Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

ilipoishia


Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Tukaangaliana na Caryn, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna Mahali Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema

Muendelezo

SEASON 2 Episode 9


Mama Accnt: "Naomba tusikilizane kwa makini, nitaharakisha kidogo kwasababu muda sio rafiki....najua wengi wenu kama sio wote mnajua kikao kinahusu nini, kwa kifupi leo ndio Ile siku ya kuagana na ninyi rasmi, lakini sio kuwaaga tu na kuwatambulisha kiongozi wenu mpya mtakaye kuwa naye"

"Si mnajua safari lazima iendelee hata kama Dereva kachoka atatafutwa dereve mpya ambaye bado yupo fresh kuanzia kimwili hadi kiakili, Mama yenu mm nimeshachoka nahitaji kupumzika sasa, niseme tu kwamba nashukuru kwa ushirikiano wenu mzuri mliouonyesha kwangu"

"naomba pia ushirikiano huo huo mliouonyesha kwangu muoneshe pia kwa kiongozi wenu mpya, kama tulikwazana naomba tusameheane ni mambo ya kibinadamu hatujakamilika"

"Nitakaye waacha nae ni huyu Binti hapa pembeni yangu anaitwa (Caryn) Nadhani mlikuwa mkimuona akija hapa ofisini siku za hivi karibuni (kumbuka hapa hataji jina Caryn ila anataja Jina halisi la Caryn)

"Unajua Kampuni yeyote au hata nchi inapofanya mabadiliko ya kiuongozi lazima kuna tofauti na changamoto mpya zitajitokeza, mimi ni Mzee bahati nzuri wote hapa hakuna aliyenipita umri"

"Pengine hii ilikuwa advantage kwangu kwasababu inawezekana wengine mlikuwa mnaniheshi kama Mama yenu mzazi na sio kama Boss wenu, na mnajua Mama siku zote ana huruma kwa wanae, Wengi wenu hapa sijawafukuza kazi kwasababu nilivaa U-Mama wangu na kuweka U-Boss pembeni na maisha yakaendelea"

"Sasa huyu ninaye waacha nae ni kijana hata 30 hajafika na wala hana mtoto, hivyo nina uhakika yeye atatumia U-Boss kwasababu namjua pia ni mtu wa aina gani, na sio mbaya kutumia u-Boss kwasababu hapo ndipo Discipline inapopatikana, lakini sio kila mahali unatumia U-Boss, unanisikia Caryn"

"Na najua humu kuna wengine ni wakubwa kiumri kumshinda Boss wenu mpya, hiyo sio sababu ya kutomuheshimu kwasababu yeye ndie last say kwasasa akikufukuza kazi hakuna wa kupangua maamuzi yake"

"Naomba niongeee na wachelewaji pia, sitaki kuondoka hapa baada ya wiki nisikie flani amefukuzwa kazi na hata nikijua muda huo nitakuwa sina mamlaka ya kukurudisha kazini, nasisitiza hapa kwasababu najua kuna watu wanaweza kuharibu wakidhani mm naweza kuwasaidia"

"Kuna watu ni maarufu humu kwa kuchelewa kazini niwaambie tu kwamba kuanzia sasa kuchelewa kazini kunaweza kukufukuzisha kazi shauri yenu"

"Pia nadhani kuna mabadiliko yatafanyika kwa watu wanaoenda Zanzibar na watu wanaokaa store, Caryn mwenyewe ndio atajua jinsi atakavyo wapanga"

Kwa kufupisha tu maneno ni kwamba Mama Accnt aliongea sana siwezi kuandika maneno yote hapa sababu mengine pia nimeyasahau,

Mwisho wa siku Bi Mkubwa alimaliza kikao akatumbia Mimi, Secretary pamoja na Accountant turudi after break time tukatoka tukamuacha Mama Accnt na Caryn ofisini kwasababu kikao chenyewe kilikuwa kinafanyika ofisini kwake

Basi wa kwenda kunywa chai walienda, Sasa wakati nipo nje napiga chai Accountant nae akatokea alivyoniona nae akaja pale pale kwenye meza niliyokaa

Accountant: "Naona umerudi na nguvu mpya, una watu wa kukukingia kifua kabisa, ila BM nikuambie tu kwamba kama niliweza kummudu Mama ambaye ndiye mwenye Kampuni basi jua tu hicho kihawala chako hakinitishi, tutaona Mimi na yeye nani ni zaidi"

Kwani nilijibu basi nikanywa zangu chai nikasepa yeye hakunywea pale waliwaomba wale wahudumu wampandishie juu ofisini, Sasa na mm nikawa nimebaki katikati nikijiuliza 'kwani hii Kampuni ni ya nani haswa?' mbona kila mtu anavimba?

Ilivyofika majira ya 11:00hrs nikapanda juu kwaajili ya kikao cha pili, imefika saa tano kama Dakika tisa kikao kikaanza, nipo Mimi, Secretary, Accountant, Caryn pamoja na Bi Mkubwa, wote Wanawake wakiume nilikuwa mimi tu

Hiki kikao Cha pili kilikuwa hakina mambo mengi sana, Bi Mkubwa alituasa tufanye kazi kwa bidii na kwa kujituma, Pia akawaonya Secretary na Accountant kufanya kazi kwa mazoea

Mama Accnt: "Kitu kingine muhimu Caryn ambacho nilisahau kukuambia ni kuhusu TRA, ikitokea mzigo umekamatwa inabidi ujue namna ya kuongea na hawa watu (TRA), Uzuri BM yupo so atakusaidia zikitokea changamoto za namna hiyo kwasababu yeye anajuana na hao watu, kikubwa ni usikivu na kuwa mpole siku zote mazungumzo yanamaliza kila kitu sio kila mahali ni pa kutumia Pesa au unaweza kutumia pesa"

Labda nifafanue kidogo hapo kwenye kipengele Cha TRA, ipo hivi....napokea mzigo Airport ya Zanzibar nita clear, yani nitafanya clearance na kila kitu kinachotakiwa mzigo utavuka Maji Hadi Bandari ya Dar nitakutana na TRA

Pia napo nita clear kila Kitu pamoja na Kodi za Bandari na mawafeji then natoa mzigo napeleka ofisini, Mzigo ukifika ofisini utatunzwa store tukisubiri wenye mizigo yao kuja kuchukua,

Sasa mteja akija kuchukua mzigo wake siku hiyo ambayo mzigo ndio umetoka Bandarini hiyo inakuwa nzuri kwetu tunachokifanya akilipia gharama za kusafirisha tunampatia na Documents za TRA ambazo atatumia kuonesha TRA (Incase akikamatwa) kumbuka huyu haina haja ya kumpatia risiti

Kuna wale wateja wengine utakuta Mfano mzigo umefika Leo Jumanne basi atakuja Jumatatu ya wiki ijayo kufuata mzigo Sasa huyu mtu akichukua mzigo wake halafu bahati mbaya akakamatwa na TRA huwa ni changamoto sana, sitaki sana kuingia deep coz ni vitu sensitive sana

Basi kikao kikaisha tukaagana na Bi Mkubwa, na mimi ndio nilikuwa wa mwisho kuagana nae sababu nilimpeleka hadi Parking akanambia

Mama Accnt: "BM uwepo wako ndio unanifanya niamini kwamba Kampuni ipo katika mikono salama, nimeona unaukaribu kiasi na Caryn, Jitahidi mambo mengine uwe una mshauri, unajua yule Binti yupo smart lakini huwa simuamini sana, nilikubali tu kwa heshima ya Baba yake lakini nilitaka wewe ndio uwe pale"

BM: "Usijali Mama kila Kitu kitaenda sawa, hata hivyo Caryn mbona namuona yupo sawa tu"

Mama Accnt: "wewe si kwasababu umeshazoeana nae, mm namjua vizuri yule Binti atafanya panga pangua hapa ndani ya wiki tu hutaamini utakuja kuniambia"

Basi Bi Mkubwa akapanda kwenye ndinga lake akasepa, mm nikapanda juu nikapitiliza hadi store kwa wana tukapiga story mbili tatu

Mara Secretary akaja store "BM Boss anakuita" hii kauli nilishazoea kuwa nikiambiwa tu Boss anakuita basi ujue ni Bi Mkubwa, sasa Leo hii ka Binti tu rika langu eti ndiye Boss wangu

Basi mm huyo hadi kwa Boss lady nikamkuta yupo na Accountant, niliwakuta katikati ya maongezi

Caryn: "......sawa utafanyia kazi na hizo, utanipa hiyo report after meeting"

Alikuwa anaambiwa Accountant na sikujua walikuwa wanaongelea nn na baada ya maagizo hayo aliondoka nikabaki na Caryn

Caryn: "BM Vipi uko poa?"

BM: "Niko poa kabisa"

Caryn: "BM mm na wewe naweza kusema ni washkaji...je nipo sawa kusema hivyo?"

BM: "Yeah hujakosea"

Caryn: "Sasa ikitokea mshkaji wako kawa Boss wako, usimletee ushkaji kwenye kazi"

BM: "Sijakuelewa, wapi mm nimeleta ushkaji?"

Caryn: "Kilichotokea leo asubuhi hakikuwa sawa kabisa, Yani sijapenda, nilikuwa upande wako kwasababu tu ya yule Binti alinyanyua mdomo wake ila kama ni Mama ndio angekuwa anakusema mm nisingeongea chochote"

Duh! Yani pamoja na kunitetea kule kumbe mtu alimaidi nilivyochelewa, ilibidi tu nijishushe nikamwambia yaishe

Caryn: "Toka kaendelee na shughuli zako halafu naomba After Lunch niitie staff wote kwaajili ya kikao"

Nikarudi zangu store, nikaitisha chakula nikakilia kule kule store, muda wa kikao umekaribia nikawashtua wana, wengine walikuwa chini walienda kuitwa wote tukakutana Ofisini kwa Boss Caryn

Caryn: "Naomba watu wa sales wote mkae upande wa kushoto, baada ya hapo naomba tujitambulishe kwa majina"

Wote wakajitambulisha ila hapo kwenye majina sitaweza kutaja ila kwa kifupi ni kwamba watu wanaodili na store wapo 6 wakiwa na majukumu tofauti,

Wa kwanza ni Storekeeper mwenyewe, huyu ana deal na mizigo inayotoka na kuingia pamoja na kuandika Delivery note, mtu wa pili yeye anadili kupima mizigo tu na kuhakiki kilo, wanne waliobaki ni wa kubeba mizigo na kuipanga au mizigo inapofika pia huwa wanaichana ili kuigawanya (hapa nadhani mtakuwa hamjanielewa vizuri)

Iko hivi, watu huwa wanaagiza mizigo tofauti tofauti Kuna mikubwa na midogo, unaweza Kuta mtu anaagiza mzigo kilo zake haufiki hata kilo moja, na wateja wa design hii pia ni wengi unakuta mwingine mzigo wake ni kilo mbili tu au tatu,

Sasa kinachofanyika hivyo viboksi vidogo vyote vinakusanywa kwenye box moja kubwa, kwenye hilo Box linaandikwa jina la mteja mmoja tu ambaye nae humo ndani ana mzigo wake

Kwa mfano jina la mteja ni Glenn na kwenye Parking list mzigo utaonesha ni wa Glenn lakini ni wa kuchana, Sasa mzigo ukiwa ni wa wakuchana ina maanisha kwamba katika hilo Box kuna mizigo ya watu wengine kwahiyo inabidi itolewa na kila mzigo upimwe kivyake, sasa hiyo kazi yote ndio wanafanya hao vijana,

Watu wa sales hawa haina haja ya kuelezea sana, kama mnavyojua watu wa sales hulipwa kutokana na kazi uliyoifanya, labda niongelee kwa upande wa Kampuni yetu,

Sales hulipwa kwa wateja utakaowaleta na unalipwa kwa kilo utakazofikisha, kilo 1 ni Tsh 500, so ukiwa labda na wateja kumi katika hao wateja wako wote kilo zao zikajumlishwa labda zikafika kilo elfu moja (1,000),

So utapiga 500 × 1000 = 500,000 kwahiyo kwa hesabu ya kwa kila kilo moja 500 ukifikisha kilo elfu moja una laki tano yako, hao ni watu wa sales sasa nao wakajitambulisha kwa Majina mbele ya Boss Caryn

Caryn: "Mliobaki nawatambua haina haja ya kujitambulisha"

(akimaanisha Mimi, Secretary na Accountant)

Caryn: "My name is (****) I'm very excited to meet you guys and honored by this great opportunity to be Managing Director, I'm sure we'll be a great team in getting things done and accomplished around here, together we'll put (Jina la Kampuni) on the map and remember this guys there's no 'I' in team"

"As we all know Air Transport Companies are getting everywhere in this country now, ni lazima tujipange haswa tukiwa na Strategies mpya"

"As the Managing Director I will try as much as possible to create a very cardio relationship with my staff, Because I'm the new one here that enables me to understand you, know your weaknesses and your strengths"

"But, I repeat again 'But' I will no longer tolerate any form of laziness from anyone, so if you can't handle the work then quit"

"Nadhani nimemaliza Accountant Please after this meeting set up another meeting with Sales Team for me and I really need you to supervise them, Mnaweza kuendelea na shughuli zenu BM wewe baki sijamalizana na wewe bado"

Basi watu wote wakatoka nikabaki mimi na Caryn ofisini

Caryn: "BM nimetumiwa Parking list ya mizigo inayoingia kesho kwahiyo jiandae kwaajili ya safari

BM: "Sawa ila itabidi niende na mtu mmoja maana nikisema niende mwenyewe nitashindwa kujigawa mwisho wa siku mzigo utachelewa kufika Dar"

Caryn: "Okay lakini huyu mtu uliyekuwa unaenda nae hapo awali sitaki uende nae tena acha abaki store nikiendelea kukutafutia mtu wa kusaidiana nae"

BM: "Basi mteue mtu ambae nitaenda nae kwa muda"

Caryn: "Utaenda na Mimi"


Itaendelea
Mkuu kazi unayo safarii hii Bibie yuko damaa dama na wewe,,,,,
 
ilipoishia


Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Tukaangaliana na Caryn, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna Mahali Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema

Muendelezo

SEASON 2 Episode 9


Mama Accnt: "Naomba tusikilizane kwa makini, nitaharakisha kidogo kwasababu muda sio rafiki....najua wengi wenu kama sio wote mnajua kikao kinahusu nini, kwa kifupi leo ndio Ile siku ya kuagana na ninyi rasmi, lakini sio kuwaaga tu na kuwatambulisha kiongozi wenu mpya mtakaye kuwa naye"

"Si mnajua safari lazima iendelee hata kama Dereva kachoka atatafutwa dereve mpya ambaye bado yupo fresh kuanzia kimwili hadi kiakili, Mama yenu mm nimeshachoka nahitaji kupumzika sasa, niseme tu kwamba nashukuru kwa ushirikiano wenu mzuri mliouonyesha kwangu"

"naomba pia ushirikiano huo huo mliouonyesha kwangu muoneshe pia kwa kiongozi wenu mpya, kama tulikwazana naomba tusameheane ni mambo ya kibinadamu hatujakamilika"

"Nitakaye waacha nae ni huyu Binti hapa pembeni yangu anaitwa (Caryn) Nadhani mlikuwa mkimuona akija hapa ofisini siku za hivi karibuni (kumbuka hapa hataji jina Caryn ila anataja Jina halisi la Caryn)

"Unajua Kampuni yeyote au hata nchi inapofanya mabadiliko ya kiuongozi lazima kuna tofauti na changamoto mpya zitajitokeza, mimi ni Mzee bahati nzuri wote hapa hakuna aliyenipita umri"

"Pengine hii ilikuwa advantage kwangu kwasababu inawezekana wengine mlikuwa mnaniheshi kama Mama yenu mzazi na sio kama Boss wenu, na mnajua Mama siku zote ana huruma kwa wanae, Wengi wenu hapa sijawafukuza kazi kwasababu nilivaa U-Mama wangu na kuweka U-Boss pembeni na maisha yakaendelea"

"Sasa huyu ninaye waacha nae ni kijana hata 30 hajafika na wala hana mtoto, hivyo nina uhakika yeye atatumia U-Boss kwasababu namjua pia ni mtu wa aina gani, na sio mbaya kutumia u-Boss kwasababu hapo ndipo Discipline inapopatikana, lakini sio kila mahali unatumia U-Boss, unanisikia Caryn"

"Na najua humu kuna wengine ni wakubwa kiumri kumshinda Boss wenu mpya, hiyo sio sababu ya kutomuheshimu kwasababu yeye ndie last say kwasasa akikufukuza kazi hakuna wa kupangua maamuzi yake"

"Naomba niongeee na wachelewaji pia, sitaki kuondoka hapa baada ya wiki nisikie flani amefukuzwa kazi na hata nikijua muda huo nitakuwa sina mamlaka ya kukurudisha kazini, nasisitiza hapa kwasababu najua kuna watu wanaweza kuharibu wakidhani mm naweza kuwasaidia"

"Kuna watu ni maarufu humu kwa kuchelewa kazini niwaambie tu kwamba kuanzia sasa kuchelewa kazini kunaweza kukufukuzisha kazi shauri yenu"

"Pia nadhani kuna mabadiliko yatafanyika kwa watu wanaoenda Zanzibar na watu wanaokaa store, Caryn mwenyewe ndio atajua jinsi atakavyo wapanga"

Kwa kufupisha tu maneno ni kwamba Mama Accnt aliongea sana siwezi kuandika maneno yote hapa sababu mengine pia nimeyasahau,

Mwisho wa siku Bi Mkubwa alimaliza kikao akatumbia Mimi, Secretary pamoja na Accountant turudi after break time tukatoka tukamuacha Mama Accnt na Caryn ofisini kwasababu kikao chenyewe kilikuwa kinafanyika ofisini kwake

Basi wa kwenda kunywa chai walienda, Sasa wakati nipo nje napiga chai Accountant nae akatokea alivyoniona nae akaja pale pale kwenye meza niliyokaa

Accountant: "Naona umerudi na nguvu mpya, una watu wa kukukingia kifua kabisa, ila BM nikuambie tu kwamba kama niliweza kummudu Mama ambaye ndiye mwenye Kampuni basi jua tu hicho kihawala chako hakinitishi, tutaona Mimi na yeye nani ni zaidi"

Kwani nilijibu basi nikanywa zangu chai nikasepa yeye hakunywea pale waliwaomba wale wahudumu wampandishie juu ofisini, Sasa na mm nikawa nimebaki katikati nikijiuliza 'kwani hii Kampuni ni ya nani haswa?' mbona kila mtu anavimba?

Ilivyofika majira ya 11:00hrs nikapanda juu kwaajili ya kikao cha pili, imefika saa tano kama Dakika tisa kikao kikaanza, nipo Mimi, Secretary, Accountant, Caryn pamoja na Bi Mkubwa, wote Wanawake wakiume nilikuwa mimi tu

Hiki kikao Cha pili kilikuwa hakina mambo mengi sana, Bi Mkubwa alituasa tufanye kazi kwa bidii na kwa kujituma, Pia akawaonya Secretary na Accountant kufanya kazi kwa mazoea

Mama Accnt: "Kitu kingine muhimu Caryn ambacho nilisahau kukuambia ni kuhusu TRA, ikitokea mzigo umekamatwa inabidi ujue namna ya kuongea na hawa watu (TRA), Uzuri BM yupo so atakusaidia zikitokea changamoto za namna hiyo kwasababu yeye anajuana na hao watu, kikubwa ni usikivu na kuwa mpole siku zote mazungumzo yanamaliza kila kitu sio kila mahali ni pa kutumia Pesa au unaweza kutumia pesa"

Labda nifafanue kidogo hapo kwenye kipengele Cha TRA, ipo hivi....napokea mzigo Airport ya Zanzibar nita clear, yani nitafanya clearance na kila kitu kinachotakiwa mzigo utavuka Maji Hadi Bandari ya Dar nitakutana na TRA

Pia napo nita clear kila Kitu pamoja na Kodi za Bandari na mawafeji then natoa mzigo napeleka ofisini, Mzigo ukifika ofisini utatunzwa store tukisubiri wenye mizigo yao kuja kuchukua,

Sasa mteja akija kuchukua mzigo wake siku hiyo ambayo mzigo ndio umetoka Bandarini hiyo inakuwa nzuri kwetu tunachokifanya akilipia gharama za kusafirisha tunampatia na Documents za TRA ambazo atatumia kuonesha TRA (Incase akikamatwa) kumbuka huyu haina haja ya kumpatia risiti

Kuna wale wateja wengine utakuta Mfano mzigo umefika Leo Jumanne basi atakuja Jumatatu ya wiki ijayo kufuata mzigo Sasa huyu mtu akichukua mzigo wake halafu bahati mbaya akakamatwa na TRA huwa ni changamoto sana, sitaki sana kuingia deep coz ni vitu sensitive sana

Basi kikao kikaisha tukaagana na Bi Mkubwa, na mimi ndio nilikuwa wa mwisho kuagana nae sababu nilimpeleka hadi Parking akanambia

Mama Accnt: "BM uwepo wako ndio unanifanya niamini kwamba Kampuni ipo katika mikono salama, nimeona unaukaribu kiasi na Caryn, Jitahidi mambo mengine uwe una mshauri, unajua yule Binti yupo smart lakini huwa simuamini sana, nilikubali tu kwa heshima ya Baba yake lakini nilitaka wewe ndio uwe pale"

BM: "Usijali Mama kila Kitu kitaenda sawa, hata hivyo Caryn mbona namuona yupo sawa tu"

Mama Accnt: "wewe si kwasababu umeshazoeana nae, mm namjua vizuri yule Binti atafanya panga pangua hapa ndani ya wiki tu hutaamini utakuja kuniambia"

Basi Bi Mkubwa akapanda kwenye ndinga lake akasepa, mm nikapanda juu nikapitiliza hadi store kwa wana tukapiga story mbili tatu

Mara Secretary akaja store "BM Boss anakuita" hii kauli nilishazoea kuwa nikiambiwa tu Boss anakuita basi ujue ni Bi Mkubwa, sasa Leo hii ka Binti tu rika langu eti ndiye Boss wangu

Basi mm huyo hadi kwa Boss lady nikamkuta yupo na Accountant, niliwakuta katikati ya maongezi

Caryn: "......sawa utafanyia kazi na hizo, utanipa hiyo report after meeting"

Alikuwa anaambiwa Accountant na sikujua walikuwa wanaongelea nn na baada ya maagizo hayo aliondoka nikabaki na Caryn

Caryn: "BM Vipi uko poa?"

BM: "Niko poa kabisa"

Caryn: "BM mm na wewe naweza kusema ni washkaji...je nipo sawa kusema hivyo?"

BM: "Yeah hujakosea"

Caryn: "Sasa ikitokea mshkaji wako kawa Boss wako, usimletee ushkaji kwenye kazi"

BM: "Sijakuelewa, wapi mm nimeleta ushkaji?"

Caryn: "Kilichotokea leo asubuhi hakikuwa sawa kabisa, Yani sijapenda, nilikuwa upande wako kwasababu tu ya yule Binti alinyanyua mdomo wake ila kama ni Mama ndio angekuwa anakusema mm nisingeongea chochote"

Duh! Yani pamoja na kunitetea kule kumbe mtu alimaidi nilivyochelewa, ilibidi tu nijishushe nikamwambia yaishe

Caryn: "Toka kaendelee na shughuli zako halafu naomba After Lunch niitie staff wote kwaajili ya kikao"

Nikarudi zangu store, nikaitisha chakula nikakilia kule kule store, muda wa kikao umekaribia nikawashtua wana, wengine walikuwa chini walienda kuitwa wote tukakutana Ofisini kwa Boss Caryn

Caryn: "Naomba watu wa sales wote mkae upande wa kushoto, baada ya hapo naomba tujitambulishe kwa majina"

Wote wakajitambulisha ila hapo kwenye majina sitaweza kutaja ila kwa kifupi ni kwamba watu wanaodili na store wapo 6 wakiwa na majukumu tofauti,

Wa kwanza ni Storekeeper mwenyewe, huyu ana deal na mizigo inayotoka na kuingia pamoja na kuandika Delivery note, mtu wa pili yeye anadili kupima mizigo tu na kuhakiki kilo, wanne waliobaki ni wa kubeba mizigo na kuipanga au mizigo inapofika pia huwa wanaichana ili kuigawanya (hapa nadhani mtakuwa hamjanielewa vizuri)

Iko hivi, watu huwa wanaagiza mizigo tofauti tofauti Kuna mikubwa na midogo, unaweza Kuta mtu anaagiza mzigo kilo zake haufiki hata kilo moja, na wateja wa design hii pia ni wengi unakuta mwingine mzigo wake ni kilo mbili tu au tatu,

Sasa kinachofanyika hivyo viboksi vidogo vyote vinakusanywa kwenye box moja kubwa, kwenye hilo Box linaandikwa jina la mteja mmoja tu ambaye nae humo ndani ana mzigo wake

Kwa mfano jina la mteja ni Glenn na kwenye Parking list mzigo utaonesha ni wa Glenn lakini ni wa kuchana, Sasa mzigo ukiwa ni wa wakuchana ina maanisha kwamba katika hilo Box kuna mizigo ya watu wengine kwahiyo inabidi itolewa na kila mzigo upimwe kivyake, sasa hiyo kazi yote ndio wanafanya hao vijana,

Watu wa sales hawa haina haja ya kuelezea sana, kama mnavyojua watu wa sales hulipwa kutokana na kazi uliyoifanya, labda niongelee kwa upande wa Kampuni yetu,

Sales hulipwa kwa wateja utakaowaleta na unalipwa kwa kilo utakazofikisha, kilo 1 ni Tsh 500, so ukiwa labda na wateja kumi katika hao wateja wako wote kilo zao zikajumlishwa labda zikafika kilo elfu moja (1,000),

So utapiga 500 × 1000 = 500,000 kwahiyo kwa hesabu ya kwa kila kilo moja 500 ukifikisha kilo elfu moja una laki tano yako, hao ni watu wa sales sasa nao wakajitambulisha kwa Majina mbele ya Boss Caryn

Caryn: "Mliobaki nawatambua haina haja ya kujitambulisha"

(akimaanisha Mimi, Secretary na Accountant)

Caryn: "My name is (****) I'm very excited to meet you guys and honored by this great opportunity to be Managing Director, I'm sure we'll be a great team in getting things done and accomplished around here, together we'll put (Jina la Kampuni) on the map and remember this guys there's no 'I' in team"

"As we all know Air Transport Companies are getting everywhere in this country now, ni lazima tujipange haswa tukiwa na Strategies mpya"

"As the Managing Director I will try as much as possible to create a very cardio relationship with my staff, Because I'm the new one here that enables me to understand you, know your weaknesses and your strengths"

"But, I repeat again 'But' I will no longer tolerate any form of laziness from anyone, so if you can't handle the work then quit"

"Nadhani nimemaliza Accountant Please after this meeting set up another meeting with Sales Team for me and I really need you to supervise them, Mnaweza kuendelea na shughuli zenu BM wewe baki sijamalizana na wewe bado"

Basi watu wote wakatoka nikabaki mimi na Caryn ofisini

Caryn: "BM nimetumiwa Parking list ya mizigo inayoingia kesho kwahiyo jiandae kwaajili ya safari

BM: "Sawa ila itabidi niende na mtu mmoja maana nikisema niende mwenyewe nitashindwa kujigawa mwisho wa siku mzigo utachelewa kufika Dar"

Caryn: "Okay lakini huyu mtu uliyekuwa unaenda nae hapo awali sitaki uende nae tena acha abaki store nikiendelea kukutafutia mtu wa kusaidiana nae"

BM: "Basi mteue mtu ambae nitaenda nae kwa muda"

Caryn: "Utaenda na Mimi"


Itaendelea
Mkuu naona tangu niwaungishe kampuni na wewe mmenitambua kiaina...asante sana
 
ilipoishia


Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Tukaangaliana na Caryn, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna Mahali Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema

Muendelezo

SEASON 2 Episode 9


Mama Accnt: "Naomba tusikilizane kwa makini, nitaharakisha kidogo kwasababu muda sio rafiki....najua wengi wenu kama sio wote mnajua kikao kinahusu nini, kwa kifupi leo ndio Ile siku ya kuagana na ninyi rasmi, lakini sio kuwaaga tu na kuwatambulisha kiongozi wenu mpya mtakaye kuwa naye"

"Si mnajua safari lazima iendelee hata kama Dereva kachoka atatafutwa dereve mpya ambaye bado yupo fresh kuanzia kimwili hadi kiakili, Mama yenu mm nimeshachoka nahitaji kupumzika sasa, niseme tu kwamba nashukuru kwa ushirikiano wenu mzuri mliouonyesha kwangu"

"naomba pia ushirikiano huo huo mliouonyesha kwangu muoneshe pia kwa kiongozi wenu mpya, kama tulikwazana naomba tusameheane ni mambo ya kibinadamu hatujakamilika"

"Nitakaye waacha nae ni huyu Binti hapa pembeni yangu anaitwa (Caryn) Nadhani mlikuwa mkimuona akija hapa ofisini siku za hivi karibuni (kumbuka hapa hataji jina Caryn ila anataja Jina halisi la Caryn)

"Unajua Kampuni yeyote au hata nchi inapofanya mabadiliko ya kiuongozi lazima kuna tofauti na changamoto mpya zitajitokeza, mimi ni Mzee bahati nzuri wote hapa hakuna aliyenipita umri"

"Pengine hii ilikuwa advantage kwangu kwasababu inawezekana wengine mlikuwa mnaniheshi kama Mama yenu mzazi na sio kama Boss wenu, na mnajua Mama siku zote ana huruma kwa wanae, Wengi wenu hapa sijawafukuza kazi kwasababu nilivaa U-Mama wangu na kuweka U-Boss pembeni na maisha yakaendelea"

"Sasa huyu ninaye waacha nae ni kijana hata 30 hajafika na wala hana mtoto, hivyo nina uhakika yeye atatumia U-Boss kwasababu namjua pia ni mtu wa aina gani, na sio mbaya kutumia u-Boss kwasababu hapo ndipo Discipline inapopatikana, lakini sio kila mahali unatumia U-Boss, unanisikia Caryn"

"Na najua humu kuna wengine ni wakubwa kiumri kumshinda Boss wenu mpya, hiyo sio sababu ya kutomuheshimu kwasababu yeye ndie last say kwasasa akikufukuza kazi hakuna wa kupangua maamuzi yake"

"Naomba niongeee na wachelewaji pia, sitaki kuondoka hapa baada ya wiki nisikie flani amefukuzwa kazi na hata nikijua muda huo nitakuwa sina mamlaka ya kukurudisha kazini, nasisitiza hapa kwasababu najua kuna watu wanaweza kuharibu wakidhani mm naweza kuwasaidia"

"Kuna watu ni maarufu humu kwa kuchelewa kazini niwaambie tu kwamba kuanzia sasa kuchelewa kazini kunaweza kukufukuzisha kazi shauri yenu"

"Pia nadhani kuna mabadiliko yatafanyika kwa watu wanaoenda Zanzibar na watu wanaokaa store, Caryn mwenyewe ndio atajua jinsi atakavyo wapanga"

Kwa kufupisha tu maneno ni kwamba Mama Accnt aliongea sana siwezi kuandika maneno yote hapa sababu mengine pia nimeyasahau,

Mwisho wa siku Bi Mkubwa alimaliza kikao akatumbia Mimi, Secretary pamoja na Accountant turudi after break time tukatoka tukamuacha Mama Accnt na Caryn ofisini kwasababu kikao chenyewe kilikuwa kinafanyika ofisini kwake

Basi wa kwenda kunywa chai walienda, Sasa wakati nipo nje napiga chai Accountant nae akatokea alivyoniona nae akaja pale pale kwenye meza niliyokaa

Accountant: "Naona umerudi na nguvu mpya, una watu wa kukukingia kifua kabisa, ila BM nikuambie tu kwamba kama niliweza kummudu Mama ambaye ndiye mwenye Kampuni basi jua tu hicho kihawala chako hakinitishi, tutaona Mimi na yeye nani ni zaidi"

Kwani nilijibu basi nikanywa zangu chai nikasepa yeye hakunywea pale waliwaomba wale wahudumu wampandishie juu ofisini, Sasa na mm nikawa nimebaki katikati nikijiuliza 'kwani hii Kampuni ni ya nani haswa?' mbona kila mtu anavimba?

Ilivyofika majira ya 11:00hrs nikapanda juu kwaajili ya kikao cha pili, imefika saa tano kama Dakika tisa kikao kikaanza, nipo Mimi, Secretary, Accountant, Caryn pamoja na Bi Mkubwa, wote Wanawake wakiume nilikuwa mimi tu

Hiki kikao Cha pili kilikuwa hakina mambo mengi sana, Bi Mkubwa alituasa tufanye kazi kwa bidii na kwa kujituma, Pia akawaonya Secretary na Accountant kufanya kazi kwa mazoea

Mama Accnt: "Kitu kingine muhimu Caryn ambacho nilisahau kukuambia ni kuhusu TRA, ikitokea mzigo umekamatwa inabidi ujue namna ya kuongea na hawa watu (TRA), Uzuri BM yupo so atakusaidia zikitokea changamoto za namna hiyo kwasababu yeye anajuana na hao watu, kikubwa ni usikivu na kuwa mpole siku zote mazungumzo yanamaliza kila kitu sio kila mahali ni pa kutumia Pesa au unaweza kutumia pesa"

Labda nifafanue kidogo hapo kwenye kipengele Cha TRA, ipo hivi....napokea mzigo Airport ya Zanzibar nita clear, yani nitafanya clearance na kila kitu kinachotakiwa mzigo utavuka Maji Hadi Bandari ya Dar nitakutana na TRA

Pia napo nita clear kila Kitu pamoja na Kodi za Bandari na mawafeji then natoa mzigo napeleka ofisini, Mzigo ukifika ofisini utatunzwa store tukisubiri wenye mizigo yao kuja kuchukua,

Sasa mteja akija kuchukua mzigo wake siku hiyo ambayo mzigo ndio umetoka Bandarini hiyo inakuwa nzuri kwetu tunachokifanya akilipia gharama za kusafirisha tunampatia na Documents za TRA ambazo atatumia kuonesha TRA (Incase akikamatwa) kumbuka huyu haina haja ya kumpatia risiti

Kuna wale wateja wengine utakuta Mfano mzigo umefika Leo Jumanne basi atakuja Jumatatu ya wiki ijayo kufuata mzigo Sasa huyu mtu akichukua mzigo wake halafu bahati mbaya akakamatwa na TRA huwa ni changamoto sana, sitaki sana kuingia deep coz ni vitu sensitive sana

Basi kikao kikaisha tukaagana na Bi Mkubwa, na mimi ndio nilikuwa wa mwisho kuagana nae sababu nilimpeleka hadi Parking akanambia

Mama Accnt: "BM uwepo wako ndio unanifanya niamini kwamba Kampuni ipo katika mikono salama, nimeona unaukaribu kiasi na Caryn, Jitahidi mambo mengine uwe una mshauri, unajua yule Binti yupo smart lakini huwa simuamini sana, nilikubali tu kwa heshima ya Baba yake lakini nilitaka wewe ndio uwe pale"

BM: "Usijali Mama kila Kitu kitaenda sawa, hata hivyo Caryn mbona namuona yupo sawa tu"

Mama Accnt: "wewe si kwasababu umeshazoeana nae, mm namjua vizuri yule Binti atafanya panga pangua hapa ndani ya wiki tu hutaamini utakuja kuniambia"

Basi Bi Mkubwa akapanda kwenye ndinga lake akasepa, mm nikapanda juu nikapitiliza hadi store kwa wana tukapiga story mbili tatu

Mara Secretary akaja store "BM Boss anakuita" hii kauli nilishazoea kuwa nikiambiwa tu Boss anakuita basi ujue ni Bi Mkubwa, sasa Leo hii ka Binti tu rika langu eti ndiye Boss wangu

Basi mm huyo hadi kwa Boss lady nikamkuta yupo na Accountant, niliwakuta katikati ya maongezi

Caryn: "......sawa utafanyia kazi na hizo, utanipa hiyo report after meeting"

Alikuwa anaambiwa Accountant na sikujua walikuwa wanaongelea nn na baada ya maagizo hayo aliondoka nikabaki na Caryn

Caryn: "BM Vipi uko poa?"

BM: "Niko poa kabisa"

Caryn: "BM mm na wewe naweza kusema ni washkaji...je nipo sawa kusema hivyo?"

BM: "Yeah hujakosea"

Caryn: "Sasa ikitokea mshkaji wako kawa Boss wako, usimletee ushkaji kwenye kazi"

BM: "Sijakuelewa, wapi mm nimeleta ushkaji?"

Caryn: "Kilichotokea leo asubuhi hakikuwa sawa kabisa, Yani sijapenda, nilikuwa upande wako kwasababu tu ya yule Binti alinyanyua mdomo wake ila kama ni Mama ndio angekuwa anakusema mm nisingeongea chochote"

Duh! Yani pamoja na kunitetea kule kumbe mtu alimaidi nilivyochelewa, ilibidi tu nijishushe nikamwambia yaishe

Caryn: "Toka kaendelee na shughuli zako halafu naomba After Lunch niitie staff wote kwaajili ya kikao"

Nikarudi zangu store, nikaitisha chakula nikakilia kule kule store, muda wa kikao umekaribia nikawashtua wana, wengine walikuwa chini walienda kuitwa wote tukakutana Ofisini kwa Boss Caryn

Caryn: "Naomba watu wa sales wote mkae upande wa kushoto, baada ya hapo naomba tujitambulishe kwa majina"

Wote wakajitambulisha ila hapo kwenye majina sitaweza kutaja ila kwa kifupi ni kwamba watu wanaodili na store wapo 6 wakiwa na majukumu tofauti,

Wa kwanza ni Storekeeper mwenyewe, huyu ana deal na mizigo inayotoka na kuingia pamoja na kuandika Delivery note, mtu wa pili yeye anadili kupima mizigo tu na kuhakiki kilo, wanne waliobaki ni wa kubeba mizigo na kuipanga au mizigo inapofika pia huwa wanaichana ili kuigawanya (hapa nadhani mtakuwa hamjanielewa vizuri)

Iko hivi, watu huwa wanaagiza mizigo tofauti tofauti Kuna mikubwa na midogo, unaweza Kuta mtu anaagiza mzigo kilo zake haufiki hata kilo moja, na wateja wa design hii pia ni wengi unakuta mwingine mzigo wake ni kilo mbili tu au tatu,

Sasa kinachofanyika hivyo viboksi vidogo vyote vinakusanywa kwenye box moja kubwa, kwenye hilo Box linaandikwa jina la mteja mmoja tu ambaye nae humo ndani ana mzigo wake

Kwa mfano jina la mteja ni Glenn na kwenye Parking list mzigo utaonesha ni wa Glenn lakini ni wa kuchana, Sasa mzigo ukiwa ni wa wakuchana ina maanisha kwamba katika hilo Box kuna mizigo ya watu wengine kwahiyo inabidi itolewa na kila mzigo upimwe kivyake, sasa hiyo kazi yote ndio wanafanya hao vijana,

Watu wa sales hawa haina haja ya kuelezea sana, kama mnavyojua watu wa sales hulipwa kutokana na kazi uliyoifanya, labda niongelee kwa upande wa Kampuni yetu,

Sales hulipwa kwa wateja utakaowaleta na unalipwa kwa kilo utakazofikisha, kilo 1 ni Tsh 500, so ukiwa labda na wateja kumi katika hao wateja wako wote kilo zao zikajumlishwa labda zikafika kilo elfu moja (1,000),

So utapiga 500 × 1000 = 500,000 kwahiyo kwa hesabu ya kwa kila kilo moja 500 ukifikisha kilo elfu moja una laki tano yako, hao ni watu wa sales sasa nao wakajitambulisha kwa Majina mbele ya Boss Caryn

Caryn: "Mliobaki nawatambua haina haja ya kujitambulisha"

(akimaanisha Mimi, Secretary na Accountant)

Caryn: "My name is (****) I'm very excited to meet you guys and honored by this great opportunity to be Managing Director, I'm sure we'll be a great team in getting things done and accomplished around here, together we'll put (Jina la Kampuni) on the map and remember this guys there's no 'I' in team"

"As we all know Air Transport Companies are getting everywhere in this country now, ni lazima tujipange haswa tukiwa na Strategies mpya"

"As the Managing Director I will try as much as possible to create a very cardio relationship with my staff, Because I'm the new one here that enables me to understand you, know your weaknesses and your strengths"

"But, I repeat again 'But' I will no longer tolerate any form of laziness from anyone, so if you can't handle the work then quit"

"Nadhani nimemaliza Accountant Please after this meeting set up another meeting with Sales Team for me and I really need you to supervise them, Mnaweza kuendelea na shughuli zenu BM wewe baki sijamalizana na wewe bado"

Basi watu wote wakatoka nikabaki mimi na Caryn ofisini

Caryn: "BM nimetumiwa Parking list ya mizigo inayoingia kesho kwahiyo jiandae kwaajili ya safari

BM: "Sawa ila itabidi niende na mtu mmoja maana nikisema niende mwenyewe nitashindwa kujigawa mwisho wa siku mzigo utachelewa kufika Dar"

Caryn: "Okay lakini huyu mtu uliyekuwa unaenda nae hapo awali sitaki uende nae tena acha abaki store nikiendelea kukutafutia mtu wa kusaidiana nae"

BM: "Basi mteue mtu ambae nitaenda nae kwa muda"

Caryn: "Utaenda na Mimi"


Itaendelea
Tukutane February kwenye muendelezo
 
ilipoishia


Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Tukaangaliana na Caryn, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna Mahali Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema

Muendelezo

SEASON 2 Episode 9


Mama Accnt: "Naomba tusikilizane kwa makini, nitaharakisha kidogo kwasababu muda sio rafiki....najua wengi wenu kama sio wote mnajua kikao kinahusu nini, kwa kifupi leo ndio Ile siku ya kuagana na ninyi rasmi, lakini sio kuwaaga tu na kuwatambulisha kiongozi wenu mpya mtakaye kuwa naye"

"Si mnajua safari lazima iendelee hata kama Dereva kachoka atatafutwa dereve mpya ambaye bado yupo fresh kuanzia kimwili hadi kiakili, Mama yenu mm nimeshachoka nahitaji kupumzika sasa, niseme tu kwamba nashukuru kwa ushirikiano wenu mzuri mliouonyesha kwangu"

"naomba pia ushirikiano huo huo mliouonyesha kwangu muoneshe pia kwa kiongozi wenu mpya, kama tulikwazana naomba tusameheane ni mambo ya kibinadamu hatujakamilika"

"Nitakaye waacha nae ni huyu Binti hapa pembeni yangu anaitwa (Caryn) Nadhani mlikuwa mkimuona akija hapa ofisini siku za hivi karibuni (kumbuka hapa hataji jina Caryn ila anataja Jina halisi la Caryn)

"Unajua Kampuni yeyote au hata nchi inapofanya mabadiliko ya kiuongozi lazima kuna tofauti na changamoto mpya zitajitokeza, mimi ni Mzee bahati nzuri wote hapa hakuna aliyenipita umri"

"Pengine hii ilikuwa advantage kwangu kwasababu inawezekana wengine mlikuwa mnaniheshi kama Mama yenu mzazi na sio kama Boss wenu, na mnajua Mama siku zote ana huruma kwa wanae, Wengi wenu hapa sijawafukuza kazi kwasababu nilivaa U-Mama wangu na kuweka U-Boss pembeni na maisha yakaendelea"

"Sasa huyu ninaye waacha nae ni kijana hata 30 hajafika na wala hana mtoto, hivyo nina uhakika yeye atatumia U-Boss kwasababu namjua pia ni mtu wa aina gani, na sio mbaya kutumia u-Boss kwasababu hapo ndipo Discipline inapopatikana, lakini sio kila mahali unatumia U-Boss, unanisikia Caryn"

"Na najua humu kuna wengine ni wakubwa kiumri kumshinda Boss wenu mpya, hiyo sio sababu ya kutomuheshimu kwasababu yeye ndie last say kwasasa akikufukuza kazi hakuna wa kupangua maamuzi yake"

"Naomba niongeee na wachelewaji pia, sitaki kuondoka hapa baada ya wiki nisikie flani amefukuzwa kazi na hata nikijua muda huo nitakuwa sina mamlaka ya kukurudisha kazini, nasisitiza hapa kwasababu najua kuna watu wanaweza kuharibu wakidhani mm naweza kuwasaidia"

"Kuna watu ni maarufu humu kwa kuchelewa kazini niwaambie tu kwamba kuanzia sasa kuchelewa kazini kunaweza kukufukuzisha kazi shauri yenu"

"Pia nadhani kuna mabadiliko yatafanyika kwa watu wanaoenda Zanzibar na watu wanaokaa store, Caryn mwenyewe ndio atajua jinsi atakavyo wapanga"

Kwa kufupisha tu maneno ni kwamba Mama Accnt aliongea sana siwezi kuandika maneno yote hapa sababu mengine pia nimeyasahau,

Mwisho wa siku Bi Mkubwa alimaliza kikao akatumbia Mimi, Secretary pamoja na Accountant turudi after break time tukatoka tukamuacha Mama Accnt na Caryn ofisini kwasababu kikao chenyewe kilikuwa kinafanyika ofisini kwake

Basi wa kwenda kunywa chai walienda, Sasa wakati nipo nje napiga chai Accountant nae akatokea alivyoniona nae akaja pale pale kwenye meza niliyokaa

Accountant: "Naona umerudi na nguvu mpya, una watu wa kukukingia kifua kabisa, ila BM nikuambie tu kwamba kama niliweza kummudu Mama ambaye ndiye mwenye Kampuni basi jua tu hicho kihawala chako hakinitishi, tutaona Mimi na yeye nani ni zaidi"

Kwani nilijibu basi nikanywa zangu chai nikasepa yeye hakunywea pale waliwaomba wale wahudumu wampandishie juu ofisini, Sasa na mm nikawa nimebaki katikati nikijiuliza 'kwani hii Kampuni ni ya nani haswa?' mbona kila mtu anavimba?

Ilivyofika majira ya 11:00hrs nikapanda juu kwaajili ya kikao cha pili, imefika saa tano kama Dakika tisa kikao kikaanza, nipo Mimi, Secretary, Accountant, Caryn pamoja na Bi Mkubwa, wote Wanawake wakiume nilikuwa mimi tu

Hiki kikao Cha pili kilikuwa hakina mambo mengi sana, Bi Mkubwa alituasa tufanye kazi kwa bidii na kwa kujituma, Pia akawaonya Secretary na Accountant kufanya kazi kwa mazoea

Mama Accnt: "Kitu kingine muhimu Caryn ambacho nilisahau kukuambia ni kuhusu TRA, ikitokea mzigo umekamatwa inabidi ujue namna ya kuongea na hawa watu (TRA), Uzuri BM yupo so atakusaidia zikitokea changamoto za namna hiyo kwasababu yeye anajuana na hao watu, kikubwa ni usikivu na kuwa mpole siku zote mazungumzo yanamaliza kila kitu sio kila mahali ni pa kutumia Pesa au unaweza kutumia pesa"

Labda nifafanue kidogo hapo kwenye kipengele Cha TRA, ipo hivi....napokea mzigo Airport ya Zanzibar nita clear, yani nitafanya clearance na kila kitu kinachotakiwa mzigo utavuka Maji Hadi Bandari ya Dar nitakutana na TRA

Pia napo nita clear kila Kitu pamoja na Kodi za Bandari na mawafeji then natoa mzigo napeleka ofisini, Mzigo ukifika ofisini utatunzwa store tukisubiri wenye mizigo yao kuja kuchukua,

Sasa mteja akija kuchukua mzigo wake siku hiyo ambayo mzigo ndio umetoka Bandarini hiyo inakuwa nzuri kwetu tunachokifanya akilipia gharama za kusafirisha tunampatia na Documents za TRA ambazo atatumia kuonesha TRA (Incase akikamatwa) kumbuka huyu haina haja ya kumpatia risiti

Kuna wale wateja wengine utakuta Mfano mzigo umefika Leo Jumanne basi atakuja Jumatatu ya wiki ijayo kufuata mzigo Sasa huyu mtu akichukua mzigo wake halafu bahati mbaya akakamatwa na TRA huwa ni changamoto sana, sitaki sana kuingia deep coz ni vitu sensitive sana

Basi kikao kikaisha tukaagana na Bi Mkubwa, na mimi ndio nilikuwa wa mwisho kuagana nae sababu nilimpeleka hadi Parking akanambia

Mama Accnt: "BM uwepo wako ndio unanifanya niamini kwamba Kampuni ipo katika mikono salama, nimeona unaukaribu kiasi na Caryn, Jitahidi mambo mengine uwe una mshauri, unajua yule Binti yupo smart lakini huwa simuamini sana, nilikubali tu kwa heshima ya Baba yake lakini nilitaka wewe ndio uwe pale"

BM: "Usijali Mama kila Kitu kitaenda sawa, hata hivyo Caryn mbona namuona yupo sawa tu"

Mama Accnt: "wewe si kwasababu umeshazoeana nae, mm namjua vizuri yule Binti atafanya panga pangua hapa ndani ya wiki tu hutaamini utakuja kuniambia"

Basi Bi Mkubwa akapanda kwenye ndinga lake akasepa, mm nikapanda juu nikapitiliza hadi store kwa wana tukapiga story mbili tatu

Mara Secretary akaja store "BM Boss anakuita" hii kauli nilishazoea kuwa nikiambiwa tu Boss anakuita basi ujue ni Bi Mkubwa, sasa Leo hii ka Binti tu rika langu eti ndiye Boss wangu

Basi mm huyo hadi kwa Boss lady nikamkuta yupo na Accountant, niliwakuta katikati ya maongezi

Caryn: "......sawa utafanyia kazi na hizo, utanipa hiyo report after meeting"

Alikuwa anaambiwa Accountant na sikujua walikuwa wanaongelea nn na baada ya maagizo hayo aliondoka nikabaki na Caryn

Caryn: "BM Vipi uko poa?"

BM: "Niko poa kabisa"

Caryn: "BM mm na wewe naweza kusema ni washkaji...je nipo sawa kusema hivyo?"

BM: "Yeah hujakosea"

Caryn: "Sasa ikitokea mshkaji wako kawa Boss wako, usimletee ushkaji kwenye kazi"

BM: "Sijakuelewa, wapi mm nimeleta ushkaji?"

Caryn: "Kilichotokea leo asubuhi hakikuwa sawa kabisa, Yani sijapenda, nilikuwa upande wako kwasababu tu ya yule Binti alinyanyua mdomo wake ila kama ni Mama ndio angekuwa anakusema mm nisingeongea chochote"

Duh! Yani pamoja na kunitetea kule kumbe mtu alimaidi nilivyochelewa, ilibidi tu nijishushe nikamwambia yaishe

Caryn: "Toka kaendelee na shughuli zako halafu naomba After Lunch niitie staff wote kwaajili ya kikao"

Nikarudi zangu store, nikaitisha chakula nikakilia kule kule store, muda wa kikao umekaribia nikawashtua wana, wengine walikuwa chini walienda kuitwa wote tukakutana Ofisini kwa Boss Caryn

Caryn: "Naomba watu wa sales wote mkae upande wa kushoto, baada ya hapo naomba tujitambulishe kwa majina"

Wote wakajitambulisha ila hapo kwenye majina sitaweza kutaja ila kwa kifupi ni kwamba watu wanaodili na store wapo 6 wakiwa na majukumu tofauti,

Wa kwanza ni Storekeeper mwenyewe, huyu ana deal na mizigo inayotoka na kuingia pamoja na kuandika Delivery note, mtu wa pili yeye anadili kupima mizigo tu na kuhakiki kilo, wanne waliobaki ni wa kubeba mizigo na kuipanga au mizigo inapofika pia huwa wanaichana ili kuigawanya (hapa nadhani mtakuwa hamjanielewa vizuri)

Iko hivi, watu huwa wanaagiza mizigo tofauti tofauti Kuna mikubwa na midogo, unaweza Kuta mtu anaagiza mzigo kilo zake haufiki hata kilo moja, na wateja wa design hii pia ni wengi unakuta mwingine mzigo wake ni kilo mbili tu au tatu,

Sasa kinachofanyika hivyo viboksi vidogo vyote vinakusanywa kwenye box moja kubwa, kwenye hilo Box linaandikwa jina la mteja mmoja tu ambaye nae humo ndani ana mzigo wake

Kwa mfano jina la mteja ni Glenn na kwenye Parking list mzigo utaonesha ni wa Glenn lakini ni wa kuchana, Sasa mzigo ukiwa ni wa wakuchana ina maanisha kwamba katika hilo Box kuna mizigo ya watu wengine kwahiyo inabidi itolewa na kila mzigo upimwe kivyake, sasa hiyo kazi yote ndio wanafanya hao vijana,

Watu wa sales hawa haina haja ya kuelezea sana, kama mnavyojua watu wa sales hulipwa kutokana na kazi uliyoifanya, labda niongelee kwa upande wa Kampuni yetu,

Sales hulipwa kwa wateja utakaowaleta na unalipwa kwa kilo utakazofikisha, kilo 1 ni Tsh 500, so ukiwa labda na wateja kumi katika hao wateja wako wote kilo zao zikajumlishwa labda zikafika kilo elfu moja (1,000),

So utapiga 500 × 1000 = 500,000 kwahiyo kwa hesabu ya kwa kila kilo moja 500 ukifikisha kilo elfu moja una laki tano yako, hao ni watu wa sales sasa nao wakajitambulisha kwa Majina mbele ya Boss Caryn

Caryn: "Mliobaki nawatambua haina haja ya kujitambulisha"

(akimaanisha Mimi, Secretary na Accountant)

Caryn: "My name is (****) I'm very excited to meet you guys and honored by this great opportunity to be Managing Director, I'm sure we'll be a great team in getting things done and accomplished around here, together we'll put (Jina la Kampuni) on the map and remember this guys there's no 'I' in team"

"As we all know Air Transport Companies are getting everywhere in this country now, ni lazima tujipange haswa tukiwa na Strategies mpya"

"As the Managing Director I will try as much as possible to create a very cardio relationship with my staff, Because I'm the new one here that enables me to understand you, know your weaknesses and your strengths"

"But, I repeat again 'But' I will no longer tolerate any form of laziness from anyone, so if you can't handle the work then quit"

"Nadhani nimemaliza Accountant Please after this meeting set up another meeting with Sales Team for me and I really need you to supervise them, Mnaweza kuendelea na shughuli zenu BM wewe baki sijamalizana na wewe bado"

Basi watu wote wakatoka nikabaki mimi na Caryn ofisini

Caryn: "BM nimetumiwa Parking list ya mizigo inayoingia kesho kwahiyo jiandae kwaajili ya safari

BM: "Sawa ila itabidi niende na mtu mmoja maana nikisema niende mwenyewe nitashindwa kujigawa mwisho wa siku mzigo utachelewa kufika Dar"

Caryn: "Okay lakini huyu mtu uliyekuwa unaenda nae hapo awali sitaki uende nae tena acha abaki store nikiendelea kukutafutia mtu wa kusaidiana nae"

BM: "Basi mteue mtu ambae nitaenda nae kwa muda"

Caryn: "Utaenda na Mimi"


Itaendelea
Hhhahah aisee mwisho wa siku mtananiliu nyie na vipi yule wa Mwanza mnaendelea au ndio mmepotezeana
 
Hhhahah aisee mwisho wa siku mtananiliu nyie na vipi yule wa Mwanza mnaendelea au ndio mmepotezeana
Wa Mwanza tunawasiliana karibia kila siku ila mambo mengi ninayopitia huku hajui, anachokijua nilimuambia tu nimehama Nyumba niliyokuwa na kaa mwanzo

Lakini kuhusu kuacha Kazi kipindi kile na kurudi kazini sikumjulisha hayo yote
 
ilipoishia


Sasa nimefika ofisini naingia room ambako kunafanyika meeting nimekuta staff wote akiwemo Accountant, Mama Accnt pamoja na Caryn

Accountant: "Ivi tukiongea tu ukweli mtu anawezaje kuchelewa siku kama leo? Uzembe mwingine umepitiliza"

Caryn: "Binti kaa kimya kuna Mahali nilimuambia apitie ndio maana amechelewa Mama unaweza kufungua kikao"

Tukaangaliana na Caryn, Accountant nae akanipiga jicho la wizi, nikaa kwenye kiti ila ukweli ni kwamba hakuna Mahali Caryn ameniagiza nimechelewa tu kwa uzembe wangu kama Accountant alivyosema

Muendelezo

SEASON 2 Episode 9


Mama Accnt: "Naomba tusikilizane kwa makini, nitaharakisha kidogo kwasababu muda sio rafiki....najua wengi wenu kama sio wote mnajua kikao kinahusu nini, kwa kifupi leo ndio Ile siku ya kuagana na ninyi rasmi, lakini sio kuwaaga tu na kuwatambulisha kiongozi wenu mpya mtakaye kuwa naye"

"Si mnajua safari lazima iendelee hata kama Dereva kachoka atatafutwa dereve mpya ambaye bado yupo fresh kuanzia kimwili hadi kiakili, Mama yenu mm nimeshachoka nahitaji kupumzika sasa, niseme tu kwamba nashukuru kwa ushirikiano wenu mzuri mliouonyesha kwangu"

"naomba pia ushirikiano huo huo mliouonyesha kwangu muoneshe pia kwa kiongozi wenu mpya, kama tulikwazana naomba tusameheane ni mambo ya kibinadamu hatujakamilika"

"Nitakaye waacha nae ni huyu Binti hapa pembeni yangu anaitwa (Caryn) Nadhani mlikuwa mkimuona akija hapa ofisini siku za hivi karibuni (kumbuka hapa hataji jina Caryn ila anataja Jina halisi la Caryn)

"Unajua Kampuni yeyote au hata nchi inapofanya mabadiliko ya kiuongozi lazima kuna tofauti na changamoto mpya zitajitokeza, mimi ni Mzee bahati nzuri wote hapa hakuna aliyenipita umri"

"Pengine hii ilikuwa advantage kwangu kwasababu inawezekana wengine mlikuwa mnaniheshi kama Mama yenu mzazi na sio kama Boss wenu, na mnajua Mama siku zote ana huruma kwa wanae, Wengi wenu hapa sijawafukuza kazi kwasababu nilivaa U-Mama wangu na kuweka U-Boss pembeni na maisha yakaendelea"

"Sasa huyu ninaye waacha nae ni kijana hata 30 hajafika na wala hana mtoto, hivyo nina uhakika yeye atatumia U-Boss kwasababu namjua pia ni mtu wa aina gani, na sio mbaya kutumia u-Boss kwasababu hapo ndipo Discipline inapopatikana, lakini sio kila mahali unatumia U-Boss, unanisikia Caryn"

"Na najua humu kuna wengine ni wakubwa kiumri kumshinda Boss wenu mpya, hiyo sio sababu ya kutomuheshimu kwasababu yeye ndie last say kwasasa akikufukuza kazi hakuna wa kupangua maamuzi yake"

"Naomba niongeee na wachelewaji pia, sitaki kuondoka hapa baada ya wiki nisikie flani amefukuzwa kazi na hata nikijua muda huo nitakuwa sina mamlaka ya kukurudisha kazini, nasisitiza hapa kwasababu najua kuna watu wanaweza kuharibu wakidhani mm naweza kuwasaidia"

"Kuna watu ni maarufu humu kwa kuchelewa kazini niwaambie tu kwamba kuanzia sasa kuchelewa kazini kunaweza kukufukuzisha kazi shauri yenu"

"Pia nadhani kuna mabadiliko yatafanyika kwa watu wanaoenda Zanzibar na watu wanaokaa store, Caryn mwenyewe ndio atajua jinsi atakavyo wapanga"

Kwa kufupisha tu maneno ni kwamba Mama Accnt aliongea sana siwezi kuandika maneno yote hapa sababu mengine pia nimeyasahau,

Mwisho wa siku Bi Mkubwa alimaliza kikao akatumbia Mimi, Secretary pamoja na Accountant turudi after break time tukatoka tukamuacha Mama Accnt na Caryn ofisini kwasababu kikao chenyewe kilikuwa kinafanyika ofisini kwake

Basi wa kwenda kunywa chai walienda, Sasa wakati nipo nje napiga chai Accountant nae akatokea alivyoniona nae akaja pale pale kwenye meza niliyokaa

Accountant: "Naona umerudi na nguvu mpya, una watu wa kukukingia kifua kabisa, ila BM nikuambie tu kwamba kama niliweza kummudu Mama ambaye ndiye mwenye Kampuni basi jua tu hicho kihawala chako hakinitishi, tutaona Mimi na yeye nani ni zaidi"

Kwani nilijibu basi nikanywa zangu chai nikasepa yeye hakunywea pale waliwaomba wale wahudumu wampandishie juu ofisini, Sasa na mm nikawa nimebaki katikati nikijiuliza 'kwani hii Kampuni ni ya nani haswa?' mbona kila mtu anavimba?

Ilivyofika majira ya 11:00hrs nikapanda juu kwaajili ya kikao cha pili, imefika saa tano kama Dakika tisa kikao kikaanza, nipo Mimi, Secretary, Accountant, Caryn pamoja na Bi Mkubwa, wote Wanawake wakiume nilikuwa mimi tu

Hiki kikao Cha pili kilikuwa hakina mambo mengi sana, Bi Mkubwa alituasa tufanye kazi kwa bidii na kwa kujituma, Pia akawaonya Secretary na Accountant kufanya kazi kwa mazoea

Mama Accnt: "Kitu kingine muhimu Caryn ambacho nilisahau kukuambia ni kuhusu TRA, ikitokea mzigo umekamatwa inabidi ujue namna ya kuongea na hawa watu (TRA), Uzuri BM yupo so atakusaidia zikitokea changamoto za namna hiyo kwasababu yeye anajuana na hao watu, kikubwa ni usikivu na kuwa mpole siku zote mazungumzo yanamaliza kila kitu sio kila mahali ni pa kutumia Pesa au unaweza kutumia pesa"

Labda nifafanue kidogo hapo kwenye kipengele Cha TRA, ipo hivi....napokea mzigo Airport ya Zanzibar nita clear, yani nitafanya clearance na kila kitu kinachotakiwa mzigo utavuka Maji Hadi Bandari ya Dar nitakutana na TRA

Pia napo nita clear kila Kitu pamoja na Kodi za Bandari na mawafeji then natoa mzigo napeleka ofisini, Mzigo ukifika ofisini utatunzwa store tukisubiri wenye mizigo yao kuja kuchukua,

Sasa mteja akija kuchukua mzigo wake siku hiyo ambayo mzigo ndio umetoka Bandarini hiyo inakuwa nzuri kwetu tunachokifanya akilipia gharama za kusafirisha tunampatia na Documents za TRA ambazo atatumia kuonesha TRA (Incase akikamatwa) kumbuka huyu haina haja ya kumpatia risiti

Kuna wale wateja wengine utakuta Mfano mzigo umefika Leo Jumanne basi atakuja Jumatatu ya wiki ijayo kufuata mzigo Sasa huyu mtu akichukua mzigo wake halafu bahati mbaya akakamatwa na TRA huwa ni changamoto sana, sitaki sana kuingia deep coz ni vitu sensitive sana

Basi kikao kikaisha tukaagana na Bi Mkubwa, na mimi ndio nilikuwa wa mwisho kuagana nae sababu nilimpeleka hadi Parking akanambia

Mama Accnt: "BM uwepo wako ndio unanifanya niamini kwamba Kampuni ipo katika mikono salama, nimeona unaukaribu kiasi na Caryn, Jitahidi mambo mengine uwe una mshauri, unajua yule Binti yupo smart lakini huwa simuamini sana, nilikubali tu kwa heshima ya Baba yake lakini nilitaka wewe ndio uwe pale"

BM: "Usijali Mama kila Kitu kitaenda sawa, hata hivyo Caryn mbona namuona yupo sawa tu"

Mama Accnt: "wewe si kwasababu umeshazoeana nae, mm namjua vizuri yule Binti atafanya panga pangua hapa ndani ya wiki tu hutaamini utakuja kuniambia"

Basi Bi Mkubwa akapanda kwenye ndinga lake akasepa, mm nikapanda juu nikapitiliza hadi store kwa wana tukapiga story mbili tatu

Mara Secretary akaja store "BM Boss anakuita" hii kauli nilishazoea kuwa nikiambiwa tu Boss anakuita basi ujue ni Bi Mkubwa, sasa Leo hii ka Binti tu rika langu eti ndiye Boss wangu

Basi mm huyo hadi kwa Boss lady nikamkuta yupo na Accountant, niliwakuta katikati ya maongezi

Caryn: "......sawa utafanyia kazi na hizo, utanipa hiyo report after meeting"

Alikuwa anaambiwa Accountant na sikujua walikuwa wanaongelea nn na baada ya maagizo hayo aliondoka nikabaki na Caryn

Caryn: "BM Vipi uko poa?"

BM: "Niko poa kabisa"

Caryn: "BM mm na wewe naweza kusema ni washkaji...je nipo sawa kusema hivyo?"

BM: "Yeah hujakosea"

Caryn: "Sasa ikitokea mshkaji wako kawa Boss wako, usimletee ushkaji kwenye kazi"

BM: "Sijakuelewa, wapi mm nimeleta ushkaji?"

Caryn: "Kilichotokea leo asubuhi hakikuwa sawa kabisa, Yani sijapenda, nilikuwa upande wako kwasababu tu ya yule Binti alinyanyua mdomo wake ila kama ni Mama ndio angekuwa anakusema mm nisingeongea chochote"

Duh! Yani pamoja na kunitetea kule kumbe mtu alimaidi nilivyochelewa, ilibidi tu nijishushe nikamwambia yaishe

Caryn: "Toka kaendelee na shughuli zako halafu naomba After Lunch niitie staff wote kwaajili ya kikao"

Nikarudi zangu store, nikaitisha chakula nikakilia kule kule store, muda wa kikao umekaribia nikawashtua wana, wengine walikuwa chini walienda kuitwa wote tukakutana Ofisini kwa Boss Caryn

Caryn: "Naomba watu wa sales wote mkae upande wa kushoto, baada ya hapo naomba tujitambulishe kwa majina"

Wote wakajitambulisha ila hapo kwenye majina sitaweza kutaja ila kwa kifupi ni kwamba watu wanaodili na store wapo 6 wakiwa na majukumu tofauti,

Wa kwanza ni Storekeeper mwenyewe, huyu ana deal na mizigo inayotoka na kuingia pamoja na kuandika Delivery note, mtu wa pili yeye anadili kupima mizigo tu na kuhakiki kilo, wanne waliobaki ni wa kubeba mizigo na kuipanga au mizigo inapofika pia huwa wanaichana ili kuigawanya (hapa nadhani mtakuwa hamjanielewa vizuri)

Iko hivi, watu huwa wanaagiza mizigo tofauti tofauti Kuna mikubwa na midogo, unaweza Kuta mtu anaagiza mzigo kilo zake haufiki hata kilo moja, na wateja wa design hii pia ni wengi unakuta mwingine mzigo wake ni kilo mbili tu au tatu,

Sasa kinachofanyika hivyo viboksi vidogo vyote vinakusanywa kwenye box moja kubwa, kwenye hilo Box linaandikwa jina la mteja mmoja tu ambaye nae humo ndani ana mzigo wake

Kwa mfano jina la mteja ni Glenn na kwenye Parking list mzigo utaonesha ni wa Glenn lakini ni wa kuchana, Sasa mzigo ukiwa ni wa wakuchana ina maanisha kwamba katika hilo Box kuna mizigo ya watu wengine kwahiyo inabidi itolewa na kila mzigo upimwe kivyake, sasa hiyo kazi yote ndio wanafanya hao vijana,

Watu wa sales hawa haina haja ya kuelezea sana, kama mnavyojua watu wa sales hulipwa kutokana na kazi uliyoifanya, labda niongelee kwa upande wa Kampuni yetu,

Sales hulipwa kwa wateja utakaowaleta na unalipwa kwa kilo utakazofikisha, kilo 1 ni Tsh 500, so ukiwa labda na wateja kumi katika hao wateja wako wote kilo zao zikajumlishwa labda zikafika kilo elfu moja (1,000),

So utapiga 500 × 1000 = 500,000 kwahiyo kwa hesabu ya kwa kila kilo moja 500 ukifikisha kilo elfu moja una laki tano yako, hao ni watu wa sales sasa nao wakajitambulisha kwa Majina mbele ya Boss Caryn

Caryn: "Mliobaki nawatambua haina haja ya kujitambulisha"

(akimaanisha Mimi, Secretary na Accountant)

Caryn: "My name is (****) I'm very excited to meet you guys and honored by this great opportunity to be Managing Director, I'm sure we'll be a great team in getting things done and accomplished around here, together we'll put (Jina la Kampuni) on the map and remember this guys there's no 'I' in team"

"As we all know Air Transport Companies are getting everywhere in this country now, ni lazima tujipange haswa tukiwa na Strategies mpya"

"As the Managing Director I will try as much as possible to create a very cardio relationship with my staff, Because I'm the new one here that enables me to understand you, know your weaknesses and your strengths"

"But, I repeat again 'But' I will no longer tolerate any form of laziness from anyone, so if you can't handle the work then quit"

"Nadhani nimemaliza Accountant Please after this meeting set up another meeting with Sales Team for me and I really need you to supervise them, Mnaweza kuendelea na shughuli zenu BM wewe baki sijamalizana na wewe bado"

Basi watu wote wakatoka nikabaki mimi na Caryn ofisini

Caryn: "BM nimetumiwa Parking list ya mizigo inayoingia kesho kwahiyo jiandae kwaajili ya safari

BM: "Sawa ila itabidi niende na mtu mmoja maana nikisema niende mwenyewe nitashindwa kujigawa mwisho wa siku mzigo utachelewa kufika Dar"

Caryn: "Okay lakini huyu mtu uliyekuwa unaenda nae hapo awali sitaki uende nae tena acha abaki store nikiendelea kukutafutia mtu wa kusaidiana nae"

BM: "Basi mteue mtu ambae nitaenda nae kwa muda"

Caryn: "Utaenda na Mimi"


Itaendelea
Tunda kimasihara Loading....
 
Back
Top Bottom