Ni radio iliyochambua mpaka jinsi mawaziri na viongozi wetu walivopata Elim zao za kuunga unga ndo maana hata nchi inaendeshwa kwa kuunga unga, acheni ushabiki wa kidini, lakini ukiisoma history ya kweli ya nchi hii, walioleta uhuru wamefunikwa kabisa watatajwa ambao walitumia ujanjaujanja..... Watanzania fungukeni elimu iwasaidie