Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 571
- Thread starter
- #21
Yote uliyoyaandika yako nje ya
mada wala sijayaandika wala
kumaanisha hayo ;;
Ni busara ukaanzisha mada
mpya halafu tutakuja kuchangia
Usitulishe maneno@William
Mimi Naamini kama jamaa
angekuwa klfisadi kihivyo
angefunguliwa kesi ili kumzuia wala asingegombea !!!