Jamani jamani! MUNGU wangu uliye hai ......... kama kweli sheria inafuata mkondo na iwe kwa wote, sio walalahoi pekee yao ndio wadhalilike, pata picha ya watu waliobomolewa na mabomu ya mbagala na gongo la mboto wengine hadi leo wanamalalamiko juu ya fidia , watu waliopatwa na mafuriko jangwani, kigogo na sehemu mbalimbali bado wanahangaika kule Mabwe Pande, kama sheria ni msumeno ichanje pande zote bila ya kuonea wengine. DHAMBI