Hatimaye TEC yapoteza imani katika jamii

Hongera Mkuu huu ndio ukweli mchungu baadhi ya watu wanajalibu kuupindisha
 
Soma waraka wa maaskofu mstari kwa mstari. Wao wanampinga uwekezaji moja kwa moja na kutaka ufutwe. Hakuna mstari hata mmoja unaosema urekebishwe vifungu vilivyokosewa
Wewe hujaona marekebisho? Rais mwenyewe kasema mawazo ya watu wote yamezingatiwa na marekebisho yamefanyika, ulitaka nini tena?
 
Wewe hujaona marekebisho? Rais mwenyewe kasema mawazo ya watu wote yamezingatiwa na marekebisho yamefanyika, ulitaka nini tena?
Kama Rais akisema watu wote wanamuamini mbona Rais alisema toka mwanzo kuwa ya mwanzo ni makubaliano na Mkataba wataingia DPW na TPA lakini watu awakumuamini walishupaza shingo mpaka kutaka kuandamana nini leo kilichofanya wayaamini maneno yake ghafla ilhali sote Mkataba atujauona?
 
Mwanzo ulikuwa unajua ukomo wa mkataba?
 
Wewe nae nimbwa unae bweka bila kujua undani wajambo lilivyo
 
wala siyo udini bali nichogundua ni maslahi yao yalingiliwa ila sasa hv wana uhakika wa maslahi yao kuwa salama na si kwamba eti walikuwa upande wa wananchi,wamepunguza sana heshima yao kwangu
 
Mkuu, unasoma ukurasa upi? Inaelekea umezichanganya.
 
Walitakiwa wapeleke maoni Yao na si waraka mana tayri wameleta taharuki na kuonesha kuwa nchi imeuzwa na hapa walitaka kufanya uhaini mkubwa sana mana watu wangeandamana na kuchinjana bila sababu yyoyote
Upo sawa mkuu walileta ushabiki wa kijiweni wakati wangeweza kupeleka maoni kwa raisi bila kugawa wananchi, waliongozwa na chuki wakasahau wajibu wao kwa jamii na nchi
 
Moto gani na wewe embu acha uzuzu kitu gani kilichobadilika ? Tec walikataa kubinafsisha bandari kwamba tuendeshe wenyewe ndio walichokisimamia, na wengi humu kwa akili finyu mkasema eti serikali haiwezi kufanya chochote mbele ya tec, haya kiko wapi?
 
maaskofu wa tec ni binadamu tu na eanaudhaifu pia,wengi wao wamezaa watoto na wanawatunza kisirisiri,serikali ingetaka kuwaumbua ingefanya hivyo
 
Kumbe watu wamejua kuwa kelele zao ilikuwa udini tu sawa na ule wimbo wa Prof. Jay kwamba wanatangaza amani huku wameficha mapanga. Kilichokuwa kinapingwa na wao siyo mkataba ule bali ni watu gani wanakuja.
Ni hatari sana kuandika upuuzi kama huu, Bora ungekaa kimya kuficha upumbavu!
Raslimali za nchi ie bandari ni za kidini?
TEC walikuwa wanatetea kwa faida ya wananchi wote.

Wewe uliyeona ni wa kidini ndie huna ufahamu nahisi hata kichwani hakuko vizuri.
 
Ishu ya bandari ilikua ni wazi kua lazima itasainiwa tu kikubwa kujali tu wasaini vitu vya kueleweka, kama lile bunge la 2020 hadi leo lipo sembuse kupinga kataba kisa kelele za tec
 

Ulitaka wafanye nini?

Ww ungekuwa kiongozi aa TEC ungefanya Jambo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…