Hatimaye Subhash Patel amvaa Reginald Mengi

Dah!..kitambo sana, maisha ni safari.
 
Huyu ndiye aliyekuwa mweka hazina wa kamati ya mtandao wakati wa kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea wa CCM yeye ndiye alikuwa anakusanya na kusambaza mabilioni yaliyotumika katika kuhonga wajumbe ili kununua kura za kumbeba jamaa ili aingie IKULU.
Dah!! Hivi umekaa nyuma ya keyboard for 10+ years? Ukisubiri nini? Kweli wewe ni mkongwe
 
Wewe nani humu unipangie muda wa kuwepo hapa? Hunijui sikujui huo ukongwe ulionibambikia umeutoa wapi?
Dah!!hivi umekaa nyuma ya keyboard for 10+ years?ukisubiri nini?Kweli wewe ni mkongwe
 
Wewe nani humu unipangie muda wa kuwepo hapa? Hunijui sikujui huo ukongwe ulionibambikia umeutoa wapi?
Apologies....πŸ™‡β€β™‚οΈπŸ™‡β€β™‚οΈπŸ™‡β€β™‚οΈ
 
Reactions: BAK

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…