Mbona IGA iliwekwa humu na ilieleza yote kuhusu mambo ya ukomo itakuwa kwa Mkataba mahsusi utakaoingiwa kati ya TPA na DPW ila watu walibisha kwa kusema HGA aina nguvu kuliko IGA na bandari yetu imeuzwa milele?Mwanzo ulikuwa unajua ukomo wa mkataba?
Uliwahi kusikia wanataja ukomo?Mbona IGA iliwekwa humu na ilieleza yote kuhusu mambo ya ukomo itakuwa kwa Mkataba mahsusi utakaoingiwa kati ya TPA na DPW ila watu walibisha kwa kusema HGA aina nguvu kuliko IGA na bandari yetu imeuzwa milele?
Kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri kilichofanyika jana si ndicho walichokuwa wanakisema kina Wasira,Kitila nk sasa sisi tulichokuwa tunapinga ni nini na jana Serikali wamefanya nini?
Ndugu yangu mambo mengine lazima tukubali tu Akili za kuambiwa unachanganya na zako mambo ya kufuatafuata mkumbo mkubwa mzima unaweza ukajikuta unaumbuka bila sababu
IGA Ilisema wazi ukomo utawekwa kwenye mikataba mahsusi itakayoingiwa kati ya TPA na DPW IGAni sawa na MOU tu huwa aina ukomo mbona hili limeongewa mala nyingi humu tatizo watu walishupaza shingo kwa ajili ya ushabiki?Uliwahi kusikia wanataja ukomo?
Usiitetee TEC. Hakuna kifungu chochote kilichorekebishwa. Kwa ufupi TEC walichemka.Wewe kweli hamnazo.Baada ya kubanwa mkarekebisha vifungu vya mkataba kulingana na matakwa ya watanganyika na kuja navyo waziwazi mbele ya watu wote.Kama hamkuogopa Si mngeendelea na usiri kwenye huo mkataba tuone kama moto usingeendelea kuwaka🤔
Hao ni mazwazwa yaliyo lishwa ujinga eti Vatican ina tawala dunia nzima.Hadi china?
Sasa kwanini tukishitakiwa tunashindwa kesi? lazima watu wawe na mashakaIGA Ilisema wazi ukomo utawekwa kwenye mikataba mahsusi itakayoingiwa kati ya TPA na DPW IGAni sawa na MOU tu huwa aina ukomo mbona hili limeongewa mala nyingi humu tatizo watu walishupaza shingo kwa ajili ya ushabiki?
Fuatilia hata hotuba ya Mkuligenzi wa bandari kipindi kile alisema nini si ni hayohayo yaliosainiwa jana?
Yaani TEC ipoteze iman ya wananchi kwake kwa kupinga mkataba wa majizi ya kura?TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.
Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.
Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.
Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Ni vigumu kwa sisi wakatoliki kupoteza imani kwa baraza la maaskofu, tunaongozwa kwa misingi ya utii siku zote.TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.
Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.
Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.
Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Kwa stahili hizi hata sadaka zangu nazihurumia🤣🤣🤣🤣TEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.
Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.
Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.
Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.
Ngoja nikae mbele kusubiri kitima aje na ufafanuzi wa maboresho🤣🤣🤣TEC walituandikia waraka wakidai wamebaini MAPUNGUFU kwenye mkataba wa bandari, waraka ukasomwa kwenye nyumba za ibada kuishinikiza serikali IUFUTE MARA MOJA.
tumeshuhudia zawadi ya Milioni 100,kanisani na kikao cha Kadinali na serikali baada ya hapo tumeona MCHANA KWEUPE TEC inatuma wawakilishi kwenye hafla ya kusaini mkataba!!!?
Je TEC walishindwa kutupa taarifa ya nini kinachoendelea? Kitima amekosa uungwana wa kutuambia kwanini wanakubali kuhudhuria na kuubariki mkataba? Je kuna muendelezo wa kuishinikiza serikali iufute au ilikuwa ni DANGANYA TOTO
KITIMA njoo hapa useme unatuonaje watanzania?
Mbona TEC wenyewe ni majizi Sasa. Akina kilaini na nzingilwa katika sakata la escrowYaani TEC ipoteze iman ya wananchi kwake kwa kupinga mkataba wa majizi ya kura?
Tangu lini wezi wa pesa za escrow wakaheshimiwa?
TEC ni taasisi, sio hayo majina uliyotaja. Jatahidi kutenganisha taasisi na mtu mmoja mmoja.Mbona TEC wenyewe ni majizi Sasa. Akina kilaini na nzingilwa katika sakata la escrow
ww ni mpumbav ina maana huna tv , walishapeleka maoni jinga ww ila wakaona hakuna nabadiliko shenz ww , walichokifanya kimekuepusha na balaa mbuz ww , sio muda wote uweke udini kweny mamb nyet kwa taifa ng'omb ww , uarab au uislam wa mshirika sio kigezo cha ww kujitoa ufaham angalia mashariki ya kati hao hao wanasababisha maafa huko huko kwa waarab na waislam sembus ww kichaah mmojaWalitakiwa wapeleke maoni Yao na si waraka mana tayri wameleta taharuki na kuonesha kuwa nchi imeuzwa na hapa walitaka kufanya uhaini mkubwa sana mana watu wangeandamana na kuchinjana bila sababu yyoyote
ww ni mpuuz itoshe kusema hivyoWatu waliambiwa Mkataba halisi wa DP World na TPA ndio uta specify muda wakawa wajuaji sana
Mkataba wa Nchi na Nchi ni kama MoU tu hauna haja ya kuwa na muda, muda unawekwa kwny Mkataba halisi watu kwa chuki zao wakapotosha
Mkataba halisi jana ndio umesainiwa na muda umewekwa na mijitu imeumbuka
Uongo hupanda kwa haraka sana na kushuka kwa kasi hiyo hiyo
athari za ule mkataba hukuziona sabab una akili sw na mbuzTEC ARE JUST USELESS EATERS OF THIS BEAUTIFUL COUNTRY,WANAWANYONYA SANA HAWA NORMAL GOOD CHRISTIANS,INSHORT TEC NA BAKWATA NI WA KUPELEKA KWENYE CONCENTRATION CAMPS ZA HITLER...
Wewe ni mdogo sana kuelewa mambo hayaTEC ilikuwa ikiheshimika sana kiasi ambacho watu walidhani ndio wanaiongoza nchi indirectly. Sasa unaweza kudanganya watu lakini siyo siku zote.
Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.
Hapo awali wadau mbalimbali walifafanua kuwa ule haukuwa mkataba Bali maafikiano tu ya ushirikiano wa kibiashata. Wao wakapinga sana na kusema ule ndio mkataba wenyewe na mpaka kuandika waraka wala hawakuhitaji kabisa kuelimishwa kitu ambacho kisipelekea wao kuandika waraka i.e walikurupuka na inaonesha uwezo wao mdogo wa kuainisha mambo.
Siku nyingine wawe wanakaa kwa kina kabla ya matamko ili kurudisha credibility yao japo maji yakimwagika hayazoleki.