KabisaaaHahaaaaaaa wawaachie wenye fani zao nimekuja mbio.
La 7b tunapita shaaaaaaa....
Wow! U sound like ulishawahi fika meatu district! I bet unapajua vizurUnaishi nsangamwalugesha nini?
Ha ha ha. Labda hicho kilugha ndio kimemchanganya, hata hakucheki habari ni ya liniUlikuwa umelala?
Naona yeye ndo amesika hii habari.ha ha h a ha ha ha picha za zanzibar sijui hajaziona