Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

Mwanzo ulikuwa unajua ukomo wa mkataba?
Mbona IGA iliwekwa humu na ilieleza yote kuhusu mambo ya ukomo itakuwa kwa Mkataba mahsusi utakaoingiwa kati ya TPA na DPW ila watu walibisha kwa kusema HGA aina nguvu kuliko IGA na bandari yetu imeuzwa milele?

Kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri kilichofanyika jana si ndicho walichokuwa wanakisema kina Wasira,Kitila nk sasa sisi tulichokuwa tunapinga ni nini na jana Serikali wamefanya nini?

Ndugu yangu mambo mengine lazima tukubali tu Akili za kuambiwa unachanganya na zako mambo ya kufuatafuata mkumbo mkubwa mzima unaweza ukajikuta unaumbuka bila sababu
 
Uliwahi kusikia wanataja ukomo?
 
Uliwahi kusikia wanataja ukomo?
IGA Ilisema wazi ukomo utawekwa kwenye mikataba mahsusi itakayoingiwa kati ya TPA na DPW IGAni sawa na MOU tu huwa aina ukomo mbona hili limeongewa mala nyingi humu tatizo watu walishupaza shingo kwa ajili ya ushabiki?

Fuatilia hata hotuba ya Mkuligenzi wa bandari kipindi kile alisema nini si ni hayohayo yaliosainiwa jana?
 
Usiitetee TEC. Hakuna kifungu chochote kilichorekebishwa. Kwa ufupi TEC walichemka.
 
Sasa kwanini tukishitakiwa tunashindwa kesi? lazima watu wawe na mashaka
 
Yaani TEC ipoteze iman ya wananchi kwake kwa kupinga mkataba wa majizi ya kura?
 
Ni vigumu kwa sisi wakatoliki kupoteza imani kwa baraza la maaskofu, tunaongozwa kwa misingi ya utii siku zote.

Na ni hali imekuwepo kwa karne na karne, lakini ujumbe mbaya umewafikia wote waliokuwa nyuma ya waraka ule mpaka wakahakikishia unasomwa makanisani na ikaanza sala maalum ya katikati ya wiki kwa zile misa za asubuhi ya kuiombea nchi isichukuliwe na waarabu!.

Kwa sisi tunaoelewa nini kilikuwa kinafanyika huko bandarini na serikalini kwa ujumla, ilikuwa ni kichekesho fulani hivi kuweza kukishuhudia kikitokea.
 
Ni mradi upi ambao Tanzania tunajivunia kuwapa wawekezaji na tukapata faida, angalia dhahabu, almasi, gesi ya Matwara nk. TEC na wananchi wenye akili timamu hawawezi kuunga mkoni hii serikali chama cha majizi
 
Ni ngumu kumtenganisha Muafrika na utahira wake,kwa hiyo au TEC wakipiga kelele kuhusu Mkataba ni kwa ajili ya manufaa yao au yako na hao ndugu zako Mafkara???
 
Kwa stahili hizi hata sadaka zangu nazihurumia🤣🤣🤣🤣
 
Ngoja nikae mbele kusubiri kitima aje na ufafanuzi wa maboresho🤣🤣🤣
 
Yaani TEC ipoteze iman ya wananchi kwake kwa kupinga mkataba wa majizi ya kura?
Mbona TEC wenyewe ni majizi Sasa. Akina kilaini na nzingilwa katika sakata la escrow
 
Mbona TEC wenyewe ni majizi Sasa. Akina kilaini na nzingilwa katika sakata la escrow
TEC ni taasisi, sio hayo majina uliyotaja. Jatahidi kutenganisha taasisi na mtu mmoja mmoja.
 
Reactions: Cyb
Walitakiwa wapeleke maoni Yao na si waraka mana tayri wameleta taharuki na kuonesha kuwa nchi imeuzwa na hapa walitaka kufanya uhaini mkubwa sana mana watu wangeandamana na kuchinjana bila sababu yyoyote
ww ni mpumbav ina maana huna tv , walishapeleka maoni jinga ww ila wakaona hakuna nabadiliko shenz ww , walichokifanya kimekuepusha na balaa mbuz ww , sio muda wote uweke udini kweny mamb nyet kwa taifa ng'omb ww , uarab au uislam wa mshirika sio kigezo cha ww kujitoa ufaham angalia mashariki ya kati hao hao wanasababisha maafa huko huko kwa waarab na waislam sembus ww kichaah mmoja
 
ww ni mpuuz itoshe kusema hivyo
 
TEC ARE JUST USELESS EATERS OF THIS BEAUTIFUL COUNTRY,WANAWANYONYA SANA HAWA NORMAL GOOD CHRISTIANS,INSHORT TEC NA BAKWATA NI WA KUPELEKA KWENYE CONCENTRATION CAMPS ZA HITLER...
athari za ule mkataba hukuziona sabab una akili sw na mbuz
 
Wewe ni mdogo sana kuelewa mambo haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…