Kigodoro1985
Member
- May 12, 2014
- 27
- 10
nasikia majina yapo magazetini
majona yapo ktk uhurunasikia majina yapo magazetini
Kulingana na ufinyu wa budget Jeshi la Zimamoto na uokoaji wameamua kupunguza idadi iliyokuwa ikitakiwa, majina 160 Kati ya 190 ya Sergeant yameshatoka!
Na majina 437 Kati ya 570 nayo yametoka leo!!!
Sergeant wanatakiwa kuripoti Ukonga Magereza tar 15/6/2014 na Constable wanatakiwa kuripoti Kiwira tar 29/6/2014.....
Majina yametoka kwenye magazeti ya Mwananchi, Uhuru na mengineyo!!!!!
asante mungu nmepata kazi baada ya msoto wa 2years japo wengi watabeza kua ni hela ndogo sio mbaya ndio pa kuanzia
Kulingana na ufinyu wa budget Jeshi la Zimamoto na uokoaji wameamua kupunguza idadi iliyokuwa ikitakiwa, majina 160 Kati ya 190 ya Sergeant yameshatoka!
Na majina 437 Kati ya 570 nayo yametoka leo!!!
Sergeant wanatakiwa kuripoti Ukonga Magereza tar 15/6/2014 na Constable wanatakiwa kuripoti Kiwira tar 29/6/2014.....
Majina yametoka kwenye magazeti ya Mwananchi, Uhuru na mengineyo!!!!!