Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,495
- 5,531
Mwongozo huu unaweza kutumika kwa aina nyingi za biashara lakini kwa leo nitajikita katika katika biashara ya Independent Consultant/Consultant/Mshauri Mwelekezi
Consultant ni mtu mwenye,ujuzi,utaalamu na taarifa kuhusu jambo fulani ambaye anatoa huduma ya kushauri, kuelekeza, kusimamia, kutaarifu, kutafiti na hata kufundisha wengine juu ya jambo hilo ili kuwasadia kufikia lengo lao.
Unaweza kuwa mshauri wa kibiashara, kisheria, kiufundi, kielimu, kibinafsi, mahusiano,masoko, kilimo, ufugaji, afya, malezi, muziki, manunuzi,
uajiri,etc
Unaweza kuwa mshauri katika eneo lolote lile unalolimudu na amini nakuambia kuna mtu ambae yuko tayari kulipia ili kuzungumza na wewe kuhusiana na eneo fulani la utaalamu wako.
Yupo mtu ambaye anahitaji ujuzi ulio nao.Yupo ambaye anahitaji taarifa ulizo nazo, yupo mtu ambaye anahitaji muda wako.
Consultants wote huwa wanauza maarifa yao na muda wao. Hii ndio bidhaa yao kuu.
Ili kuanzisha consultancy firm ni lazima uwe na maarifa, na uwe na Muda. Muhimu zaidi ni lazima ufahamu thamani ya bidhaa yako hii (Muda wako na Maarifa yako). Ni lazima pia ufahamu ni wapi bidhaa yako ina soko zaidi.
Ili kuanzisha consultancy firm ni lazima uongeze thamani ya bidhaa zako, yaani uongeze thamani ya Muda wako, na uongeze thamani ya Maarifa yako.
Ili kuongeza thamani ya muda wako ni lazima ufahamu matumizi bora na sahihi ya muda kwani muda tulio nao wote ni limited 24hours. Ili kuongeza thamni ya maarifa yako ni lazima uwe na utamaduni wa kujifunza kwa njia tofauti.
Katika matumizi ya muda ni muhimu ukafahamu kabisa ni wakati gani huwa ni bora kwako kufanya jambo fulani mfano kusoma, kufundisha, kuandika, kusongea, kupumzika n.k.
Kwa kufahamu wakati bora utaweza kupangilia ratiba yako kwa kuzingatia wakati bora na sahihi kwa kufanya jambo fulani.
Mfano kuna watu ambao wako mentally active usiku zaidi kuliko mchana hivyo basi zile kazi ambazo zinahitaji ubongo huzianya usiku.
Sasa nirudi kwenye lengo la msingi la UZI HUU.
Kabla ya kufanuya jambo lolote tambua eneo ambalo ungependa kujikita zaidi kulingana na kiwango chako cha elimu, uzoefu, mtandao wako na hata hobby yako.
Pili thaminisha thamni ya ujuzi huu (Price) kama mtu atapaswa kukuilipa unafikiri akulipeje? Unapofikira Bei hakikisha unakuwa na bei kulingana na Demand ya huduma, supply ya huduma, hali ya uchumi, malengo yako, umaarufu wako na wateja unaowalenga.
Weka bei rafiki kwa ina zote za wateja,usiweke bei ya chini sana wala usiweke bei ya juu na daima hakikisha unakuwa na Premium Prices kwa wale ambao wanataka huduma za ziada.
Unapotambua eneo lako la uzamifu basi unatakiwa uchagua brand. Je utatumia personal brand au independent brand.
Kumbuka hata ukichagua Independent brand bado utahitaji kuwa na personal Brand.
Baada ya kumaliza hatua hizo hapo juu hatua inayofuata ni kujisajili. Kama fani uliyochagua ina association au regulatory body basi jiunge nao mapema kabisa.
Vile vile unaweza kujisaji kwa kutumia sheria ya Majina ya Biashara na Hata kujisajili kulipa kodi na kujipatia leseni ya biashara kulingana na uwezo wako.
Kumbuka kama wewe ni mshauri mwelekezi usihangaike kukodisha Fremu kwa ajili ya ofisi katika hatua za mwanzo bali unaweza kutumia maeneo yafuatayo kama ofisi ya muda:
Baada ya kuchagu sehemu ya kufanyia kazi ni muhimu sana uwe na website kwa ajili ya kutangaza biashara yako.
Unaweza kuongeza na kurasa za mitandao ya kijamii, ili kuongeza mtandao. Katika website yako hakikisha unakuwa na segemu ya kuweka maandiko (Publications) mbalimbali ambayo unaweza kuweka mambo mbalimbali kama vile CASE STUDIES, WHITE PAPERS, RESEARCH REPORTS na CURRENT TRENDS za eneo lako.
Hii ina maana kwamba kama mshauri unapaswa kutumia muda wako mwingi kuandaa CASE STUDIES, WHITE PAPERS na TAFITI ambazo zitazidi kuonesha utaalamu wako.
Hakikisha unakuwa na Emails za wateja wako na watu wengine ambao unaweza kuwatumia hizi report zako ili kuhakikisha kwamba unawafikia watu wengi sana.
Ni matumaini yangu kwamba andiko hilo litawapa hamasa wale ambao wanafikiri kwamba kujiajiri ni kazi ngumu/rahisi ili watambue kwamba jambo la muhimu ni kuwa na nia madhubuti pamoja na bidii.
Iwapo unahitaji ushauri,msaada katika kufikia lengo la kuanzisha biashara yako usisite kuwasiliana nasi kwa EMAIL:MASOKOTZ@YAHOO.COM ambapo utaweza kupata huduma za usajili wa Biashara yako, Kutengenezewa Website, Kufundishwa jinsi ya kufanya case studies, kuandika white papers na hata kukuza biashara yako kwa gharama nafuu na uhakika.
Tuwasiliane kwa masokotz@yahoo.com
Consultant ni mtu mwenye,ujuzi,utaalamu na taarifa kuhusu jambo fulani ambaye anatoa huduma ya kushauri, kuelekeza, kusimamia, kutaarifu, kutafiti na hata kufundisha wengine juu ya jambo hilo ili kuwasadia kufikia lengo lao.
Unaweza kuwa mshauri wa kibiashara, kisheria, kiufundi, kielimu, kibinafsi, mahusiano,masoko, kilimo, ufugaji, afya, malezi, muziki, manunuzi,
uajiri,etc
Unaweza kuwa mshauri katika eneo lolote lile unalolimudu na amini nakuambia kuna mtu ambae yuko tayari kulipia ili kuzungumza na wewe kuhusiana na eneo fulani la utaalamu wako.
Yupo mtu ambaye anahitaji ujuzi ulio nao.Yupo ambaye anahitaji taarifa ulizo nazo, yupo mtu ambaye anahitaji muda wako.
Consultants wote huwa wanauza maarifa yao na muda wao. Hii ndio bidhaa yao kuu.
Ili kuanzisha consultancy firm ni lazima uwe na maarifa, na uwe na Muda. Muhimu zaidi ni lazima ufahamu thamani ya bidhaa yako hii (Muda wako na Maarifa yako). Ni lazima pia ufahamu ni wapi bidhaa yako ina soko zaidi.
Ili kuanzisha consultancy firm ni lazima uongeze thamani ya bidhaa zako, yaani uongeze thamani ya Muda wako, na uongeze thamani ya Maarifa yako.
Ili kuongeza thamani ya muda wako ni lazima ufahamu matumizi bora na sahihi ya muda kwani muda tulio nao wote ni limited 24hours. Ili kuongeza thamni ya maarifa yako ni lazima uwe na utamaduni wa kujifunza kwa njia tofauti.
Katika matumizi ya muda ni muhimu ukafahamu kabisa ni wakati gani huwa ni bora kwako kufanya jambo fulani mfano kusoma, kufundisha, kuandika, kusongea, kupumzika n.k.
Kwa kufahamu wakati bora utaweza kupangilia ratiba yako kwa kuzingatia wakati bora na sahihi kwa kufanya jambo fulani.
Mfano kuna watu ambao wako mentally active usiku zaidi kuliko mchana hivyo basi zile kazi ambazo zinahitaji ubongo huzianya usiku.
Sasa nirudi kwenye lengo la msingi la UZI HUU.
Kabla ya kufanuya jambo lolote tambua eneo ambalo ungependa kujikita zaidi kulingana na kiwango chako cha elimu, uzoefu, mtandao wako na hata hobby yako.
Pili thaminisha thamni ya ujuzi huu (Price) kama mtu atapaswa kukuilipa unafikiri akulipeje? Unapofikira Bei hakikisha unakuwa na bei kulingana na Demand ya huduma, supply ya huduma, hali ya uchumi, malengo yako, umaarufu wako na wateja unaowalenga.
Weka bei rafiki kwa ina zote za wateja,usiweke bei ya chini sana wala usiweke bei ya juu na daima hakikisha unakuwa na Premium Prices kwa wale ambao wanataka huduma za ziada.
Unapotambua eneo lako la uzamifu basi unatakiwa uchagua brand. Je utatumia personal brand au independent brand.
Kumbuka hata ukichagua Independent brand bado utahitaji kuwa na personal Brand.
Baada ya kumaliza hatua hizo hapo juu hatua inayofuata ni kujisajili. Kama fani uliyochagua ina association au regulatory body basi jiunge nao mapema kabisa.
Vile vile unaweza kujisaji kwa kutumia sheria ya Majina ya Biashara na Hata kujisajili kulipa kodi na kujipatia leseni ya biashara kulingana na uwezo wako.
Kumbuka kama wewe ni mshauri mwelekezi usihangaike kukodisha Fremu kwa ajili ya ofisi katika hatua za mwanzo bali unaweza kutumia maeneo yafuatayo kama ofisi ya muda:
- Kwenye hotel na migahawa mikubwa yenye utulivu ambapo unaweza kupata free wifi na ukanunua kinywji cha moto au baridi na ukafanya kazi taratibi kwa saa nne ha 6 huku unakunywa soda na kutumia MB zao na kuonana na wateja wako hapo hapo.
- Kwenye hubs and co working spaces ambapo unaweza kupata huduma za meeting rooms,meza na kiti pamoja na mtandao wa watu tofauti wanaoweza kuwa wateja wako
- Nyumbani kwako iwapo una mtandao na mazingira tulivu ya kufanya kazi.
Baada ya kuchagu sehemu ya kufanyia kazi ni muhimu sana uwe na website kwa ajili ya kutangaza biashara yako.
Unaweza kuongeza na kurasa za mitandao ya kijamii, ili kuongeza mtandao. Katika website yako hakikisha unakuwa na segemu ya kuweka maandiko (Publications) mbalimbali ambayo unaweza kuweka mambo mbalimbali kama vile CASE STUDIES, WHITE PAPERS, RESEARCH REPORTS na CURRENT TRENDS za eneo lako.
Hii ina maana kwamba kama mshauri unapaswa kutumia muda wako mwingi kuandaa CASE STUDIES, WHITE PAPERS na TAFITI ambazo zitazidi kuonesha utaalamu wako.
Hakikisha unakuwa na Emails za wateja wako na watu wengine ambao unaweza kuwatumia hizi report zako ili kuhakikisha kwamba unawafikia watu wengi sana.
Ni matumaini yangu kwamba andiko hilo litawapa hamasa wale ambao wanafikiri kwamba kujiajiri ni kazi ngumu/rahisi ili watambue kwamba jambo la muhimu ni kuwa na nia madhubuti pamoja na bidii.
Iwapo unahitaji ushauri,msaada katika kufikia lengo la kuanzisha biashara yako usisite kuwasiliana nasi kwa EMAIL:MASOKOTZ@YAHOO.COM ambapo utaweza kupata huduma za usajili wa Biashara yako, Kutengenezewa Website, Kufundishwa jinsi ya kufanya case studies, kuandika white papers na hata kukuza biashara yako kwa gharama nafuu na uhakika.
Tuwasiliane kwa masokotz@yahoo.com