeleton kuwekewa nyama). Haiwezekani "Form" yoyote ya Mungu ikaeleweka kwetu vile vile bila decoding kwanza kufanyika. Chukulia mfano wa watu wa Programing lugha wanayotumia si kile unachokiona wewe kwa macho.Sawa,mm nataka kufahamu kama ilkuwa usiku au mchana au hali gani?maana usiku na mchana yaani dunia na jua
muda huo havikuwepo.
Hongereni ziko vizuri hizo replies zenuInashangaza pale unapojifunza kuwa Mungu yupo systematic sana.
Musa aliandika Mungu aliumba dunia kwa siku sita... ila ukweli ni kuwa Mungu hafungwi na muda yeye yupo nje ya muda.. ukiangalia pia muda uliumbwa na Mungu (rejea Mwanzo 1:1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbigu na nchi/ In the beginning, God created heaven and earth).
In the beginning: hii inaelezea kuwa kitu cha kwanza kuumbwa katika Ulimwengu ilikuwa ni Muda=Time. Beginning inaonyesha mwanzo wa count down.. yani muda.. kama ni saa basi ilianzia hapo.
God created Heaven: Hapa tunaona Mungu aliumba Mbigu/ space
And Earth: hapa tunaona Mungu aliumba matter ( gas, solid and liquid) hizi ndio aina kuu tatu ya vitu vinavyopatikana katika dunia na mbingu (space)
Kwa hiyo Biblia imeandika vitu ambavyo wanasayansi wametumia miaka maelfu kuvitambua.. ya kuwa Ulimwengu au Universe ina vitu vikuu vitatu.. Matter.. space/time.
Na cha ajabu.. Mungu aliumba mwanadamu mmoja tu kutoka kwenye udongo.. Hawa au Eva alitoka kwa Adamu.. hivyo Mungu hakurudi tena kwenye udongo mara mbili. Na aliweka ndani yao dunia nzima kupitia mbegu za uzazi.. sawasawa na mimea ambayo aliiumba mara moja tu.. na kuweka mbegu ndani yake ili iendelee kuzaa mpaka mwisho wa Dunia.
Mungu wetu ni wa ajabu sana..
Tunaposoma Biblia yatupasa tuelewe maudhui ya mwandishi ni nini.Wale waandishi walifunuliwa hayo maudhui ( skeletons) lakini ili tuyaelewe ilipaswa yaelezwe katika lugha tunayoielewa (Skeleton kuwekewa nyama). Haiwezekani "Form" yoyote ya Mungu ikaeleweka kwetu vile vile bila decoding kwanza kufanyika. Chukulia mfano wa watu wa Programing lugha wanayotumia si kile unachokiona wewe kwa macho.
Ili kueleweka ninachokisema angalia jinsi Yesu alipotaka kuja kwetu ilibidi achukue "form" sawa na yetu: awe na milango sita ya fahamu ndio tuelewane.
Hebu na wewe thibitisha bila kuacha chembe ya Shaka kuwa hakuna Mungumshana Jr acha kudanganya watu kwa simple mind kama hiZi!Wewe umeshindwa hadi leo kuthibitishwa kwamba MUNGU yupo.
Hivi inakuwaje mungu apumzike?MUNGU anahitaji kupumzika?All knowing all perfect anahitahi mapumziko?.Je anatofauti gani na mwanadamu?.Kwa maana nyingine mungu anachoka?.
HAKUNA MUNGU
....Free ideas...
Ww mshana kama mambo ya kichawi haugoogle ina maana wewe ni mchawi hadi unaujua uchawi vile?Ooh kumbe...! Hebu weka link moja tu niliyo Google kujustify your allegations nitakuona wa maana sana laa sivyo ukishindwa nitakuona mpuuzi kuliko wale vijana wenye tabia za kishoga
Nakuhahakishia unachoweza kuandika wewe ni vitu kama hivi vya kimbeambea na ujuaji wa kipuuzi nje ya hapo huwezi jenga hoja yoyote labda ziwe za rusharoho
Biblia inasema kwa mungu miaka 1000 ni sawa siku moja na siku 1 ni sawa na miaka 1000.View attachment 362038Najua fika kwamba wengi watadhani ni ule uumbaji wa Kimungu uumbaji ule wa dunia na kila kilichopo
Hapa nazungumzia uumbaji wa uundaji japo kuna mfanano wa ajabu kwamba dunia iliumbwa kwa siku sita na ya saba ikawa mapumziko...lakini ukija kuangalia hiyo siku ya saba Aliyepumzika ni Mungu na si vile alivyoumba
Kimsimgi uumbaji hauna mwisho kazi ya kuumbwa inapokamilishwa na muumbaji, kilichoumbwa huanza safari ya kujiendeleza uumbaji...sasa kabla hatujafika huko hebu tuone hatua hizi sita za uumbaji
1. Hatua ya kwanza ni wazo... binadamu hushauriana na nafsi yake na ufahamu wake! Hapa ni yeye pekeyake baadae huwajulisha wengine nje ya ufahamu wake na nafsi yake au hufanya mwenyewe, dhana ya umoja na wingi! Mungu akasema na 'tuumbe mtu kwa mfano wetu'
2. Matayarisho: wazo linapokubalika matayarisho huanza ya vifaa ya pesa ya watu ya eneo nk nk...Mungu yeye alikwisha andaa bustani ya eden
3. Uumbaji: baada ya matayarisho yote muhimu kukamilika kazi ya uumbaji/uundaji huanza hapa Inategemea na ukubwa au udogo wa kitu , uundaji wa meli ni tofauti na uundaji wa kitanda, Mungu alitumia siku sita kuumba ulimwengu na kuunda kila kilichopo (siku sita hizi hatujui kwa hakika kama ni hizi tunazozijua ama la)
4. Kitu kipya hutokea baada ya uumbaji kukamilika, hiki ni kitu kipya baada ya kukamilika kazi ya uumbaji, kamwe hakiwezi kuwa kipya tena daima dawamu, wala huwezi kurudia ule mchakato hata iweje....kwamba kilichoumbwa kimeumbwa na ndio maana hata Mwenyezi Mungu baada ya uumbaji ule na maudhi aliyofanyiwa na nyoka kule mbinguni na Adam na Eva kule Eden hakuweza tena kuwateketeza au kuwarudisha alikowatoa au kutengua uumbaji wa dunia na kila kilichopo
5. Uchakavu: chochote kipya kitapotoka kuundwa huanza kuchakaa hapo hapo hata kama hakitatumika kitachakaa tuu....mtoto anapozaliwa amezaliwa huwezi kumrudisha tena tumboni mwa mama yake
6. Mwisho wa matumizi, kifo kuoza na kuanza mchachato mwingine wa uumbaji...kwamba ipende unavyoipenda gari yako au nyumba yako au nguo nk..kila siku inayopita ndio inaelekea kaburi la uchakavu, au chuma chakavu uzee na hatimaye kifo na kuwa recycled tayari kwa matumizi mengine mapya aidha kwa mtindo ule ule au(reborn) au kwa matumizi mengine (reincarnation)
Kwahiyo uumbaji hauna mwisho vitu vinaundwa vinatumika vinazeeka kuharibika na kutumiwa kwa matumizi mengine
Upende mwili wako uupendavyo lakini kamwe hutakuwa wewe wa jana na wa sasa hutakuwa wewe wa kesho
Tunakuwa na mapenzi yaliyopitiliza kwenye vitu...vile tuvipendavyo sana hatutaki vituondoke, na hutumia hata nguvu za ziada kuvihodhi, vile tusivyovipenda tunataka vituondoke haraka...ni kanuni ya kiasili ya binadamu
Hakuna kidumucho milele, hatua sita za uumbaji huzunguka kwenye gurudumu lisilo na mwisho...
KUMBUKA: ZIJAPOPITA SIKU ZA FURAHA USIHUZUNIKE BALI UFURAHI KWAKUWA ZILIKUWEPO
Ishi kwa tafakuri kuu...Alamsiki...!!!