Boss Man
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 458
- 991
Kabisa, na kula kimasihara haikatazwi, lakini angalia na mtu unayetaka kumla kimasiharaKimsingi simshauri ale kimasiraha
Kabisa, na kula kimasihara haikatazwi, lakini angalia na mtu unayetaka kumla kimasiharaKimsingi simshauri ale kimasiraha
Ooookey sawa sawaWa Mwanza tunawasiliana karibia kila siku ila mambo mengi ninayopitia huku hajui, anachokijua nilimuambia tu nimehama Nyumba niliyokuwa na kaa mwanzo
Lakini kuhusu kuacha Kazi kipindi kile na kurudi kazini sikumjulisha hayo yote
kesho usipoleta muendelezo tunakuloga huwezi kutusumbua hivi..Yeah true, acha nicheze chini kwanza coz hakuna ulazima wa kufanya hivyo
Bado yule kuku mweupe tukamilishekesho usipoleta muendelezo tunakuloga huwezi kutusumbua hivi..
Mkuu asante sana kwa Tag.
Ila jamaa sasa hivi watu washamzoea tunaenda nae vile anavyotaka, sio sisi tunavyotaka na hiyo ndio gharama tunayoilipiaMkuu asante sana kwa Tag.
Story yako nzuri sana na unaitoa kwa Moyo wote hudai ata senti zetu za sie walala hoi, yaani ni Mungu akubariki mpaka ushangae
Usirudi story ni mpaka pasakaNitarudi
Pasaka mbali mkuuUsirudi story ni mpaka pasaka
BM x6 si unamjua Hana haraka yaani Kama isidigoPasaka mbali mkuu
Hapo nadhani episode nyingine ni FebruaryBM x6 si unamjua Hana haraka yaani Kama isidigo
Dah! nimecheka sanaUsirudi story ni mpaka pasaka
Na kweli wangemuimbia sana. Ila wacha aangushe episode vile anataka ila tu asikawie sana maana Tunasahau matukio. Ata akianza na ilipoishia..... still bado matukio previous tunakua Tumesahau tayariIla jamaa sasa hivi watu washamzoea tunaenda nae vile anavyotaka, sio sisi tunavyotaka na hiyo ndio gharama tunayoilipia
Kama angekuwa kila siku anaangusha kitu sasa hivi watu wangeshaanza kumpigia makelele