Habari za muda huu?
Samahani naombeni msaada wenu,,mimi niliajiriwa katika halmashauri fulani na mwajiri wangu ni DED lakini baadae nikaomba ajira sekreteriati ya utumishi wa umma hiyo barua ya maombi nikapitisha kwa mwajiri wangu akaipitisha baadae nikaitwa interview nikafaulu zote mbili na kupangiwa kituo cha kazi katika moja ya masharika ya serikali na sekreteriati ya ajira nashukuru Mungu kwa hilo.
Swali langu nitafanyaje kuhamisha taarifa zangu za utumishi kutoka kwa DED ambaye ni mwajiri wangu wa sasa kwenda kwa mwajiri mpya? Barua niliyo pangiwa kituo iliyotoka sekreteriati ya ajira imetumwa kwa wafuatao:
1. Katibu mkuu utumishi wa umma
2. Katibu tume ya utumishi wa umma
3. Mkurugenzi wa shirika hilo.
Samahani naombeni msaada wenu,,mimi niliajiriwa katika halmashauri fulani na mwajiri wangu ni DED lakini baadae nikaomba ajira sekreteriati ya utumishi wa umma hiyo barua ya maombi nikapitisha kwa mwajiri wangu akaipitisha baadae nikaitwa interview nikafaulu zote mbili na kupangiwa kituo cha kazi katika moja ya masharika ya serikali na sekreteriati ya ajira nashukuru Mungu kwa hilo.
Swali langu nitafanyaje kuhamisha taarifa zangu za utumishi kutoka kwa DED ambaye ni mwajiri wangu wa sasa kwenda kwa mwajiri mpya? Barua niliyo pangiwa kituo iliyotoka sekreteriati ya ajira imetumwa kwa wafuatao:
1. Katibu mkuu utumishi wa umma
2. Katibu tume ya utumishi wa umma
3. Mkurugenzi wa shirika hilo.